Je, endapo Jua likimwagiwa Maji nini kitatokea?

Je, endapo Jua likimwagiwa Maji nini kitatokea?

Mwamba vipi?Visa bado tusepe?
Tunasubiri ukrine na Russia wapoe kwanza maana jua linaweza zima wakiwa busy na mapigano.

Au tunaweza fyatuliwa kwa bahati mbaya tukiwa juu angani maana Russia hapoi.
 
Tunasubiri ukrine na Russia wapoe kwanza maana jua linaweza zima wakiwa busy na mapigano.

Au tunaweza fyatuliwa kwa bahati mbaya tukiwa juu angani maana Russia hapoi.
Ila kweli. Putin haeleweki. tuvute subra
 
NINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJI❔

Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji !;

Kitakachotokea ni kwamba jua ☀️ halitazimika bali jua litaongezeka ukubwa na uzito kutokana na kuongezeka kwa hydrogen na oxygen,
na hii sasa itapelekea kutengeneza jua kubwa sana lenye rangi ya bluu na nyeupe.

Kutokana na kumwagiwa maji jua litakuwa kubwa mara 1.8 kushinda size ya awali, kutokana na huo ukubwa litakuwa linaambaa ambaa karibu kabisa na dunia huku sayari zilizo karibu na jua mfano mercury, venus zote zitamezwa na jua.

Watu, wanyama watakimbia huku na kule wakihofia nini kimetokea pia viumbe hai asilimia kubwa watapoteza maisha kutokana na kuongezeka kwa joto.
Tatizo hujasema maji kiasi gani
Hivi hata ukimwaga Lita moja expansion rate itabaki Ile compare to litre 20M ??
 
Au jua tulitumie nyuklia moja tulipasue pasue , joto liondoke duniani , ligeuke vinyota vidogo vidogo vya kutupa tu mwaka wa kawaida, maana nasikia bomu la nyuklia lina sambaratisha kila kitu
NINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJI[emoji782]

Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji !;

Kitakachotokea ni kwamba jua [emoji3508] halitazimika bali jua litaongezeka ukubwa na uzito kutokana na kuongezeka kwa hydrogen na oxygen,
na hii sasa itapelekea kutengeneza jua kubwa sana lenye rangi ya bluu na nyeupe.

Kutokana na kumwagiwa maji jua litakuwa kubwa mara 1.8 kushinda size ya awali, kutokana na huo ukubwa litakuwa linaambaa ambaa karibu kabisa na dunia huku sayari zilizo karibu na jua mfano mercury, venus zote zitamezwa na jua.

Watu, wanyama watakimbia huku na kule wakihofia nini kimetokea pia viumbe hai asilimia kubwa watapoteza maisha kutokana na kuongezeka kwa joto.

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
kabla huja fika hayo maji tayri yalishakuwa mvuke mbaya hata ukibeba hayo maji maradufu ya jua!! yatayeyuka hutaamini hayafiki huko!! tunapata mvua na maji ajili ya jua!!...yaaani ukifanya ivo maji yatakukimbia ktk sura ya mvuke!!

ni sawa na kuweka tone la moto kwenye sufuria ya moto!! au km mnavo fanya hapo kwenu kuzima jiko la mchina kwa matone mengi ya maji!!...si unaonaga kanavo fanya basi ndo ivo ila acha bangi si nzuri!..unaweza enda south kwa miguu!
 
Tatizo hujasema maji kiasi gani
Basi!! hivi hivi!! ndo mnafeliga mitihani yenu!!....mnabaki kulalama tuuu oooh! yule amafaulu sababu ya babake ni flani ana hele kuuumbe failure to read instructions!!!.......alisha sema yenye ujazo sawa wewe unakurupuka chooni huko hata hujanawa unaropoka tu..... mfyuxcccc!
 
NINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJI[emoji782]

Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji !;

Kitakachotokea ni kwamba jua [emoji3508] halitazimika bali jua litaongezeka ukubwa na uzito kutokana na kuongezeka kwa hydrogen na oxygen,
na hii sasa itapelekea kutengeneza jua kubwa sana lenye rangi ya bluu na nyeupe.

Kutokana na kumwagiwa maji jua litakuwa kubwa mara 1.8 kushinda size ya awali, kutokana na huo ukubwa litakuwa linaambaa ambaa karibu kabisa na dunia huku sayari zilizo karibu na jua mfano mercury, venus zote zitamezwa na jua.

Watu, wanyama watakimbia huku na kule wakihofia nini kimetokea pia viumbe hai asilimia kubwa watapoteza maisha kutokana na kuongezeka kwa joto.

kwa tuanze kuchota maji baharini tumalize
 
Du kwa ukubwa huo likianguka litafunika dunia plus nje ya dunia.Leo nimecheka Sana

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Uzito wa jua ni

2,000,000,000,000,000,000,000,000,000,000Kg or ( 2 × 10^30Kg)

Uzito wa Dunia ni

6,000,000,000,000,000,000,000,000Kg or ( 6 × 10²⁴Kg)

Ulinganifu wa uzito wa jua na Dunia

Jua÷ Dunia = ( 2 × 10^30) ÷ ( 6 × 10²⁴) = 0.33 × 10^6 = 333333.33


Kwa maana nyingine, Uzito wa jua ni Sawa na uzito wa Dunia Mara 333,333.3333.
 
kabla huja fika hayo maji tayri yalishakuwa mvuke mbaya hata ukibeba hayo maji maradufu ya jua!! yatayeyuka hutaamini hayafiki huko!! tunapata mvua na maji ajili ya jua!!...yaaani ukifanya ivo maji yatakukimbia ktk sura ya mvuke!!

ni sawa na kuweka tone la moto kwenye sufuria ya moto!! au km mnavo fanya hapo kwenu kuzima jiko la mchina kwa matone mengi ya maji!!...si unaonaga kanavo fanya basi ndo ivo ila acha bangi si nzuri!..unaweza enda south kwa miguu!
Hapo ulipo malizia sipo pamoja na wewe.

Stimulants iachweeee?
 
Back
Top Bottom