Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
Introvert plus plus πππ... Ujanja huwa unaishia hapa nyuma ya keyboard.π€£π€£π€£π π π wew ni introvent au extrovent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Introvert plus plus πππ... Ujanja huwa unaishia hapa nyuma ya keyboard.π€£π€£π€£π π π wew ni introvent au extrovent
Unataka kukutana na mimi ana kwa ana wapi?Sawa hayo ni makosa tu ya kiuandishi naona umepata sababu
Niki Rejea katika mstari wa biblia.
Unasema waliopewa mwaliko ni wengi lakini waliochaguliwa ni wachache(matayo)
Hata kuna msanii aliyeimba wimbo wa sisi ni wale tuliochaguliwa na mungu
Swali langu ni hili
Utajuaje kama wewe ni kati ya wale waliochaguliwa na Mungu?
ishara zake ni zipi?
Tufunguane macho
Ndio mida yangu ya kufanya meditation hiyo, so hata nikilala karoso dk moja lazima niamke na dk 1πππ... Au na chat na mtu ambae ananijua niniπ€π€£π€£π€£π€£π€£huwa unashtuka usingizini kati ya saa9am-11am
PopoteUnataka kukutana na mimi ana kwa ana wapi?
Kitu gani unachimoweza kufanya ana kwa ana nami ambacho huwezi kufanya hapa?
Unajuaje mini nataka kukutana na mtu yeyote hapa ana kwa ana?
Vitendo gani hivyo unataka kunitenda ambavyo huwezi kuvisema hapa tukajadiliana na kuelewana?Popote
Vitendo
Hali yako ya kukataa uwepo wa mungu ndio iliyonifanya nijue unahitaji kukutana na mtu kama mimi
vaa vazi la harusiNiki Rejea katika mstari wa biblia.
Unasema waliopewa mwaliko ni wengi lakini waliochaguliwa ni wachache(matayo)
Hata kuna msanii aliyeimba wimbo wa sisi ni wale tuliochaguliwa na mungu
Swali langu ni hili
Utajuaje kama wewe ni kati ya wale waliochaguliwa na Mungu?
ishara zake ni zipi?
Tufunguane macho
Hatari hiyoπππShaka ondoaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π π π π π
Unajuaje kwangu ni jioni?Jioni njema mr kiranga
Tena kijijini
Samahan naomba uelezee kuhusu hili yaan uingie kiundani zaidihawa ni watu wachache wenye karama ya kiroho hata wapite kwenye magumu ya namna gani lazima wayashinde na wanaendelea kuwa bora hawa wanaitwa choosen one