Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walisema kabebana na mjomba, sasa sijui mjomba katoboa mbeleko?? Magufuli hatabiriki🤣🤣🤣Bongo bana yule dogo alivyochaguliwa ikazuka kwamba sababu ni mpya leo kateuliwa gwaji boy mpira ndio umeanza
Unajua ni kwanini Kanisa katoliki lilimvua kanzu padre aliyetia nia!? Siasa na dini ni vitu viwili tofauti kabisaWaache wafu wapumzike kwa amani usiwataje taje. Alafu hizo kila kona unazozisemea unazijua wewe na alienyuma yako.
Ujue bhana kila mtu ana pande mbili na pia mtu haukumiwi kwa zamani yake. Hayo mambo ya kumtukana Askofu ni ya zamani na alikuwa anapinga mahakama ya kazi sio kwamba hujui unajua ila una kaza ubongo. Na unavyosema kutoroka polisi Sio kweli maana kwa kumbukumbu zangu baada ya kureport central kituo kilichofata ni ICU sasa sijui mtu anaweza kuigiza mpaka kufika ICU?
Hata kipindi kile watu waliongea sana oh tuone oh tuone clip kibao zikasambaa ila leo matokeo yametuchachafya. Wengi walitamani Askofu akose ila ndio kapita sasa kuwa mgombea ubunge wa chama tawala.
Hakuna ubaya wowote wa kiongozi wa dini kuwepo bungeni hata kama ni sheikh. Bungeni ni kwa wote. Na Kawe ndio ishachukuliwa hivyooo
Tofauti ipo, kubwa tu.Hivi kweli Gwajima ni mtumishi wa Mungu huyu wa kwenye biblia au mbona kama sioni tofauti yake na akina Nay wa mitego
Halima Ni mda muafaka huu kutulia na mkewe [emoji23][emoji1787][emoji2960]Gwajima ni mtu sahihi kupambana na mdee! Mshaanza kuweweseka. Asbh tu tunachukua jimbo, halima atafute kazi nyingine
Askofu Mkuu sawa japo hana mandate ya kum command askofu mwingine.Ok, asante. Nilitaka kumaanisha askofu mkuu. Je, hii nayo ikoje?
Pep.,nimefata protocol Asante kwa ushauriNapata Shida sana mkuu. Hukipendi chama hicho cha CCM. Lakini unapata muda wa kujiuliza maswali mengi. Hivi wabunge wa CHadema
Mnawafahamu. Mfano. Leo hao CCM wamemtoa gwajima, wewe ulipaswa kuandika strong points za Halima Mdee.
Umeandika utopolo
Wajumbe wamekuomba uwasemee?Kuna mengi sana ya kujiuliza nyuma ya uteuzi wake...wajumbe wameumizwa hakika...