Je, Habari ya watu waliochaguliwa na Mungu ni ya kweli?

Je, Habari ya watu waliochaguliwa na Mungu ni ya kweli?

Nikiziainisha utanigezea.

Taja yako uliyofikiria niijue 😂😂
Sio siri umenifanya nicheke sana
Hivi mwanafunzi akimgeza mwalimu kuna ubaya
Najua unaniwekea mtego nitaje kile unachota kukisikia
Sisemi ng'o
 
Sio siri umenifanya nicheke sana
Hivi mwanafunzi akimgeza mwalimu kuna ubaya
Najua unaniwekea mtego nitaje kile unachota kukisikia
Sisemi ng'o
Sasa unasema mwenyewe kwa uhuru wako, unasemaje nataka utaje kile ninachotaka?
 
Samah
Samahan naomba uelezee kuhusu hili yaan uingie kiundani zaidi
Maana kila mtu anapitia magumu
choosen one au star sd ni watu wachache walozaliwa na karama ya kiroho,mara nyingi huwaga wanapitia changamoto mbali mbali ili waamke kiroho na kujua kusudio lao la kuwa duniani,unaweza kuta mtu anaugua au kutengwa baada ya kupona anakuwa na maarifa na nguvu za ajabu iwe kiroho au vyovyote.mara nyingi ni watu waloshindikana kiroho,ukiwa mbaya atakujua tu,ataugua kiasi cha kutisha lakini atapona kwa njia za ajabu
 
😅😅😅 Special mission tena!, how?, ila kuhusu darasa ni wewe umeomba kufunzwa na elimu hainyimwi na ndio maana nikakupa all options zilizopo duniani zitumikazo kwaajiri ya kufundishia zibaki kwenye machaguo yako.

Sikujua kama ulidhani niko na darasa la wanafunzi tele ndio maana nawewe unaomba kufunzwa😅😅😅

Kama ni hivyo sina, kwasababu siwezi changanya missions 😅
Kuwa na darasa tele ni kuchanganya mission
Lakini kuwa na darasa la mtu mmoja si kuchanganya mission🤣🤣🤣🤣🤣
Au nimeelewa vibaya
 
Sasa unasema mwenyewe kwa uhuru wako, unasemaje nataka utaje kile ninachotaka?
Sikujibu tena kuchoshana na kunyonyana nguvu tu hapa uonekane mtata mjuaji
unakiranga kama jina lako
 
Kuwa na darasa tele ni kuchanganya mission
Lakini kuwa na darasa la mtu mmoja si kuchanganya mission🤣🤣🤣🤣🤣
Au nimeelewa vibaya
Yeah umeelewa vibaya 😂😂😂, rejea kwenye elimu hainyimwi... Meaning ukiihitaji unafunzwa lakini hakutawahi kuwa na official class ambayo utahitaji Kila siku kwenye constant time uwe darasani kwaajiri ya kuwafunza nyie form ones😂😂😂
 
choosen one au star sd ni watu wachache walozaliwa na karama ya kiroho,mara nyingi huwaga wanapitia changamoto mbali mbali ili waamke kiroho na kujua kusudio lao la kuwa duniani,unaweza kuta mtu anaugua au kutengwa baada ya kupona anakuwa na maarifa na nguvu za ajabu iwe kiroho au vyovyote.mara nyingi ni watu waloshindikana kiroho,ukiwa mbaya atakujua tu,ataugua kiasi cha kutisha lakini atapona kwa njia za ajabu
Asante kwa ufafanuzi
je hawa watu huwa wanaogopwa na kuchukiwa sana na watu wabaya bila sababu kutokana na nguvu waliyoibeba ndani mwao
 
😂😂😂😂😂unaona mawazo yako ulivyoyapeleka mbali ndicho ulichokuwa ukikilenga kwenye zile tafsiri zako
Kunyonyana tena?
 
Yeah umeelewa vibaya 😂😂😂, rejea kwenye elimu hainyimwi... Meaning ukiihitaji unafunzwa lakini hakutawahi kuwa na official class ambayo utahitaji Kila siku kwenye constant time uwe darasani kwaajiri ya kuwafunza nyie form ones😂😂😂
Nipe mafunzo hapa unaonaje
 
Nipe mafunzo hapa unaonaje
Sawa... Wacha niandae notes zikiwa tayari nitaziweka (ole wako uniandikishe tu notes halafu usizisome au uzisome halafu usizifanyie kazi)😂😂😂😂
 
Sawa... Wacha niandae notes zikiwa tayari nitaziweka (ole wako uniandikishe tu notes halafu usizisome au uzisome halafu usizifanyie kazi)😂😂😂😂
Nitazisoma nakuzifanyia kazi nakuahidi siwez mchosha mtumishi wa mungu bure
 
Asante kwa ufafanuzi
je hawa watu huwa wanaogopwa na kuchukiwa sana na watu wabaya bila sababu kutokana na nguvu waliyoibeba ndani mwao
kabisa maana mda wowote wanakuwa wanawindwa na watu wabaya,wabaya wakishindwa ndo utasikia wanapakaziwa mambo ya ajabu mara wachawi n.k,choosen one ukimfukuza kazi utashangaa baadaya dakika tano anapigiwa simu ya kupata kazi nyingine,ukimkosea lazima karma ikutafune
 
kabisa maana mda wowote wanakuwa wanawindwa na watu wabaya,wabaya wakishindwa ndo utasikia wanapakaziwa mambo ya ajabu mara wachawi n.k,choosen one ukimfukuza kazi utashangaa baadaya dakika tano anapigiwa simu ya kupata kazi nyingine,ukimkosea lazima karma ikutafune
Asante sana mpendwa
 
Back
Top Bottom