Hilo ni kanisa katoliki. Kila kanisa na msimamo wake. Mbona unataka kutufokea ? Nani kakwambia kwamba wakristo wote hapa Tanzania ni wakatoliki?Unajua ni kwanini Kanisa katoliki lilimvua kanzu padre aliyetia nia!? Siasa na dini ni vitu viwili tofauti kabisa
Unapokurupuka usingizini usikimbilie kushika simu...tulia kwanza fanya ibada...Mshukuru Mungu kwa kukuamsha salama...kisha perusi sasa JF ..ukiona mada inayofaa kuchangia isome kwa makini ielewe kisha ndio uchangie..kwa njia hiyo utajenga afya ya akili yakoGwajima ndio mbunge wa Kawe hadi 2025 hutaki kajinyonge.
Unapokurupuka usingizini usikimbilie kushika simu...tulia kwanza fanya ibada...Mshukuru Mungu kwa kukuamsha salama...kisha perusi sasa JF ..ukiona mada inayofaa kuchangia isome kwa makini ielewe kisha ndio uchangie..kwa njia hiyo utajenga afya ya akili yakoHilo ni kanisa katoliki. Kila kanisa na msimamo wake. Mbona unataka kutufokea ? Nani kakwambia kwamba wakristo wote hapa Tanzania ni wakatoliki?
Watumishi wa umma mateso ya miaka 5 ya hakuna increments, kupanda vyeo (walimu),ongezeko la mshahara,kutolipwa malimbikizo yenu n.k iwe ni fundisho na akili zenu kuikataa ccm kwa nguvu zote.Familia zenu ziikatae ccm.
Msiwapigie kura ya urais,wabunge wala madiwani.Ndiyo wadhalilishaji wenu
Mmh umetoa mfano ambao sio Hai...Mada yangu ilihusu makandokando mengi ya Gwajima yale ambayo yalihit sana naomba niambie moja tu nililomsingizia tafadhali
Mshana Jr hata DC wa Kisarawe wakati anateuliwa wengi walimsema hv hv kama Gwajiboy!
Mara ana video za uchi,mara ni kimanda wa Jiwe,ila kipo wapi?
Gwajiboy twende kazi!
Bado nakusisitiza Unapokurupuka usingizini usikimbilie kushika simu...tulia kwanza fanya ibada...Mshukuru Mungu kwa kukuamsha salama...kisha perusi sasa JF ..ukiona mada inayofaa kuchangia isome kwa makini ielewe kisha ndio uchangie..kwa njia hiyo utajenga afya ya akili yakoMbona hujatoa makando makando ya Halima Mdee ambayo yamekuwa yakihit sana ? Au kwa sababu ni mpare mwenzio ? Sisi wana kawe hatudanganyiki.
Naona unampigia chapuo mpare mwenzako mdee
Cardinal huyu anahusika kimchagua Papa ni kiongozi mzito kweli kweli sasa anapotokea mtumishi mwingine wa dhehebu tofauti kumdhihaki Cardinal Pengo eti amekula maharage ya wapi sijui nini kwa kweli siwezi kumpatia kura yangu.
Chama kinachoweza kutuletea mgombea wa kiwango cha Gwajima maana yake kimetudharau Wakatoliki wote Tanzania na Duniani.
Chama kinachoweza kutuletea mgombea wa kiwango cha Gwajima maana yake kimewadharau WaIslam wote Tanzania na kimeona ni sawa misikiti na madrasa yote ya Kawe igeuzwe Sunday School.
Unapokurupuka usingizini usikimbilie kushika simu...tulia kwanza fanya ibada...Mshukuru Mungu kwa kukuamsha salama...kisha perusi sasa JF ..ukiona mada inayofaa kuchangia isome kwa makini ielewe kisha ndio uchangie..kwa njia hiyo utajenga afya ya akili yako
Ni ushauri uchukue utakufaa sana kwa afya yako ya akili na kuna siku utanikumbukaUsinifundishe ibada kama ambavyo mimi siwezi kukufundisha kuwanga, maana ndio maisha yangu halisi ya kumwabudu Mungu Muumba mbingu na nchi kama wewe ulivyozoea kuleta hoja za kuwanga. Nadhani umenielewa.
Koleo la tano;-
Shabaha yake ya kugeuza misikiti & madrasa kuwa makanisa na Sunday schools.
