Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Acha kuzunguka zunguka mzee. Huu sasa itakuwa ni upumbavu. Ulete screenshot wewe mwenyewe halafu uaze kutaka mimi nikueleze.Nataka andiko linalosema na lililo kufunza kwamba👇
Universe is not everything.
Wewe si ulisema universe is not everything?
Sasa thibitisha hii hoja yako na ulete andiko uliposoma hivyo.
Ulisema 👇Acha kuzunguka zunguka mzee. Huu sasa itakuwa ni upumbavu. Ulete screenshot wewe mwenyewe halafu uaze kutaka mimi nikueleze.
1. Universe has the beginning so is not everything
2. Universe has the end so is not everything.
View attachment 3069677
Sasa unataka tukuelezeje sasa. Wakati ni wewe mwenyewe umeleta hiyo screenshot.
Hujajibu swali langu,Andiko lipi unalitaka wakati wewe ndiye uliyeleta screenshot ikionesha Universe created. There is somewhere at a certain time that universe created.
Sasa tuambia who created it?
Sasa umeamua kujiondoa ufahamu tu siyo 🤣 🤣 🤣 🤣Ulisema 👇
Universe is not everything.
Leta andiko lililo andikwa hivyo.
Sihitaji hizi blah! blah! Maana hujui hata definition ya universe.Sasa umeamua kujiondoa ufahamu tu siyo 🤣 🤣 🤣 🤣
View attachment 3069680
1. Umeambiwa Diameter of universe is 10 billion Light year. It means it has edges. Maana yake Universe ipo na mipaka yake. Sasa kama hujaelewa hapo unataka mimi nikusaidieje?
2. The Universe created 13 Billions ago. Hilo umeliweka wewe mwenyewe. Nimekuuliza nani aliye create?
Na kwa mujibu wa Big Bang Inaenelza.
Kama unataka tujadili vitu vya maana leta hoja ya maana. La sivyo huna hoja yoyote ya kupinga Imani za watu kuhusu Mungu
Huna hoja ya msingi inayoeleweka kuwatuhumu watu wanaoamini uwepo wa Mungu. Kumbe na wewe unaamini kitu ambacho hukijui. 🤣🤣🤣🤣🤣
Sina muda mchafu wa kubishana na mambo ya kikupumbavu. Mada imekushinda. Kafie mbeleSihitaji hizi blah! blah! Maana hujui hata definition ya universe.
Nakwambia hivi, Leta andiko linalosema na lililo kufunza kwamba,
Universe is not everything.
Andiko langu nililoleta hiyo Screenshot inajieleza vizuri kabisa kwamba,
Universe is all existing matter and space as a whole.
Na definition ya matter ni, Everything which has mass and occupy space.
Sasa wewe nataka ulete hilo andiko lako linalosema na lililo kufunza kwamba 👇
Universe is not everything.
Mpaka sasa hujaleta hilo andiko unaruka ruka kama umewehuka.
Umeishiwa hoja kichwa maji wewe Tabularasa.Sina muda mchafu wa kubishana na mambo ya kikupumbavu. Mada imekushinda. Kafie mbele
Unahitaji kusoma sana. Tena sana.Umeishiwa hoja kichwa maji wewe Tabularasa.
Next time, Find someone of your league to parallel your mediocrity.
Damn fool.
🤣 🤣 🤣 🤣 TaKa taka. Issue za definitions nenda kajadiliane na wapumbavu wenzako wa basic degree.🚮
Hujui hata definition ya universe.
Unaleta pumba zako za vilabuni huko.
🚮Unahitaji kusoma sana. Tena sana.
Usipojibiidisha utaishia kupinga dini za watu pasipo kujua unapinga nini. Kupe wewe ndiye mpumbavu.
Nimekueleza dini zinajihusisha na Philosophical issues. Sayansi inajihusisha na Physical things.
Wewe unataka uvichanganye kwa pamoja kama mpumbavu vile.
Nikakuuliza unajua Energy? nikakwambia Energy is a God of Science. Badala ya kuuliza how unakuja kuongelea Universe.
Wewe ni stupid. Science yenyewe inakili kuwa Universe is the product of energy
Unaweka screenshot na hujui hata namna ya kuchanganua.
Nikakueleza hiyo screenshot uliyoweka inaangukia kwenye Big Bang theory inayoelezea uwa universe had the beginning.
And Before big bang Energy ilikuwa ina exists
How can you say Universe is everything without any analytical proof? Universe is not everything but Energy in somehow is
Energy does not have a beginning but universe has the beginning
Energy created universe but universe created nothing.
Kama hujui hata definition ya universe ni nini.🤣 🤣 🤣 🤣 TaKa taka. Issue za definitions nenda kajadiliane na wapumbavu wenzako wa basic degree.
Kwisha habari yako. Huna hoja yoyote ya kupinga Uwepo wa MunguKama hujui hata definition ya universe ni nini.
Maelezo yako yote kuhusu hiyo universe ni pumba tu..🚮
🚮Kwisha habari yako. Huna hoja yoyote ya kupinga Uwepo wa Mungu
Yes that is the work of faith. Mungu yupo kwenye vichwa vya watu. Nimeshakueleza since the beginning. Mungu anayeonekana siyo Mungu.🚮
Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu.
Nikakupatia mifano.🚮
Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu.
Ndio maana nilikwambia huyo Mungu ni imaginations just an illusion.Yes that is the work of faith. Mungu yupo kwenye vichwa vya watu. Nimeshakueleza since the beginning. Mungu anayeonekana siyo Mungu.
Ndio hivyo kijana wangu Mungu ni imagination. Hiki ndicho kinachokusumbua. God is not physical ins imagination. Sasa tuambie existence and reality ni nini?Ndio maana nilikwambia huyo Mungu ni imaginations just an illusion.
He doesn't exist in reality.
Nilikuwambia tangu mwanzo. God is not only a name is a concept. Bado huelewi tu.Ndio maana nilikwambia huyo Mungu ni imaginations just an illusion.
He doesn't exist in reality.
Nilikwambia tangu mwanzo aina ya Mungu ninayempinga.Nikakupatia mifano.
Umeshawahi kuiona CHADEMA? Umeshawahi kuiona CCM?
Nikakueleza ukianza kujifza hivyo vitu vidogo vidogo ndio utaanza kuelewa Concept ya Mungu.
Wewe unakaza fuvu.
Nilikwambia tangu mwanzo aina ya Mungu ninayempinga.Nilikuwambia tangu mwanzo. God is not only a name is a concept. Bado huelewi tu.