Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

We nae unachuja sasa! Tushakuzoea na hako ka kauli kako ka kutaka wanaokataa kuthibitisha.
Hivi ndivyo nilivyo mimi. Nimekupa stahiki yako na hii ni saizi yako, nachelea kukudhulumu. Fanya kama nilivyo kuagiza ili nichuje sasa.
Sijui ni shule gani hiyo uliyosoma inayomtaka mtu anayesema kitu hakipo athibitishe.
Huu ni uhalisia mzee, sababu kama kusema mtu akitaka kusema atasema anachokitaka na muda anao utaka, lakini ithibati ndiyo inachuja. Hutakiwi utumie akili kubwa kuona ya kuwa wewe unae kanusha ndiyo unapaswa kuthibitisha, maana lazima ujibu swali ambalo haliepukiki la kwanini umesema hivyo au umejuaje hilo ? Lakini sisi tulianza kuwajua wakubwa zenu kwa kujificha kwao kwenye kivuli na kukimbia jukumu lao la kuthibitisha na kwa ujinga wao wakaona ya kuwa wanao kiri ndio wanapaswa kuthibitisha, uoga ulioje huu. Huku wakisahau ya kuwa wao wanayo yaandika ni madai tu ambayo ili yasimame lazima yawe na ithibati. Swali hili hamlikimbii.
Wewe unayesema yalikuwepo kweli na yalitokea ndo unatakiwa kuthibitisha.
Hili litarudi kwangu endapo ungenihoji na si kukanusha kile nilichokiandika. Vijana shida yenu huwa mnaingia kwenye mijadala wakati hamjui mijadala ni nini na adabu za kujadiliana ni zipi.

Ningewajibika kukuthibitishia wewe, endapo ungeni hoji ya kuwa bwana Zurri kwanini unasema Qur'aan ni maneno ya Mungu, lakini siyo wewe unae kanusha na kukimbia jukumu la kuthibitisha, huwa nacheka sana.
Alafu kama hauna cha kuthibitisha naomba uwe unakaa kimya uache kabisa kuzoea kuni quote. Mfia dini usiyejielewa
emoji57.png
emoji57.png
emoji57.png
Nacheka sana, hakuna kulea ujinga katika dini ndiyo maana viatu vyetu nyinyi vina wapwaya.

Mwenye akili haandiki handiki tu utumbo ambao hawezi kuuthibitisha, hapa unaonyesha wazi kwa namna gani unafikiria kitoto.

Mimi nimeshatangaza vita na mabazazi kama wewe na wa mfano wake, popote nitakapo waona nawajeruhi tu, kwahiyo huna haki ya kunikataza kukuquote pale napo ona unaandika ujinga.

Naona swali limekushinda, ukija tena hakikisha umepima size ya mguu wako, viatu vyetu wafia dini ni vikubwa nyinyi vinawapwaya.
 
Kwa hiyo akikwambia ameoteshwa ivyo utaamini.
Kuoteshwa ndiyo jibu rahisi sana kwa mtu kama wewe kinyume na hapo hakuna jibu la kuanzia mjadala. Kwahiyo elewa maneno ya kuwa kusema kwake ameoteshwa hakumaanishi ya kuwa amesema ukweli.
Yaani nyie watu wa dizaini hii sijui tuwatupe wapi!!?
Tuweke mahali tunapostahiki japokuwa hili ni muhali kwenu. Halafu muwe mnajibu hoja siyo mnatupa matawi tu kisha mnalia lia. Hatulei wajinga.
Na ndio mnaoamini walioawaandikia hadithi za kutungwa kuwa walioteshwa na mnatupa kazi sisi ya kuwathibitishia kuwa hawakuota.
emoji57.png
emoji57.png
emoji57.png
emoji57.png
emoji57.png
Hapa hutoki kijana, ona rudi kule kule ambako unapakimbia, ajabu ilioje kijana unaona hatari ipo juu yako lakini unaifata. (Nacheka sana).

Swali rahisi sana ni kuwa tuthibitishie ya kuwa hizo hadithi zimetungwa. Usikimbie hoja.
 
Kwanza nimecheka sana. Haya mambo yanahitaji elimu, shida yenu ni ujuaji mwingi.

Naanzia hapa, kuna nukta mbili, utatakiwa wewe uthibitishe endapo mimi msikilizaji au unayenizungumzisha (Nafsi ya pili) niki kuhoji, na nitatakiwa mimi unaye zungumzisha nithibitishe endapi ni kikanusha hiki unachokisema, mathalani nikakwambia hivi "Hapana kwenye kichwani mwangu hakuna kinyesi ca paka",kisha na kuthibitishia.