Kwa hapo tu ameshakosa kura zetu ma 'Alwatan'
Mohamed Said karibu utie neno hapa Maalim wangu
Gwaji boy ndo kiboko ya Halima Mdee, subirini atakavyoliwasha dudeeeeeeeMara kadha nimeshawahi kuuliza kama ni nani anaihujumu CCM na kwanini anafanya hivyo. Nimeandika na mada pia kulihusu hili
Matokeo ya teuzi za ubunge yametoka, hayakuangalia kigezo cha aliyepata kura nyingi za wajumbe na kushika number moja. Hili majibu pekee yana CCM huko kwenye Kamati Kuu.
Tunatambua wote hali ilivyokuwa kwenye mchuano wa wana CCM Kawe; watia nia walikuwa si chini ya 176. Mshindi hakutarajiwa na wengi lakini ndio lilikuwa chaguo la wajumbe.
Serikali yetu haina dini lakini bungeni alipenyezwa mama Getrude Lwakatare aliyekuwa na Kanisa rasmi la Mlima wa Moto. Mama huyu hayupo tena duniani na pengine bado CCM inamhitaji mchungaji mwingine bungeni.
Je, katika wagombea wote 176 CCM wameona Gwajima ndio anafaa? Hivi hata kwa usafi na weledi wa kiroho na kimwili huyu mtu ni chaguo sahihi kweli? Hasa kwa jimbo kama la Kawe!?
Ni Gwajima huyu aliyeshikwa uongo wa kumfufua mwanafunzi wa shule ya msingi Kurasini
Ni Gwajima huyu aliyekamatwa na uongo wa kufufua misukule
Ni Gwajima huyu aliyemtukana kiongozi wa kiroho wa Kanisa Katoliki Tanzania Mhashamu Polycap Pengo
Ni Gwajima huyu aliyeshikwa ugoni na wake za watu ama waumini wake
Ni Gwajima huyu mwenye tuhuma za ngono kila kona
Ni Gwajima huyu aliyetaka kuwatoroka polisi akijifanya mgonjwa wakati alipokuwa anakabiliwa na kesi fulani..begi lake lilikutwa na silaha mbili za moto na risasi zake
Ni Gwajima huyu mwenye kashfa na mwenye misuguano na watu wa kila aina
Kuna baadhi wanasema kapita kwa sababu ya kabila, hii ni dhana lakini inaweza kuwa potofu.
Kuna wanaosema kapita kwakuwa ana waumini wengi sana. Hii ni dhana dhaifu sana kwakuwa hao waumini wake wanatoka sehemu mbalimbali, si wakazi wa Kawe wote. Dhana moja halisi ni moja au mbili:
1. Gwajima ni bilionea kwa viwango vyetu, lakini je ubilionea wake ni sadaka tu? Hana mishe nyingine nyuma ya uchungaji!? Tunafahamu kwa ukubwa wa chama kama CCM ni vigumu mno kuwakwepa wafadhili. Je, Gwajima ni mmojawapo?
2. Gwajima ni sehemu ya mamlaka!? Hili tuliache kama lilivyo.
Vyovyote iwavyo, Gwajima sio chaguo sahihi la mgombea wa kisiasa:
. Alishasema wazi kuwa mbunge ni kujishusha kwakuwa yeye ni mtumishi wa Mungu, koleo number 1
. Alishawatukania Wakatoliki kiongozi wao, koleo number 2
. Hawezi kupata kura za waumini wengine na wa imani nyingine kwakuwa si mwanasiasa ni kiongozi wa dini tena binafsI, koleo number 3
. Hawezi kupata kura zote za waumini wake, wote si wakazi wa Kawe wana kwao na hao wana itikadi tofauti na wana viongozi wao wa kisiasa wanaowakubali, koleo number 4
. Kuna wapinzani wake ndani ya CCM ambao hawajaridhika na uteuzi wake, koleo number 5
Sasa kwanini katika watia nia 176 kachukuliwa yeye!? Je, ni nguvu ya Shekeli!? Muda utasema.
RIP Mchungaji Dr. MB Getrude Lwakatare. Mlima wa Moto umeondoka nao!
Idara ya ujasusi ya CCM imepwaya kwa hili haikufuatilia rekodi zakeKoleo la tano;-
Shabaha yake ya kugeuza misikiti & madrasa kuwa makanisa na Sunday schools.
Kwa hapo tu ameshakosa kura zetu ma 'Alwatan'
Mohamed Said karibu utie neno hapa Maalim wangu
Waislamu wa kawe watampa kura kwa kauli zake za kihuni kama hizo za kugeuza madrasa na misikiti kuwa sunday school?Koleo la tano;-
Shabaha yake ya kugeuza misikiti & madrasa kuwa makanisa na Sunday schools.
