Je, Habari ya watu waliochaguliwa na Mungu ni ya kweli?

Je, Habari ya watu waliochaguliwa na Mungu ni ya kweli?

πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… wew ni introvent au extrovent
Introvert plus plus πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Ujanja huwa unaishia hapa nyuma ya keyboard.
 
Sawa hayo ni makosa tu ya kiuandishi naona umepata sababu
Unataka kukutana na mimi ana kwa ana wapi?

Kitu gani unachimoweza kufanya ana kwa ana nami ambacho huwezi kufanya hapa?

Unajuaje mini nataka kukutana na mtu yeyote hapa ana kwa ana?
 
🀣🀣🀣🀣🀣huwa unashtuka usingizini kati ya saa9am-11am
Introvert plus plus πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Ujanja huwa unaishia hapa nyuma ya keyboard.
 
Niki Rejea katika mstari wa biblia.

Unasema waliopewa mwaliko ni wengi lakini waliochaguliwa ni wachache(matayo)

Hata kuna msanii aliyeimba wimbo wa sisi ni wale tuliochaguliwa na mungu

Swali langu ni hili
Utajuaje kama wewe ni kati ya wale waliochaguliwa na Mungu?
ishara zake ni zipi?
Tufunguane macho
 
🀣🀣🀣🀣🀣huwa unashtuka usingizini kati ya saa9am-11am
Ndio mida yangu ya kufanya meditation hiyo, so hata nikilala karoso dk moja lazima niamke na dk 1πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Au na chat na mtu ambae ananijua niniπŸ€”
 
Unataka kukutana na mimi ana kwa ana wapi?

Kitu gani unachimoweza kufanya ana kwa ana nami ambacho huwezi kufanya hapa?

Unajuaje mini nataka kukutana na mtu yeyote hapa ana kwa ana?
Popote
Vitendo
Hali yako ya kukataa uwepo wa mungu ndio iliyonifanya nijue unahitaji kukutana na mtu kama mimi
 
Popote
Vitendo
Hali yako ya kukataa uwepo wa mungu ndio iliyonifanya nijue unahitaji kukutana na mtu kama mimi
Vitendo gani hivyo unataka kunitenda ambavyo huwezi kuvisema hapa tukajadiliana na kuelewana?
 
Shaka ondoaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Ndio mida yangu ya kufanya meditation hiyo, so hata nikilala karoso dk moja lazima niamke na dk 1πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Au na chat na mtu ambae ananijua niniπŸ€”
 
Niki Rejea katika mstari wa biblia.

Unasema waliopewa mwaliko ni wengi lakini waliochaguliwa ni wachache(matayo)

Hata kuna msanii aliyeimba wimbo wa sisi ni wale tuliochaguliwa na mungu

Swali langu ni hili
Utajuaje kama wewe ni kati ya wale waliochaguliwa na Mungu?
ishara zake ni zipi?
Tufunguane macho
vaa vazi la harusi
 
hawa ni watu wachache wenye karama ya kiroho hata wapite kwenye magumu ya namna gani lazima wayashinde na wanaendelea kuwa bora hawa wanaitwa choosen one
 
Samah
hawa ni watu wachache wenye karama ya kiroho hata wapite kwenye magumu ya namna gani lazima wayashinde na wanaendelea kuwa bora hawa wanaitwa choosen one
Samahan naomba uelezee kuhusu hili yaan uingie kiundani zaidi
Maana kila mtu anapitia magumu
 
Back
Top Bottom