Watazipata wapi Mkuu ?, Mjapan hafai, ametengeneza gari za Auto mpaka gari kubwa kabisa kama land cruiser na Prado, sasa hapo mjini vijana wanatumia sedan cars manual transmission wanaitoa wapi ?.
Me nikiendesha gari (sababu sina la kwangu) mara nyingi ni highway. Ninachohakikisha revolution haifiki 3 Pia najaribu k
u control brake ambazo hazina Maana na ku keep distance kutoka gari iliyopo mbele yangu. Revolution inazidi 3 pale ninavyo overtake tu. Na Pia kujali smooth ride
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wengine madereva tu mkuu😀😀 Bora umesema ukweli huku jf kila mtu ana gari ....
Mi langu lita 3 kilometa 1 tuu tena kuna sehemu naweka freeGari ukiendesha vizuri inatumia mafuta vizuri hadi unashangaa. Kuna kipindi huwa unaweza kupata hata km20/lita kwa gari ya CC2000. Ila haichukui muda inarudi kwenye 10-12km/l.
Kuna sehemu huwa naipatia naitega inanipa 20+km/l
View attachment 1340798
Seriously [emoji52]
Kwani hakuna kabisa manually au
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ka IST babu rpm 1 unatembea 80km/ hrNkurekebishe kidogo sio kwamba engine inazunguka sana naeza nikawa na 20 to 30kph na mshale ukawa bado uko kwenye kati kati ya moja na mbili rpm....sasa hapo sio kwmba engine inazunguka sana ni kwamba kiasi hicho hicho cha rpm kama ungekuwa na gia kubwa basi ungekuwa somewhere 70kph or 80 kabisa depending na ratio za gari husika
Manual hakuna kabisa siku hizi..
Gari za manual nying ni compact SUV kama RaV 4, suzuki escudo na kubwa zaidi ambazo bei yake vijana wengi hawamudu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni manual transmission? Kwa rev hizo, nafikiri huwezi kufika gear no 6 kwa autoHapo gari inatembea mkuu, 60kph. Gari iko gear namba 6, rev 1500
Mara nyingi tunakosea pale ambapo kitu tusichokijua au kukiona tunasema hakipo. Zoom utaona gear namba 6 hapo. Inategemea gari yako na uendeshaji wako.Ni manual transmission? Kwa rev hizo, nafikiri huwezi kufika gear no 6 kwa auto
You've just proved my point. Gari yako ni auto lakini ulikuwa unaendesha kwenye manual mode otherwise gear number isingeonekana.Mara nyingi tunakosea pale ambapo kitu tusichokijua au kukiona tunasema hakipo. Zoom utaona gear namba 6 hapo. Inategemea gari yako na uendeshaji wako.
Hata mimi namshangaa mleta Uzi.Hii ni vipi ? unaongelea ku set silence ?, maana 20km/l kwa engine ya 2000cc ni jambo la ajabu sana kwangu, mimi ninayo engine ya 2490, consumption yake ni hatare, nijuze
Kwamba cc2000 ni kubwa sana, au barabara za Bongo huwezi kupata stretch ya kuendesha steady speed hadi ukaset cruise control in your desired speed?Hata mimi namshangaa mleta Uzi.
20km/l kwa engine ya cc 2000!!!
Kwa barabara zetu hizi za bongo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina VW Touran yenye exactly the same dashboard like yours na haifanyi hivyo. Labda gari yako ni Audi. Hata hivyo naweza kwenda YouTube kuverify.Ha ha ha hii gari gear change zinaonesha in auto or semi auto.
Ngoja nikuoneshe ikiwa kwenye manual mode inaonekana vipi na auto mode inaonekana vipi.Nina VW Touran yenye exactly the same dashboard like yours na haifanyi hivyo. Labda gari yako ni Audi. Hata hivyo naweza kwenda YouTube kuverify.
Perfect kabisa. Sasa ukiendesha kwenye auto mode, 1 haibadiliki kuwa 2 n.k ( kwenye vw yangu) lakini ukiendesha kwenye manual mode D, gear iliyoko wakati huo inakuwa highlighted kama inavyoonekana kwako. 1 kwenye auto nafikiri waweza kui select. Nitajaribu.Ngoja nikuoneshe ikiwa kwenye manual mode inaonekana vipi na auto mode inaonekana vipi.
Auto mode kuna D then 1.....
Manual mode D inaondoka inabaki 1,2,3,4,5,6
Labda yako haibadiliki, yangu inabadilika. Hapo umeona D na 1 unafikiri gari ikiwa inaenda itabaki ina display moja wakati gear zinapanda na kushuka hadi 6?Perfect kabisa. Sasa ukiendesha kwenye auto mode, 1 haibadiliki kuwa 2 n.k ( kwenye vw yangu) lakini ukiendesha kwenye manual mode D, gear iliyoko wakati huo inakuwa highlighted kama inavyoonekana kwako. 1 kwenye auto nafikiri waweza kui select. Nitajaribu.