Je, dini ni upendo au ni chuki? Vita na mauaji yaliyokithiri

Dini ni utumwa wa kifikra na chuki baina ya wanadamu..Mungu hana DINI
 
Hi Dunia Ina wajinga wengi sana badala mfundishwe wakatiliki walianzisha dini ya ukristo badala yake mnafundishwa kuwa eti katoliki walianzisha dini ya uislam na kwa ujinga wenu mnakubali

Waroma walianzisha dini ya ukristo miaka 50 baada ya Yesu kupaa mbinguni kupitia Dora yao ya Roman empire na ndio maana dhehebu la kwanza kabisa la dini ya ukristo ni Romani katoliki

Baadae waingereza wakajitenga na kuanzisha dhehebu lap la Anglican na ujuremani pia wakajitenga wakaanzisha dhehebu lao la Rutheran

Na pia kulikuwa na mwanamke mmoja ana kilema katika pua akajitenga akaanzisha dhehebu la Sabato
 
Story ya Daud alipomtungua na jiwe Goliath ipo kwenye Biblia au imetungwa ?
 
Story ya Daud alipomtungua na jiwe Goliath ipo kwenye Biblia au imetungwa ?
SAsa kama alimtungua Goliath ndio maagizo ya Wakristo wawatungue maadui zao kwa mawe? Lile ni funzo la kiroho zaidi kuliko funzo la kimwili.
Mengine yameandikwa kwa mfano wa mwili yakimaanisha utendaji Kazi wa kiroho wenye utokeo wa kimwili.
 
Yanayoendelea duniani unayajua au nawe ni mfata mkumbo.
SAsa Kati ya Ukatoliki na uislamu ipi dini iliyotangulia
 
Really?😂
Wakatoliki ndio walioanzisha Uislamu Ili kuwaweka waarabu ndani ya utawala mmoja wa kiimani, kabla waarabu walikuwa wakiabudu miungu yao mbalimbali kupitia masanamu Ili iwe rahisi kuwatawala, Majasusi wa Shirika la Jesuit vatican wakaanzisha dini mpya itwayo islam,itakayowaunganisha waarabu wote kiimani mwaka 600 BC. Mapadre watano wa kikatoliki ndio walioandika kitabu cha Quran na kumtafuta mwanamke mfanyabiashara aitwae Bi Hadija na kumpa utajiri. Bi khadija ndie alimtafuta kijana aitwae Muhammad akamkabidhi kwa mapadre wa kikatoliki ndio waliomfunza Quran mapangoni.Ndipo Uislamu ukaenea kwa kasi Sana Katika nchi za kiarabu ambazo zamani zilikuwa ni nchi za Kikristo ukavuka mpaka na kutaka kuingia nchi za Ulaya mashariki kutokea Uturuki Ili kwenda kuiteka Vatican, Majasusi wa Jesuit wakaingia tena vitani wakarudisha nyuma kupitia vita vya msalaba waarabu wakala Sana panga toka vatican wakarudi nyuma, rejea vita vya msalaba na ottoman empire. Majuzi magaidi wa ISIS tokea iraq wakataka kuendeleza mpango ulioshindwa wa ottoman empire kuupenyesha utawala wa kiislamu Ulaya. Wakasambaratishwa na USA na NATO na kumuua Al baghad kiongozi wa ISIS. Huku kundi la ISIL tawi la ISIS Syria likipelekwa kuzimu na ndege za Putin.
Dini zote uzionazo duniani ni tawi la ukatoliki, maprostetant wote ni watoto wa katoliki.
 
Yanayoendelea duniani unayajua au nawe ni mfata mkumbo.
SAsa Kati ya Ukatoliki na uislamu ipi dini iliyotangulia
Uislam ndio ulianza kuanzia nabi Nuhu , Ibrahim, Musa hadi nabii wa mwisho kwa wana waisrael ambaye ni Yesu wote walikuwa waislam
 
Uislam ndio ulianza kuanzia nabi Nuhu , Ibrahim, Musa hadi nabii wa mwisho kwa wana waisrael ambaye ni Yesu wote walikuwa waislam
Kama ulianza na hao walitumia nguzo gani.Ili uwe Muislamu ni lazima uwe na nguzo tano.
 
