Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashiru hana hiyo power mnayotaka kumpa.
CCM wote ni wachumia tumbo na kwa nguvu alizopewa Rais na mwenyekiti wa CCM, akikohoa tu wanayumba wote na kutenda anachoagiza
So, wakitaka kudeal na Bashiru hatochukua hata masaa 24. Kimsingi Bashiru ndio keshapotea hivyo na huo ubunge wa mchongo anaweza kupokwa muda wowote na aliyemteua & kumtengua asiulizwe chochote
Kwanza hao vijana wameisha Unda na clikar Yao na mkakati wa njinsi ya kufikia lengo Moja ya iyo mikakati niKatiba inasema kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake ili mradi asivunje sheria. Haya wanaomsuta Bashiru waonyeshe sheria aliyovunja! Usimsute mtu kabla ya kutafakari.
Umeingia na zote mkuu, yaani umekula zote. Uzuri tumepata kuwajua mapema sana na jogoo yu karibu kuwika.Kwanza hao vijana wameisha Unda na clikar Yao na mkakati wa njinsi ya kufikia lengo Moja ya iyo mikakati ni
1.kugawana wizara za kimkakati kama
Keylimooo, habari, na nishaat
2 .waaazri wa habr ye kapewa jukumu la kununua watoa habari wooote hasa wamiliki na wahariri. Kazi iyo imekamilika kama unamacho utakuwa umeona
3.kuwamiliki viongz katika DNI iyo kazi imebaki kidogo kukamilika
4.E kulu ilikuwa na kazi ya kubagain na hao waliokuwa wapnzn kazi iyo tyr imeisha
Kama hatutashtuka itakuwa too late
Akina 2ndu kwa Sasa Kila wakiongea ni chato tu maana makubaliano Yao ni kumwacha b b Yao afanye atakavyo
Rais huyu anaweza kuvunja sheria na wote tukaishia kupiga kelele tuu bila kumfanya kituHuo ubunge upo kikatiba mzee, kuondolewa kwake labda apewe Ubalozi wa nchi mana tayari ni Balozi! Afu Kakuru ni akili kubwa kulinganisha na zako na za Kigwangala. Mama anaupiga mwingi eeeeh
Sifa unajipa usizostahiliNimekuwa mtu napenda kuandika kesho ya Taifa hili ktk mabandiko yangu tofauti tofauti na watu wengine wamekuwa wakihisi nakunidhania hata mm yawezekana nipo ktk list ya watu wanapata nyeti za ikulu
Well narratedHana ushawishi wowote, ni hiyo nguvu ya magufuli aliyompa. Hakuna mwenye ushawishi kwa watanzania (mfano kama Nyerere alivyokuwa) ndani ya CCM. Ni mabavu ya polisi, tume ya uchaguzi and the like vilikuwa vinawapa akina Bashiru nguvu na visibility kwa watanzania. I can dare say Mbowe/Lisu wana ushawishi maana hawana side force kama za CCM ya kuwafanya waonekane, ni matendo yao, kauli zao, vyama vyao na sera zao???? (hapa sina uhakika kama watanzania wanazijua sera za Chadema in details))
Hizi ni Longolongo tu. Samia is there to stay for long while.Niliwahi kuanzisha thread kama tatu ambazo kwa mwenye macho ya mbali anaweza ku connect dot na hiki ambacho kinaendelea. Yes Kuna hali ambayo naweza kusema Taifa lina pita na nimtu akichomoa bettery basi moto unalipuka.
SahihiDr. Bashiru amechachafya chama, kwa kutumia haki yake ya kikatiba kutoa maoni yake bila kuvunja sheria.
Ndio mnvyojipa moyo?Mkuu
Mimi sijawahi beza andiko lako!
Hadi sasa hakuna aliyejibu hoja za Bashiru!!
Watu makini wamekaa kimya Sana hasa kinana kakaa kimya hajibu !!
Kawaacha mbwa koko wabweke Bila kujua wanabweka kwa ajili ya nini na Nani!!?
Yaani uwezo waonwa reasoning wabwekao ni mdogo Sana!!
JARIBU KUFIKIRI
--Anaeweza kumchalenge Mwenyekiti wa chama ni yule ambaye walionyuma yake ni wakubwa kuliko Mwenyekiti!!
Hilo TU NDIO wanapaswa kujua!!!
Watakumbuka Katiba Mpya too LateBashiru hana hiyo power mnayotaka kumpa.
CCM wote ni wachumia tumbo na kwa nguvu alizopewa Rais na mwenyekiti wa CCM, akikohoa tu wanayumba wote na kutenda anachoagiza
So, wakitaka kudeal na Bashiru hatochukua hata masaa 24. Kimsingi Bashiru ndio keshapotea hivyo na huo ubunge wa mchongo anaweza kupokwa muda wowote na aliyemteua & kumtengua asiulizwe chochote
Hata Membe hakujibiwa na JPM ni kawaida ya CCM kutumia watu kama Musiba kujibu mapigo so hawajaanza Leo.Mkuu
Mimi sijawahi beza andiko lako!
Hadi sasa hakuna aliyejibu hoja za Bashiru!!
Watu makini wamekaa kimya Sana hasa kinana kakaa kimya hajibu !!
Kawaacha mbwa koko wabweke Bila kujua wanabweka kwa ajili ya nini na Nani!!?
Yaani uwezo waonwa reasoning wabwekao ni mdogo Sana!!
JARIBU KUFIKIRI
--Anaeweza kumchalenge Mwenyekiti wa chama ni yule ambaye walionyuma yake ni wakubwa kuliko Mwenyekiti!!
Hilo TU NDIO wanapaswa kujua!!!
Ccm haitawali vinatawala vyombo vya dola.Ccm ina taka kuwa chama tawala ila ili kuitawala hii nchi hawana budi kupambana na makundi haya ndani ya chama.
Cha kuchekesha Bashiru atagombea Ubunge 2025 kupitia chama Cha upinzani afu naye ataanza kulia Lia eti tume sio huru.Watakumbuka Katiba Mpya too Late
Rais anatisha kama Nyukilia, katiba imempa Uwezo wa kutumia Tools na Instruments zote zenye siraha kali dhidi ya binadamu yeyote. Hakuna wa kukohoa.Hata Membe hakujibiwa na JPM ni kawaida ya CCM kutumia watu kama Musiba kujibu mapigo so hawajaanza Leo.
Kuhusu Bashiru Hana hizo nguvu mnazompa hapa, ndio tuliaminishwa Membe ana hizi nguvu au Lowassa ila mwisho wa siku wote tunafahamu yaliyotokea.
Kwa katiba yetu Rais na Mwenyekiti wa CCM ndio alpha na omega hakuna wa kumchallenge!! Hata JPM ni kifo tu otherwise hakuna ambaye angemtishia kwa lolote!!
😂😂Bashiru ana stress kama mwenzie Polepole.
Dawa yake ni kumpa Ubalozi wa Afghanistan
😅😅😅nilifurahi sana alivyopigwa Lowasa.Cha kuchekesha Bashiru atagombea Ubunge 2025 kupitia chama Cha upinzani afu naye ataanza kulia Lia eti tume sio huru.
Huyu jamaa apigwe virungu mpaka akili zirudi, huwa wanajisahau sana wakipata madaraka.