Uchaguzi 2020 Je, Gwajima anaandaliwa kuchukua nafasi ya Mch. Getrude Rwakatare (RIP mama)?

Uchaguzi 2020 Je, Gwajima anaandaliwa kuchukua nafasi ya Mch. Getrude Rwakatare (RIP mama)?

Kuna mengi sana ya kujiuliza nyuma ya uteuzi wake. Wajumbe wameumizwa hakika.
Kilicho wazi ni kuwa Jiwe ndani ya CCM ni Alfa na omega. Akitaka kitu kinakuwa na hakuna mjadala.
Gwajima kamtaka yeye hakuna wa kuhoji wala kudadisi full stop.
CCM kwa sasa imekuwa chama mdebwedo hakina tofauti na vyama kama TLP au UDP nk labda tofauti ni idadi ya wanachama tuu.
Gwajima kwa tuhuma zake chafu na za uongo huwezi kumsimamisha katika jimbo maarufu hapa nchini kama Kawe.
Kawe sio Mtera au Nkasi na Ruangwa ambako uchumi wa watu na elimu viko chini tena chini sana.
 
Kilicho wazi ni kuwa Jiwe ndani ya CCM ni Alfa na omega. Akitaka kitu kinakuwa na hakuna mjadala.
Gwajima kamtaka yeye hakuna wa kuhoji wala kudadisi full stop.
CCM kwa sasa imekuwa chama mdebwedo hakina tofauti na vyama kama TLP au UDP nk labda tofauti ni idadi ya wanachama tuu.
Gwajima kwa tuhuma zake chafu na za uongo huwezi kumsimamisha katika jimbo maarufu hapa nchini kama Kawe.
Kawe sio Mtera au Nkasi na Ruangwa ambako uchumi wa watu na elimu viko chini tena chini sana.
Hatuwezi kuongozwa na mhuni
Kinyonga kumbe alianza kujipigia promo mapema
 
Binafsi namtakia Halima ushindi, just that!
 
Ukimkazia macho gwajima utajua kuwa jamaa ni tapeli
 
Huyo Askofu tapeli mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchahua mcheza porn huyu.....

Piga chini hii ng'ombe mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi cha kigaidi na waumini wake ambao wapo km mang'ombe
 
Bila shaka Gwajima ni wakala, anatumiwa sana kuhamisha mijadala na kubadili upepo nchini.

Nawasikitikia kondoo wanaodanganywa kirahisa na hawa matapeli wa serikali.
 
Kwa hiyo Gwajima nae anaunga mkono Msaliti Zitto kabwe auwawe hukohuko
 
Gwajiboy is a business man alitaka kuweka behewa lake kwenye GSR itakapokuwa tiyari.

Gwajiboy ni muhubiri,kwake kusema kwa muda mrefu bila mapumziko sio tatizo amezoea,sidhani kama atapata airtime inayozidi robo saa bungeni.

Lakini kama kuna mtu ana bifu nae,anaweza kuweka pingamizi ,ili haki ya Kaisari itendeke.
 
Mara kadha nimeshawahi kuuliza kama ni nani anaihujumu CCM na kwanini anafanya hivyo. Nimeandika na mada pia kulihusu hili
Matokeo ya teuzi za ubunge yametoka, hayakuangalia kigezo cha aliyepata kura nyingi za wajumbe na kushika number moja. Hili majibu pekee yana CCM huko kwenye Kamati Kuu.

Tunatambua wote hali ilivyokuwa kwenye mchuano wa wana CCM Kawe; watia nia walikuwa si chini ya 176. Mshindi hakutarajiwa na wengi lakini ndio lilikuwa chaguo la wajumbe.

Serikali yetu haina dini lakini bungeni alipenyezwa mama Getrude Lwakatare aliyekuwa na Kanisa rasmi la Mlima wa Moto. Mama huyu hayupo tena duniani na pengine bado CCM inamhitaji mchungaji mwingine bungeni.

Je, katika wagombea wote 176 CCM wameona Gwajima ndio anafaa? Hivi hata kwa usafi na weledi wa kiroho na kimwili huyu mtu ni chaguo sahihi kweli? Hasa kwa jimbo kama la Kawe!?