Dah 😂
Tatizo ni kubwa sana, hata kufikiri nako tunashindwa.
 
Sitaweza kutenganisha na kujibu maswali yako yote , Ila nacho shukuru umekiri kua kwenye uislam kuna maamrisho ya Vita za kimauaji kwa sababu maalamu na hili ndilo lengo la thread toka mwanzo kama umeisoma vizuri?

Na kitu kingine nilicho gundua kwako una yaweka makosa ya dini ni kama tu yalivyo makosa mengine yafanywayo na jamii zengine kua ni mfumo wa watu ndivyo ulivyo, sasa hapo ni utofauti gani dini imeleta kama ina endeleza taratibu zile zile kama za jamii zile zilizo zikuta ?

Ningependa tuzungumzie makosa ya dini kama yalivyo makosa yake na siyo kuya fananisha na makosa ya yatendwayo jamii zingine ili kuharalisha makosa ya dini kuonekana ni swala ya kawaida watu kutenda hata kabla ya dini ? Kwa hiyo dini imeshindwa kuleta utofauti ?

Ukilisoma andiko langu kwa makini mwanzoni kabisa limezungumzia dini, Mungu wa hizo dini na wana dini kwa hiyo hakuna sababu ya mimi kuwaweka kando wanadini katika huu mjadala labda kama ujasoma andiko langu .

Unasema Mungu wa hizo dini hajaamrisha chuki na mauaji, umesoma namna alivyo kuwa anawapatia maamrisho wayahudi kwenda kufanya mauaji pasipo kuacha hata kiumbe hai ardhini je hayo unaya fahamu ? Vipi kuhusu mafundisho ya taurati ya Mussa ? Vipi kuhusu Jihad ni nini ?

Unaposema nijifunze kuhusu dini ni ushauri bora kabisa ili nielewe nacho zungumza na ninge penda ufahamu dini huwa najifunza kadiri navyo pata nafasi ili nielewe nacho zungumza.

Unaposema fikra zangu nime funga utakuwa haupo sahihi, kwanza kama ningekuwa fikra zangu zime funga nisinge chukua hata uamuzi wa kujifunza yaliyo ndani ya dini Ni sawa na mwanadini umuambie ajifunze Yale yaliyo ndani ya uchawi au elimu ya uchawi sidhani hata ata endelea kusikiliza. Kuhusu najifunza na nafahamu nafasi yake katika jamii ni ipi ndio maana napo kuja na kuzungumza mambo ni kua nimejifunza.

Naona pia una shindwa kuiweka dini mbalimbali na mfumo wa kisiasa wa kidunia, ndio maana swali langu la mwanzo lili uliza lipi hasa ni lengo la dini ? Naomba urejee swali hilo ?

Sio kwamba dini ime tawaliwa na mabaya pande zote sio kweli ni mtu pekee aliye weka kiburi moyo wake anaweza sema hivyo yapo baadhi yaliyo ni bora, lakini andiko langu lina zungumzia namna dini iliyo jitanabaisha kwa picha ya upendo na amani huku ikiwa imetawaliwa na vita fujo ndani yake tofauti na huo upendo na amani kutawala pande zote.
 
Kabla ya kuitipia lawama dini husika kuhusu vita na umwagaji damu inatakiwa kwanza tuangalie Sababu ya hizo vita......kwa upande wa uislamu vita vingi viliivyopiganwa zilikuwa na lengo la kulinda na kutetea amani ya waislamu na sio kusambaza dini kama mtoa madam ulivyoongea japokuwa vita hivyo ilikuja na hiyo impact (kuenea kwa dini) lakini haikuwa lengo la Vita.

Hata ukijaribu kufuatilia history ya hizo vita mfano crusade wars, Spanish christian- Muslim war , na vita vya badr,uhud na zingine nyingi utaona vita nyingi zilipiganwa waislamu ndio wanakuwa wamevamiwa na zote hazikuwa na lengo la kusambaza dini.

Dini imekuja kuwakumbusha watu kumuabudu mungu mmoja na kutenda mema ndio maana Quran imesema " walio amini na kutenda mema ndio wataingia peponi"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…