Kwa hapo tu ameshakosa kura zetu ma 'Alwatan'
Mohamed Said karibu utie neno hapa Maalim wangu
Kuusaka Ubunge na kupiga uno ni vitu viwili tofauti kabisaGwaji boy ndo kiboko ya Halima Mdee, subirini atakavyoliwasha dudeeeeeee
Porn star atamshinda nani labda ashinde njaaMara kadha nimeshawahi kuuliza kama ni nani anaihujumu CCM na kwanini anafanya hivyo. Nimeandika na mada pia kulihusu hili
Matokeo ya teuzi za ubunge yametoka, hayakuangalia kigezo cha aliyepata kura nyingi za wajumbe na kushika number moja. Hili majibu pekee yana CCM huko kwenye Kamati Kuu.
Tunatambua wote hali ilivyokuwa kwenye mchuano wa wana CCM Kawe; watia nia walikuwa si chini ya 176. Mshindi hakutarajiwa na wengi lakini ndio lilikuwa chaguo la wajumbe.
Serikali yetu haina dini lakini bungeni alipenyezwa mama Getrude Lwakatare aliyekuwa na Kanisa rasmi la Mlima wa Moto. Mama huyu hayupo tena duniani na pengine bado CCM inamhitaji mchungaji mwingine bungeni.
Je, katika wagombea wote 176 CCM wameona Gwajima ndio anafaa? Hivi hata kwa usafi na weledi wa kiroho na kimwili huyu mtu ni chaguo sahihi kweli? Hasa kwa jimbo kama la Kawe!?
Ni Gwajima huyu aliyeshikwa uongo wa kumfufua mwanafunzi wa shule ya msingi Kurasini
Ni Gwajima huyu aliyekamatwa na uongo wa kufufua misukule
Ni Gwajima huyu aliyemtukana kiongozi wa kiroho wa Kanisa Katoliki Tanzania Mhashamu Polycap Pengo
Ni Gwajima huyu aliyeshikwa ugoni na wake za watu ama waumini wake
Ni Gwajima huyu mwenye tuhuma za ngono kila kona
Ni Gwajima huyu aliyetaka kuwatoroka polisi akijifanya mgonjwa wakati alipokuwa anakabiliwa na kesi fulani..begi lake lilikutwa na silaha mbili za moto na risasi zake
Ni Gwajima huyu mwenye kashfa na mwenye misuguano na watu wa kila aina
Kuna baadhi wanasema kapita kwa sababu ya kabila, hii ni dhana lakini inaweza kuwa potofu.
Kuna wanaosema kapita kwakuwa ana waumini wengi sana. Hii ni dhana dhaifu sana kwakuwa hao waumini wake wanatoka sehemu mbalimbali, si wakazi wa Kawe wote. Dhana moja halisi ni moja au mbili:
1. Gwajima ni bilionea kwa viwango vyetu, lakini je ubilionea wake ni sadaka tu? Hana mishe nyingine nyuma ya uchungaji!? Tunafahamu kwa ukubwa wa chama kama CCM ni vigumu mno kuwakwepa wafadhili. Je, Gwajima ni mmojawapo?
2. Gwajima ni sehemu ya mamlaka!? Hili tuliache kama lilivyo.
Vyovyote iwavyo, Gwajima sio chaguo sahihi la mgombea wa kisiasa:
. Alishasema wazi kuwa mbunge ni kujishusha kwakuwa yeye ni mtumishi wa Mungu, koleo number 1
. Alishawatukania Wakatoliki kiongozi wao, koleo number 2
. Hawezi kupata kura za waumini wengine na wa imani nyingine kwakuwa si mwanasiasa ni kiongozi wa dini tena binafsI, koleo number 3
. Hawezi kupata kura zote za waumini wake, wote si wakazi wa Kawe wana kwao na hao wana itikadi tofauti na wana viongozi wao wa kisiasa wanaowakubali, koleo number 4
. Kuna wapinzani wake ndani ya CCM ambao hawajaridhika na uteuzi wake, koleo number 5
Sasa kwanini katika watia nia 176 kachukuliwa yeye!? Je, ni nguvu ya Shekeli!? Muda utasema.
RIP Mchungaji Dr. MB Getrude Lwakatare. Mlima wa Moto umeondoka nao!