UK manual transmission ni nyingi sana, nawajua watu kadhaa wana magari manual wameingiza from UKManual cars ni magari special yanatengenezwa kwa ajili ya serikali au miradi.
Manual cars za watu binafsi unazoziona mitaani ni zile za zamani sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap foleni inazingua ila kama uko sharp hutaona keroNa foleni hii ya mjini manual ni mateso
Watazipata wapi Mkuu ?, Mjapan hafai, ametengeneza gari za Auto mpaka gari kubwa kabisa kama land cruiser na Prado, sasa hapo mjini vijana wanatumia sedan cars manual transmission wanaitoa wapi ?.Seriously [emoji52]
Kwani hakuna kabisa manually au
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hapo kwenye kupangua gear mkuu nimekusoma kuna gari niliwahi kuendesha Duh! Lile lilikua ni jini asee kila nilichokua nafanya effort zinadunda mpaka nikaamua kupunguza gear labda niwe za chini 1 2 3 au tatu ila za juu kuanzia sita saba mi napiga kofi natia neutral tu kama nikianza tena naangalia rpm tu na speedometer inataka namba ngapi ndo natupia.
Hapo kidogo inasave nafika mwanzo nilikua hadi niwe na reserve kama litre 10 hivi ndo natoboa
Hiyo kwa manual sasa kwa auto?rpm ndo mpango wote
Mi ndio mchezo wangu huwa naruka sana gia mpaka nimeshazoea maana mara nyingi natoka 5 mpaka 2Hii ni mbinu nzuri sana, ila kuna wengine wanapingana nayo wakidhani inaharibu gearbox.
Kuna mzee aliwahi nipa deiwaka Isuzu Bighorn nimpeleke Kilosa, kumbe alikuwa anacheki ninavyo badili gear kwa kuruka kuna muda uvumilivu ukamshinda akaniambia kijana utaua gearbox tushindwe kukamilisha safari.
kwenye kundi la Wazungu pia wamo spirited drivers. pitia forum zao uone wanavyolalamikia baadhi ya performance cars kutokuwa na option ya manual trans.Wababe wapi ushamba tu, mzungu mwenyew kahama huko we mswahili et gari za wababe
Sent using Jamii Forums mobile app
Amna lolote wabongo wanajifanya wanajua sana, mkuu huu ni wakati wa digitalikwenye kundi la Wazungu pia wamo spirited drivers. pitia forum zao uone wanavyolalamikia baadhi ya performance cars kutokuwa na option ya manual trans.
Mkuu hapo kero inakua ni foleni tu wala si transmission japo automatic unakuwa umerelaxFoleni ya simama,nenda yaani namba moja mbili simama. Hii ni kero hata uwe sharp vipi.
kwa hiyo automatic trans ni digital, na siyo mechanical? hata hizo CVT hazijafikia kuitwa digital. wewe mbongo know-it-all naona upo mbele ya muda. hongera.Amna lolote wabongo wanajifanya wanajua sana, mkuu huu ni wakati wa digitali
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaendesha ukiwa umekaa kwa kutuliaKuendesha vizuri ndio una endeshaje mkuu??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tambarare, rev 1500, speed 50-60kph
TCA kuendesha vizuri ni hivi alivyoeleza huyu muungwana hapa.Me nikiendesha gari (sababu sina la kwangu) mara nyingi ni highway. Ninachohakikisha revolution haifiki 3 Pia najaribu ku control brake ambazo hazina Maana na ku keep distance kutoka gari iliyopo mbele yangu. Revolution inazidi 3 pale ninavyo overtake tu. Na Pia kujali smooth ride
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huoni hapo imestuck kwasababu ya cruise control?! Hivi engine za gari ndio ziko hivyo kwasababu 1500rpm inanipa 60mph, 3000rpm itanipa 120kph?!! Ngoja nitembee usiku nitaangalia 120kph huwa naipata kwenye revs ngapi, ila 3000revs sounds too high
Huoni hapo imestuck kwasababu ya cruise control?! Hivi engine za gari ndio ziko hivyo kwasababu 1500rpm inanipa 60mph, 3000rpm itanipa 120kph?!! Ngoja nitembee usiku nitaangalia 120kph huwa naipata kwenye revs ngapi, ila 3000revs sounds too high
Jibu zuri.