Ni Gwajima huyu aliyeshikwa uongo wa kumfufua mwanafunzi wa shule ya msingi Kurasini
Ni Gwajima huyu aliyekamatwa na uongo wa kufufua misukule
Ni Gwajima huyu aliyemtukana kiongozi wa kiroho wa Kanisa Katoliki Tanzania Mhashamu Polycap Pengo
Ni Gwajima huyu aliyeshikwa ugoni na wake za watu ama waumini wake
Ni Gwajima huyu mwenye tuhuma za ngono kila kona
Ni Gwajima huyu aliyetaka kuwatoroka polisi akijifanya mgonjwa wakati alipokuwa anakabiliwa na kesi fulani..begi lake lilikutwa na silaha mbili za moto na risasi zake
Ni Gwajima huyu mwenye kashfa na mwenye misuguano na watu wa kila aina

Kuna baadhi wanasema kapita kwa sababu ya kabila, hii ni dhana lakini inaweza kuwa potofu.

Kuna wanaosema kapita kwakuwa ana waumini wengi sana. Hii ni dhana dhaifu sana kwakuwa hao waumini wake wanatoka sehemu mbalimbali, si wakazi wa Kawe wote. Dhana moja halisi ni moja au mbili:

1. Gwajima ni bilionea kwa viwango vyetu, lakini je ubilionea wake ni sadaka tu? Hana mishe nyingine nyuma ya uchungaji!? Tunafahamu kwa ukubwa wa chama kama CCM ni vigumu mno kuwakwepa wafadhili. Je, Gwajima ni mmojawapo?

2. Gwajima ni sehemu ya mamlaka!? Hili tuliache kama lilivyo.

Vyovyote iwavyo, Gwajima sio chaguo sahihi la mgombea wa kisiasa:

. Alishasema wazi kuwa mbunge ni kujishusha kwakuwa yeye ni mtumishi wa Mungu, koleo number 1
. Alishawatukania Wakatoliki kiongozi wao, koleo number 2
. Hawezi kupata kura za waumini wengine na wa imani nyingine kwakuwa si mwanasiasa ni kiongozi wa dini tena binafsI, koleo number 3
. Hawezi kupata kura zote za waumini wake, wote si wakazi wa Kawe wana kwao na hao wana itikadi tofauti na wana viongozi wao wa kisiasa wanaowakubali, koleo number 4
. Kuna wapinzani wake ndani ya CCM ambao hawajaridhika na uteuzi wake, koleo number 5

Sasa kwanini katika watia nia 176 kachukuliwa yeye!? Je, ni nguvu ya Shekeli!? Muda utasema.

RIP Mchungaji Dr. MB Getrude Lwakatare. Mlima wa Moto umeondoka nao!
Hujambomoa Gwajima kwa hii thread ,sana umemjenga tu
 
Mara kadha nimeshawahi kuuliza kama ni nani anaihujumu CCM na kwanini anafanya hivyo. Nimeandika na mada pia kulihusu hili
Matokeo ya teuzi za ubunge yametoka, hayakuangalia kigezo cha aliyepata kura nyingi za wajumbe na kushika number moja. Hili majibu pekee yana CCM huko kwenye Kamati Kuu.

Tunatambua wote hali ilivyokuwa kwenye mchuano wa wana CCM Kawe; watia nia walikuwa si chini ya 176. Mshindi hakutarajiwa na wengi lakini ndio lilikuwa chaguo la wajumbe.

Serikali yetu haina dini lakini bungeni alipenyezwa mama Getrude Lwakatare aliyekuwa na Kanisa rasmi la Mlima wa Moto. Mama huyu hayupo tena duniani na pengine bado CCM inamhitaji mchungaji mwingine bungeni.

Je, katika wagombea wote 176 CCM wameona Gwajima ndio anafaa? Hivi hata kwa usafi na weledi wa kiroho na kimwili huyu mtu ni chaguo sahihi kweli? Hasa kwa jimbo kama la Kawe!?

