Duh! kwa bahat mbaya ni kweli japo kuwa kwenye posts nyengine angalau kuna matumizi ya herufi kubwa baada ya full stop.
Uandishi wake wa leo unaweza kukataa kuwa ni mtu aliyemaliza chuo kikuu achilia mbali mtu anaegombea nafasi ya uraisi.
Kuona tatatizo kwa mtu unayempenda na kumkosoa kabla adui hajamuona na kumsema yaliyokuwa makubwa,mazito na mabaya huo ndo uungwana. Lakini pia kama upogo unaonekana kwa huyo umpendaye na wewe unauita jambo dogo na kuacha kusahihisha bila shaka unakuwa ukimuandaa kuwa kichekesho mbele ya wengi. Tuungane kusahihisha yaliyo tenge na wala kufanya hivyo kusitafsirike kuwa na 'beef' dhidi ya upinzani!........................a say....Kama umeelewa hili utaelewa maana ya constructive criticism, na kwa nini mtu aki criticize upinzani maana yake si lazima awe hapendi upinzani.
Na kama Nyerere alivyo blast CCM na baadaye kumkampainia Mkapa, ndivyo hivyo hata mimi na blast CHADEMA lakini bottom line nasema "VOTE SLAA"
Au na hili nalo hujaliona? Hizi criticism kutoka kwangu zinatakiwa kumuandaa Slaa na CHADEMA, na wala hazina lengo baya.
Tukikataa constructive criticism hatutajifunza, tusipojifunza hatutakua.
..kama makala hii imetoka kwenye gazeti la RAIA MWEMA basi tumekwisha.
..mwandishi wa makala anajikanyaga-kanyaga kiasi hicho na mhariri bado anaruhusu iwe published.
..hii makala imejaa udini, na kitu cha kutisha zaidi ni kwamba imetolewa kwenye gazeti la mtu anayeheshimiwa sana na jamii ya wa-Tanzania, Jenerali Ulimwengu.
Weka pingamizi dhidi yake ili wewe ndio uonekane kilaza
.Slaa ni mtoto wa nyerere hana jipya :huyu ni ccm , akipata madaraka tutarudi zile enzi za nyerere kukaa foleni ya sigara . Hivi karibuni aliutembelea mzimu wa nyerere kule dodoma . Huyu mtu ni hatari sana .
Mbona Gazeti la Tanzania Daima linaruhusu kuandika upupu huo huo katika makala ya Maswali magumu ya Ansbert Ngurumu. Upupu ni mbaya sana hata hapa JF umeanza kila mtu anamwaga kila jambo hata bila utafiti.Siamini kama mhariri wa raia mwema anaweza kuruhusu upupu huu kuandikwa na gazeti makini kama hilo! Isijekuwa Rostam kesha nunua na raia mwema.
.Pamoja na yote yaliosemwa lakini mimi bado na imani kubwa na dk slaa, tokea aliposimama bungeni nakuomba mishara ya wabunge ipunguzwe kwani mikubwa mno kulingana na wananchi wa kawawaida. Kitendo kile kimenifanya nione huyu kweli yupo pale kwa ajili ya wananchi na sikitu kingine,kwa hiyo hata akipewa nchi me poa tu!
.-kama zile hadithi nilizozoea za hapo zamani za kale....
-umwkubali kutumika kisiasa na ccm na umekubali kutumika kidini na kikwete na uislamu..................pole sana
-unazungumzia sokoine na nyerere wakati tunamzungumzia rais dhaifu kabisa kuwahi kutokea yaani kikwete
-mpaka sasa huamini kuwa kikwete aliweka dini ya kiislamu mbele kwa kuweka mambo ya mahakama ya kadhi kwenye ilani ya ccm na kuitetea, hili ni suala la wazi
-kuna swala ambalo halijawahi kujificha na wala kukanushwa na waislamu baada ya ule moto na fukuto waliloonesha juu ya kuondoia mambo yao ya kipuuzi ya oic na mahakama ya kadhi waliposema hawatampiogia kura kikwete na ccm lakini aliwaita wazee ambao wanasambaza habari kwa usiri mkubwa baada ya kuwaahidi kutumia mamlaka atakayokuwa nyo kwa namna yoyote kufanya hiyo mahakama ya kikafiri iwepo kikatiba....
