Je, Habari ya watu waliochaguliwa na Mungu ni ya kweli?

Je, Habari ya watu waliochaguliwa na Mungu ni ya kweli?

Niki Rejea katika mstari wa biblia
Unasema waliopewa mwaliko ni wengi lakin waliochaguliwa ni wa chache(matayo)

Hata kuna msanii aliyeimba wimbo wa sisi ni wale tuliochaguliwa na mungu

Swali langu ni hili
Utajuaje kama wew ni kati ya wale waliochaguliwa na mungu ????
ishara zake ni zipi?????
Tufunguane macho
Nikuulize swali ... Kisha tuendelee

Unaongelewa kuchaguliwa katika Nini?

SRUV
“Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini walioteuliwa ni wachache.” Mathayo 22:14

Tutumie hiyo rejea yako!
 
May be true kwa sababu in the past mungu alimchagua adam wengine akawatupa,alichagua taifa la Israel mengine akayatupa, alimchagua yakobo Esau akamtupa. It's up to him
 
Je unafanya yake yanayompendeza Mungu?

Wew una upendo,Amri kuu ni upendo na Ndio tulioachiwa,
Tusali ,
Tuombe Toba tunapokosea
Tuwe watu wa shukrani
Kama amri kuu ni upendo, Mbona huyo Mungu mwenyewe alishindwa kumpenda adui yake Shetani akamlaani?

Sasa huyo Mungu inaonekana hatekelezeki hata anavyovisema.

Ana tendea wengine tofauti kabisa na amri zake.
 
May be true kwa sababu in the past mungu alimchagua adam wengine akawatupa,alichagua taifa la Israel mengine akayatupa, alimchagua yakobo Esau akamtupa. It's up to him
Inaonekana huyo Mungu ana upendeleo sana na wala hajielewi kabisa

Yani alichagua taifa moja tu la Israel kuwa taifa lake, Halafu anataka aabudiwe na kuaminiwa na watu wa mataifa yote?

Hivi huyo Mungu ana jielewa kweli?
 
Niki Rejea katika mstari wa biblia
Unasema waliopewa mwaliko ni wengi lakin waliochaguliwa ni wa chache(matayo)

Hata kuna msanii aliyeimba wimbo wa sisi ni wale tuliochaguliwa na mungu

Swali langu ni hili
Utajuaje kama wew ni kati ya wale waliochaguliwa na mungu ????
ishara zake ni zipi?????
Tufunguane macho
Jibu lipo Warumi 8: 16 & 17. Ukiona unajiuliza nimo au simo, jua haumo.

Mathayo sio matayo.
Mungu/MUNGU sio mungu.
 
Bibilia au Bible imeandikwa katika Fiction language (lugha ya kubuni) unabaidi kutafsiri baadhi ya maandiko kwa kutumia tafsiri ambayo italeta maana maana kwako.


Mungu ambaye anajulikana kuwa ni muweza wa yote hawezi akandaa watu kwa makundi makundi .

Kinachotokea hapa duniani ni umezaliwa wapi, umelelewa wapi na umekutana na akina nani katika MAISHA.
 
Kama amri kuu ni upendo, Mbona huyo Mungu mwenyewe alishindwa kumpenda adui yake Shetani akamlaani?

Sasa huyo Mungu inaonekana hatekelezeki hata anavyovisema.

Ana tendea wengine tofauti kabisa na amri zake.

Shetani alihasi,Au alikufuru,Shetani alianzisha ushindani na Mungu.
Unafikiri Mungu akitaka kumuua shetani angeshindwa?
 
Tuanzie Hapa! Ntakueleza kwa uwelewa wangu mdogo, nilio nao kutokea huku kimbiji!


“Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini walioteuliwa ni wachache.”

Kwa maana walioitwa ni wengi? Maana yake nini? Waliitwa kutokea wapi?

Adam na Hawa! Waliopoteza nafasi kwa kitendo walichofanya pale Eden ... Ndio Sababu Mungu alimtuma Yesu Kristo ili Kutafuta Kilichopotea!

Mungu huwaita watu kwanza kwa njia ya wokovu ili kurudi katika wake! God's Kingdom

Paraphrasing ... Akatuokoa Kutoka Katika UFALME wa Giza na Kutuingiza Katika UFALME wake (Wa Mwana na Pendo lake)

So kuitwa kwa kwanza kuliko muhimu ni kuitwa Kumpokea Yesu Kristo Kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yako! That's a genuine calling

Kutokea Hapo, Sasa Kama tumeitikia huo wito watu wengi, yaani mfano Mimi, wewe, Monetary doctor dosho12

Tunakuwa tumeiitwa wengiiiiii ... Ila kwa kuwa tuna vipawa na karama tofauti,

Plus uwezo wa kuukulia wokovu pia hutofautiana ... Kati wengi tuliitwa wanaweza kuteuliwa wachache for the specific mission ndani ya UFALME wa Mungu

Hata hivyo .... Aisee wito umeisha 😂
 
Niki Rejea katika mstari wa biblia.

Unasema waliopewa mwaliko ni wengi lakini waliochaguliwa ni wachache(matayo)

Hata kuna msanii aliyeimba wimbo wa sisi ni wale tuliochaguliwa na mungu

Swali langu ni hili
Utajuaje kama wewe ni kati ya wale waliochaguliwa na Mungu?
ishara zake ni zipi?
Tufunguane macho
Kila mtu ambae yupo duniani hajaja hapa kwa bahati mbaya ila amekuja kwasababu kuna mission ambayo anatakiwa kuitimiza, kwahiyo Kila mtu amechaguliwa ila what is your mission? Hili ndio swali ambalo unatakiwa ujiulize na ukishaijua basi huko ndiko ulikochaguliwa kuhudumu.

So, what's your mission?😅
 
Nikuulize swali ... Kisha tuendelee

Unaongelewa kuchaguliwa katika Nini?

SRUV
“Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini walioteuliwa ni wachache.” Mathayo 22:14

Tutumie hiyo rejea yako!
Kwaajili ya kazi maalumu ya kitume
 
Back
Top Bottom