Ni Gwajima huyu aliyeshikwa uongo wa kumfufua mwanafunzi wa shule ya msingi Kurasini
Ni Gwajima huyu aliyekamatwa na uongo wa kufufua misukule
Ni Gwajima huyu aliyemtukana kiongozi wa kiroho wa Kanisa Katoliki Tanzania Mhashamu Polycap Pengo
Ni Gwajima huyu aliyeshikwa ugoni na wake za watu ama waumini wake
Ni Gwajima huyu mwenye tuhuma za ngono kila kona
Ni Gwajima huyu aliyetaka kuwatoroka polisi akijifanya mgonjwa wakati alipokuwa anakabiliwa na kesi fulani..begi lake lilikutwa na silaha mbili za moto na risasi zake
Ni Gwajima huyu mwenye kashfa na mwenye misuguano na watu wa kila aina

Kuna baadhi wanasema kapita kwa sababu ya kabila, hii ni dhana lakini inaweza kuwa potofu.

Kuna wanaosema kapita kwakuwa ana waumini wengi sana. Hii ni dhana dhaifu sana kwakuwa hao waumini wake wanatoka sehemu mbalimbali, si wakazi wa Kawe wote. Dhana moja halisi ni moja au mbili:

1. Gwajima ni bilionea kwa viwango vyetu, lakini je ubilionea wake ni sadaka tu? Hana mishe nyingine nyuma ya uchungaji!? Tunafahamu kwa ukubwa wa chama kama CCM ni vigumu mno kuwakwepa wafadhili. Je, Gwajima ni mmojawapo?

2. Gwajima ni sehemu ya mamlaka!? Hili tuliache kama lilivyo.

Vyovyote iwavyo, Gwajima sio chaguo sahihi la mgombea wa kisiasa:

. Alishasema wazi kuwa mbunge ni kujishusha kwakuwa yeye ni mtumishi wa Mungu, koleo number 1
. Alishawatukania Wakatoliki kiongozi wao, koleo number 2
. Hawezi kupata kura za waumini wengine na wa imani nyingine kwakuwa si mwanasiasa ni kiongozi wa dini tena binafsI, koleo number 3
. Hawezi kupata kura zote za waumini wake, wote si wakazi wa Kawe wana kwao na hao wana itikadi tofauti na wana viongozi wao wa kisiasa wanaowakubali, koleo number 4
. Kuna wapinzani wake ndani ya CCM ambao hawajaridhika na uteuzi wake, koleo number 5

Sasa kwanini katika watia nia 176 kachukuliwa yeye!? Je, ni nguvu ya Shekeli!? Muda utasema.

RIP Mchungaji Dr. MB Getrude Lwakatare. Mlima wa Moto umeondoka nao!

Nadhani kuna hatua kama tano za utezi ndani ya CCM. Kura za maoni ni hatua ya kwanza kabisa, baada ya hapo kuna Kamati ya Siasa ya Wilaya, Kamati ya Siasa ya Mkoa, Kamati Kuu, na mwisho halmashauri Kuu. Information zinazoletwa kutoka kamati za siasa za Wilaya na mikaoa ndizo zinazotumiwa na kamati kuu katika kupendekea majina yanayopitishwa na halmasuri Kuu. Nadhani ndivyo inavyofanyika; yaani kamati kuu haiwezi kupanga wa kuptisha jina la mtu bila kufuata mapendekezo ya kamati za siasa za Wilaya na za Mikoa. Inawezekana mtu alishinda kwenye mkura za maoni, lakini kamati zile za siasa zikaona kuwa nafasi yake ya kushinda jimbo ni ndogo sana kwa sababu yoyote ile (e.g., kuwepo pale siku nyingi hadi watu wakamchoka, kutokujulikana, kuhusishwa na tuhuma zinazikiuka maadili na mambo mengine yoyote yale) , basi wanaweza kutopitisha jina lake.
 
Mara kadha nimeshawahi kuuliza kama ni nani anaihujumu CCM na kwanini anafanya hivyo. Nimeandika na mada pia kulihusu hili
Matokeo ya teuzi za ubunge yametoka, hayakuangalia kigezo cha aliyepata kura nyingi za wajumbe na kushika number moja. Hili majibu pekee yana CCM huko kwenye Kamati Kuu.

Tunatambua wote hali ilivyokuwa kwenye mchuano wa wana CCM Kawe; watia nia walikuwa si chini ya 176. Mshindi hakutarajiwa na wengi lakini ndio lilikuwa chaguo la wajumbe.