Pili,ulichokiandika si Hadithi kwa maana ya ile hadithi tunayoijua na iliyo nukuliwa. Kwahiyo sahihisha jambo lako la kusema hicho ulichokiandika ni Hadithi.
Kwahiyo endapo wewe utashindwa kudhibitisha kichwani kwako hakuna kinyesi cha paka, automatically assertion yangu ya kwamba kichwa chako kina kinyesi cha paka ina kuwa proven???!!!! Yaan your inability to disprove what i haven’t even proven serves as proof of my assertion, unawazimu??!! Where is the logic??!
 
Kwahiyo endapo wewe utashindwa kudhibitisha kichwani kwako hakuna kinyesi cha paka, automatically assertion yangu ya kwamba kichwa chako kina kinyesi cha paka ina kuwa proved???!!!! Yaan your inability to disprove what i haven’t even proved serves as proof of my assertion, unawazimu??!! Where is the logic??!
Kijana jikite kwenye kile nilichokiandika, hakuna hata sehemu niliyo ashiria kushindwa katika maelezo, bali nimekuoa muongozo na kukuonyesha ya kuwa itifaki katika mijadala ziko hivyo.

Sasa usiandike mambo ambayo hayapo na hakuna aliyeshindwa kufanya hivyo, bali nimekuonyesha umakini unao takiwa uwe nao, ili ujue ya kuwa uoga wenu wa kukimbia maswali na kuthibitisha hamuwezi kuukwepa endapo mkiaumua kuwa wakweli na kutaka kuelimika au kuelimishwa.

Kwahiyo unatakiwa unionyeshe kinyeshi kipo wapi.
 
Kuoteshwa ndiyo jibu rahisi sana kwa mtu kama wewe kinyume na hapo hakuna jibu la kuanzia mjadala. Kwahiyo elewa maneno ya kuwa kusema kwake ameoteshwa hakumaanishi ya kuwa amesema ukweli.

Tuweke mahali tunapostahiki japokuwa hili ni muhali kwenu. Halafu muwe mnajibu hoja siyo mnatupa matawi tu kisha mnalia lia. Hatulei wajinga.

Hapa hutoki kijana, ona rudi kule kule ambako unapakimbia, ajabu ilioje kijana unaona hatari ipo juu yako lakini unaifata. (Nacheka sana).

Swali rahisi sana ni kuwa tuthibitishie ya kuwa hizo hadithi zimetungwa. Usikimbie hoja.
Kuna wakati unaandikaga vitu hata mtoto akiviona atacheka tu. Sasa na hapo unaona uliyoandika yanaeleweka!![emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kijana jikite kwenye kile nilichokiandika, hakuna hata sehemu niliyo ashiria kushindwa katika maelezo, bali nimekuoa muongozo na kukuonyesha ya kuwa itifaki katika mijadala ziko hivyo.

Sasa usiandike mambo ambayo hayapo na hakuna aliyeshindwa kufanya hivyo, bali nimekuonyesha umakini unao takiwa uwe nao, ili ujue ya kuwa uoga wenu wa kukimbia maswali na kuthibitisha hamuwezi kuukwepa endapo mkiaumua kuwa wakweli na kutaka kuelimika au kuelimishwa.

Kwahiyo unatakiwa unionyeshe kinyeshi kipo wapi.
Ona yani! Yani unaandika rundo la maneno hata hayaeleweki unachomaanisha ni nini. Hivi wenzangu mnamuelewa huyu??[emoji38][emoji38][emoji38]

NB. sijakuiliza wewe Jurjani itulie wenzangu wanijibu kama wanaelewa upupu unaoandika
 
Kuna wakati unaandikaga vitu hata mtoto akiviona atacheka tu. Sasa na hapo unaona uliyoandika yanaeleweka!![emoji848][emoji848][emoji848]
Nacheka sana, muonyeshe mtoto kisha acheke. Niliyo yaandika yamekuzidi uwezo. Jibu swali nililo kuuliza.
 
Ona yani! Yani unaandika rundo la maneno hata hayaeleweki unachomaanisha ni nini. Hivi wenzangu mnamuelewa huyu??[emoji38][emoji38][emoji38]

NB. sijakuiliza wewe Jurjani itulie wenzangu wanijibu kama wanaelewa upupu unaoandika
Naona umeishiwa cha kuandika. Unajiandikia.

Usilo lijua ni kuwa hivi ndivyo nilivyo mimi. Ukiwa na hoja nistue.
 
Naomba nitajie binadamu kama ishirini hivi au kumi hivi katika kumbukumbu zako, binadamu yeyote yule iwe nabii au mitume au mtu wa kawaida waliowahi kufikia daraja la ukamilifu kwa kutumia hizo nyenzo na hizo ala.
Hili mbona kama Jurjani kalipita kiaina. Nimetafuta alipowataja sijaona uzi mzima. Au Smt016 ulipewa majina ya hao waliofikia daraja la ukamilifu?
 