-wanasubiri tu kikwete achaguliwe maana ndivyo walivyoambiwa wasubiri kwani mambo mazuri hayataki haraka kwa mujibu wa kikwete
-mwandishi anajaribu kutumia mgongo wa kuwa alikuwa padre...hiyo ni kitu tofauti ila kwa kikwete ameonesha kwa vitendo...rais wa nchi huwezi kukaa kimya katiba ya nchi inachezewa na wajinga eti kuweka mambo ya dini...ndiyo maana waasisi wa taifa hili baada ya kuwa na mtazamo wa mbali waliamua kuondoa upumbavu huo maana mtu kama mimi siko tayari kodi yangu itumike kumlipa kafiri mshahara eti kwa kuwa mahakama ya kadhi...
-slaa na wakristo kwa ujumla ni watu wa kutafuta amani kwanza hata akichaguliwa kwanza hawezi kuruhusu bunge kuamua kupoteza muda kujadili upuuzi wa kadhi na kuacha mambo ya msingi ya kuwainua watu kiuchumi naamimini hatakaa kimya kwani ni upumbavu kujadili na kupoteza mudfs ikiwemo kuwapa posho wabunge kwa kujadili mambo ya dini
-NAAMINI TUMEELEWANA
.Wakati huu tutasikia na kuona mengi! Kwa makala hii inanifanya nianze kuwa na mtazamo tofauti na nilivyomdhania Jenerali Ulimwengu! Hofu mojawapo ya mwandishi ni eti nchi itatawaliwa na kanisa kana kwamba hii ni mara ya kwanza kuchagua Rais Mkristo! Cha ajabu zaidi nii pale Rais mwema wanaposhindwa kutofautisha taasisi na mtu binafsi. Urais ni taasisi inayoongozwa na katiba na sheria, Unachokisema wewe ni kama kwamba Dr Slaa atasimama barabarani na rungu kubwa kuwawinda wasitii mamlaka ya kanisa!
Tunacholilia Tanzania ni kujenga demokrasia ya kuwakataa wote wababaishaji, Wala watz sio marobott ya kugeuzwa geuzwa kwa remote Dr Slaa atapimwa kwa mizani ile ile iliyompimia Kikwete na ikiwa haenendi sawa sawa tutamtapika pia!
Mwanzoni wa utawala wa kikwete Cartoon moja ilionekana kwenye magazeti ya Kenya waandishi wa Tz wanamlamba miguu Mhe! Leo hii hakuna kitu kitu kama hicho labda wachache wanaojipendekeza kama Raia mwema na magazeti ya serikali. Why? Kwa sababu mwanaume hasifiwi kwa sura!
.Mwafrika,
Inawezekana Jenerali ameacha ichapishwe kwa sababu ni maoni ya mwandishi.(column) Haikuandikwa kama news item. Lakini kosa walilofanya ni kuondoa jina la mwandishi na kutoonyesha kuwa ni op-ed (opinionated editorial which it is) I would have done the same but would have made sure my readers understand this is an op-ed.
Mozze,
Waogopeni sana watu wa aina ya Anti-sijui nini!
Hawa ni wa kuja na kuondoka hawa!...Amekuja kikazi hapa na ni pandikizi la watu au mabwana wanaomlipa nusu-na-robo ya unga!..
Anamtumikia kafiri apate mradi wake!...
Hapa anachotaka ni kuchokonoa ili tuweke wazi baadhi ya mbinu tunazotumia, then acopy na ku-paste kwenye genge lao...
Hatudanganyiki ati broda!.
Akamwambie mume wake kwamba amegonga mwamba!..Mambo yote aliyosema hapo kwenye post yake ni kama liquid inayopatikana katika shimo la choo!..huh!
Na wewe weka ya chama chako hakuna shida. Hapa tunaruhusiwa kuandika hata majina yetu halisi. Hatukatazwi.Jamani hizi nembo za bendera za vyama vya siasa zinatafuta nini humu. JF halina dini, chama wala kabila. Kila mtu akiamua kuweka nembo ya bendera ya chama chake itakuwa virugu tupu. Ni mawazo yangu tu.