Serikali yetu haina dini lakini bungeni alipenyezwa mama Getrude Lwakatare aliyekuwa na Kanisa rasmi la Mlima wa Moto. Mama huyu hayupo tena duniani na pengine bado CCM inamhitaji mchungaji mwingine bungeni.

Je, katika wagombea wote 176 CCM wameona Gwajima ndio anafaa? Hivi hata kwa usafi na weledi wa kiroho na kimwili huyu mtu ni chaguo sahihi kweli? Hasa kwa jimbo kama la Kawe!?

Ni Gwajima huyu aliyeshikwa uongo wa kumfufua mwanafunzi wa shule ya msingi Kurasini
Ni Gwajima huyu aliyekamatwa na uongo wa kufufua misukule
Ni Gwajima huyu aliyemtukana kiongozi wa kiroho wa Kanisa Katoliki Tanzania Mhashamu Polycap Pengo
Ni Gwajima huyu aliyeshikwa ugoni na wake za watu ama waumini wake
Ni Gwajima huyu mwenye tuhuma za ngono kila kona
Ni Gwajima huyu aliyetaka kuwatoroka polisi akijifanya mgonjwa wakati alipokuwa anakabiliwa na kesi fulani..begi lake lilikutwa na silaha mbili za moto na risasi zake
Ni Gwajima huyu mwenye kashfa na mwenye misuguano na watu wa kila aina

Kuna baadhi wanasema kapita kwa sababu ya kabila, hii ni dhana lakini inaweza kuwa potofu.

Kuna wanaosema kapita kwakuwa ana waumini wengi sana. Hii ni dhana dhaifu sana kwakuwa hao waumini wake wanatoka sehemu mbalimbali, si wakazi wa Kawe wote. Dhana moja halisi ni moja au mbili:

1. Gwajima ni bilionea kwa viwango vyetu, lakini je ubilionea wake ni sadaka tu? Hana mishe nyingine nyuma ya uchungaji!? Tunafahamu kwa ukubwa wa chama kama CCM ni vigumu mno kuwakwepa wafadhili. Je, Gwajima ni mmojawapo?

2. Gwajima ni sehemu ya mamlaka!? Hili tuliache kama lilivyo.

Vyovyote iwavyo, Gwajima sio chaguo sahihi la mgombea wa kisiasa:

Alishasema wazi kuwa mbunge ni kujishusha kwakuwa yeye ni mtumishi wa Mungu, koleo number 1. Alishawatukania Wakatoliki kiongozi wao, koleo number 2. Hawezi kupata kura za waumini wengine na wa imani nyingine kwakuwa si mwanasiasa ni kiongozi wa dini tena binafsI, koleo number 3.

Hawezi kupata kura zote za waumini wake, wote si wakazi wa Kawe wana kwao na hao wana itikadi tofauti na wana viongozi wao wa kisiasa wanaowakubali, koleo number 4.

Kuna wapinzani wake ndani ya CCM ambao hawajaridhika na uteuzi wake, koleo number 5

Sasa kwanini katika watia nia 176 kachukuliwa yeye!? Je, ni nguvu ya Shekeli!? Muda utasema.

RIP Mchungaji Dr. MB Getrude Lwakatare. Mlima wa Moto umeondoka nao!
Hahahahahahaha kweli nimeamini wale machizi wa Milembe Dodoma ni wazima kabisa Machizi wapo huku mtaani.
Kwa akili zako unaona ndiyo unamchafua Gwajima kumbe ndiyo unazidi kumpa umaarufu zaidi na achukuwe jimbo la Kawe asubuhi na mapema.
Tafuta hoja ww Kibaraka wa chama acha kuongea pumba za mpunga bwege ww.
 
Hahahahahahaha kweli nimeamini wale machizi wa Milembe Dodoma ni wazima kabisa Machizi wapo huku mtaani.
Kwa akili zako unaona ndiyo unamchafua Gwajima kumbe ndiyo unazidi kumpa umaarufu zaidi na achukuwe jimbo la Kawe asubuhi na mapema.
Tafuta hoja ww Kibaraka wa chama acha kuongea pumba za mpunga bwege ww.
6328d7411479226613e8110d8f3371c7.jpg
 
Back
Top Bottom