Je, Habari ya watu waliochaguliwa na Mungu ni ya kweli?

Je, Habari ya watu waliochaguliwa na Mungu ni ya kweli?

Niki Rejea katika mstari wa biblia.

Unasema waliopewa mwaliko ni wengi lakini waliochaguliwa ni wachache(mathayo)

Hata kuna msanii aliyeimba wimbo wa sisi ni wale tuliochaguliwa na mungu

Swali langu ni hili
Utajuaje kama wewe ni kati ya wale waliochaguliwa na Mungu?
ishara zake ni zipi?
Tufunguane macho
Amini kwamba hata wanaosema Mungu yupo au hayupo wamepitishwa mazingira tofauti tofauti ambayo mwisho wa siku mmoja anaamini kabisa 200% kuwa Mungu hayupo na wakati huohuo Mwingine anapigishwa sehem inayomfanya ukisema Mungu hayupo wewe utakua ni Chizi...so maana yake wewe unayejiona pia kuwa umemjua Mungu jua kwamba sio kwasababu ya matendo yako ni favor tu umepata
 
Amini kwamba hata wanaosema Mungu yupo au hayupo wamepitishwa mazingira tofauti tofauti ambayo mwisho wa siku mmoja anaamini kabisa 200% kuwa Mungu hayupo na wakati huohuo Mwingine anapigishwa sehem inayomfanya ukisema Mungu hayupo wewe utakua ni Chizi...so maana yake wewe unayejiona pia kuwa umemjua Mungu jua kwamba sio kwasababu ya matendo yako ni favor tu umepata
Upendeleo wa nn nilioupata
swali langu halikulenga hayo unayoyasema kwamba mungu yupo au hayupo
Soma vizur swali langu
 
Back
Top Bottom