Dr. Slaa wewe ni public figure hivi sasa na sidhani kama unatumia muda wako vyema kumjibu mtu anayesema 'umetumwa na kanisa kugombea urais' this is too low..Hivi ndivyo nionavyo.
Ungefanya la busara kuelezea mikakati yako na kuelezea kinagaubaga jinsi utavyoshape sera zako za kiuchumi ziadi. Haya mambo ya uswazi waachie akina Malaria Sugu.
Dr unaandika bila hata ya paragraph watu watashindwa kusoma.
Halafu "the onus of proove' ndiyo kitu gani mkuu? Kama Kiingereza mambo fulani tuandike Kiswahili tu tutaelewana, hii mikogo ya Kiingereza cha kuunga unga inakuaibisha tu.
Kiswahili cha first person na third person kinachanganywa humo humo wakati mtu (Dr.) anajiongelea mwenyewe !
Na inakuwaje CHADEMA mkawaachia CCM kuchukua majimbo 10 bila kupingwa, mengine wagombea hawarudishi fomu, mengine wanarudisha fomu lakini wagombea dhaifu kama kina Regia Mtema, hivi mkipeleka wabunge dhaifu kama hawa mnatuambia nini kuhusu uimara wa chama?
Zaidi ya hapo, je ukweli kwamba hamna wagombea madhubuti unachangia CHADEMA kuchukua mapandikizi ya watu walioshindwa kupata nafasi kugombea ubunge kwa tiketi za CCM ?
Mbona unaandika na kujijibu mwenyewe kama vile unapiga p... Acha kujidhalilisha, inaelekea usivyokuwa na akili kwa kuanzisha thread ambayo haina viwango, yaani umeonyesha chuki na kutumwa. Halafu mwanaume kutumwa bwana, yaani unakuwa ka nyoka, kutumwa, kama vile kukatuma katoto sigara dukani, lol aibu sana mtu mzima, eti antibayotiki, lol. Haya maneno hayana tofauti na Makamba hivi, manake ndio anaongea bila kufikiri
Kiranga,
Wewe usijione kwamba haki ya mtu kueleza jambo kwa kiingereza ni YAKO WEWE BINAFSI(kIRANGA)!
Wewe ndiye namba 1 kwa kuandika andika vitu visivyoeleweka hapa jamvini kwa lugha hiyohiyo unayomlaumu nayo Dr Slaa...what a mess!:eyeroll2: .
Umembiwa kwamba mwandishi anatakiwa kufanya utafiti kidogo ili kuyajua hayo!..Hata wewe ukifanya utafiti kidogo tu utajua maana ya "the onus of proof"!...huh!
1. Mostly naandika vitu vinavyoeleweka, kama huelewi niulize.
2. Hata ikitokea kwa nadra nimekosea, sijawahi kukosea kuandika "the onus of proove" instead of 'the onus of proof"
3. Hata ningekosea hivyo, sijaomba urais na standard ya kunibana mimi ni tofauti na standard ya kumbana Dr. Slaa
Dr. Slaa anataka kuwa colloquial sasa, na anatutia shaka kuhusu uwezo wake. Kiingereza hajui, kuandika kwa paragraph hajui, kutochanganya kiswahili na kiingereza hajui, kuwapa proofreaders wamsomee mambo hajui.
Anaweza kuwa rais akafanya vituko kama mambo yenyewe ndiyo haya.
Watanzania twafwa, Kikwete kilaza, Dr. Slaa mwenyewe watu wanaomtegemea awe kiongozi mbadala ndiye huyu au mtu tu kaja kuchukua hilo jina ?
no group thinking and haitakaa itokee... fuatilia mada utaona where i stand, lakini lazima uambiwe ukweli, kuchamba kwingi kutoka na m@vi
excellence in vigezo vingi na si english au lugha, and that's where we differ
narudia tena... kuchamba kwingi kutoka na ------
That is you bro
Acidic