ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,895
- 13,643
Naelewe hilo Mkuu....huyu wa kuja kaamua kuwatumia wasukuma kwa wingi wao kwa manufaa yake binafsi kisiasa na wengi wao wanajaa mkenge. Kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120 ni hatari kutukuza ukabila, hata kama mtu akiwa ndo mnufaika wa ukabila ni vema akaukataa ukabila kwani kuna wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna.