Kagemro
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 1,440
- 635
Duh! kwa bahat mbaya ni kweli japo kuwa kwenye posts nyengine angalau kuna matumizi ya herufi kubwa baada ya full stop.
Uandishi wake wa leo unaweza kukataa kuwa ni mtu aliyemaliza chuo kikuu achilia mbali mtu anaegombea nafasi ya uraisi.
Nadhani aliandika kwa mkono mmoja,nimemuona anatumia mkono mmoja kuandika kwa kipindi hiki alichokuwa mgonjwa,embu tusubiri tuone,lakini je? is it the first time kuandika hapa JF?na kama no how was it