Kwahiyo Mungu kaumba binadamu mtenda makosa kwa makusudi, sivyo? Haikuwa bahati mbaya?
Isome comment yangu nimejibu kwa urefu,siwezi kujibu kwa kifupi.

Ni sawa na kuuliza kuwa necta ama serikali wanataka watu wafeli ndio maana wanatunga mitihani kuchuja watu ambao wote ni wananchi wake,swali ambalo siweji kulijibu kifupi.

Kwa hiyo naomba urejee katika hiyo comment uliyoiquote..!!!!
 
Naomba nitajie binadamu kama ishirini hivi au kumi hivi katika kumbukumbu zako, binadamu yeyote yule iwe nabii au mitume au mtu wa kawaida waliowahi kufikia daraja la ukamilifu kwa kutumia hizo nyenzo na hizo ala.
Hili swali sikuliona.

Mitume wote na manabii, na waja wema wote walio bashiriwa pepo, bali wale wote elfu 70 watakao ingia peponi bila ya hesabu.

Wako wengi sana, ishirini wachache sana.
 
Hili swali sikuliona.

Mitume wote na manabii, na waja wema wote walio bashiriwa pepo, bali wale wote elfu 70 watakao ingia peponi bila ya hesabu.

Wako wengi sana, ishirini wachache sana.
Mitume na manabii walikuwa ni wakamilifu? Hao uliwataja kuwa walio bashiriwa pepo hao si waja wa mbeleni hao sio waliopita. Nahisi kama muuliza swali kataka kujua watu waliofika daraja la ukamilifu. Sio watakaofika daraja la ukamilifu.
Wakamilifu hua hawakoseagi je hao manabii na mitume waliumbwa kama malaika kiasi kwamba hawakuwahi kufanya kosa?
 
Mitume na manabii walikuwa ni wakamilifu? Hao uliwataja kuwa walio bashiriwa pepo hao si waja wa mbeleni hao sio waliopita. Nahisi kama muuliza swali kataka kujua watu waliofika daraja la ukamilifu. Sio watakaofika daraja la ukamilifu.
Wakamilifu hua hawakoseagi je hao manabii na mitume waliumbwa kama malaika kiasi kwamba hawakuwahi kufanya kosa?
Unatakiwa uongeze umakini. Kwanza hakuna sehemu niliyosema binadamu ni wakamilifu.

Pili, nilisema kuna ala na nyenzo ambazo humpeleka mwanadamu katika ukamilifu, na hapa ndiyo muulizaji aliuliza swali kulingana na hiki nilicho kiandika, sababu swali hili rahisi sikuliona, hapa ndiyo nimeliona na nimemjibu.

Sasa hiki unachokiandika wewe si mimi wala si muulizaji alikiuliza, sababu muulizaji alielewa bilicho kiandika. Kwahiyo umeuliza na kuandika mambo ambayo hayapo.

Nakusihi ongeza umakini, ili uokoe muda na uepukana na kukosea kwa uzembe.
 
Kijana jikite kwenye kile nilichokiandika, hakuna hata sehemu niliyo ashiria kushindwa katika maelezo, bali nimekuoa muongozo na kukuonyesha ya kuwa itifaki katika mijadala ziko hivyo.

Sasa usiandike mambo ambayo hayapo na hakuna aliyeshindwa kufanya hivyo, bali nimekuonyesha umakini unao takiwa uwe nao, ili ujue ya kuwa uoga wenu wa kukimbia maswali na kuthibitisha hamuwezi kuukwepa endapo mkiaumua kuwa wakweli na kutaka kuelimika au kuelimishwa.

Kwahiyo unatakiwa unionyeshe kinyeshi kipo wapi.
Hahah, umeona sasa. Hebu dhibitisha kwamba kichwa chako hakina kinyesi. Dhibitisha kwamba madai yangu ni ya uongo.

Vile vile unavyotaka nikupe udhibitisha wa kilipo kinyesi, ndio hivyo hivyo wewe unatakiwa udhibitishe kwamba hizo hadithi sio za kutunga bali ni za kweli, na sio sisi tudhibitishe kwamba ni za uongo
 
Isome comment yangu nimejibu kwa urefu,siwezi kujibu kwa kifupi.

Ni sawa na kuuliza kuwa necta ama serikali wanataka watu wafeli ndio maana wanatunga mitihani kuchuja watu ambao wote ni wananchi wake,swali ambalo siweji kulijibu kifupi.

Kwa hiyo naomba urejee katika hiyo comment uliyoiquote..!!!!
Ndio au hapana?
 
Isome comment yangu nimejibu kwa urefu,siwezi kujibu kwa kifupi.

Ni sawa na kuuliza kuwa necta ama serikali wanataka watu wafeli ndio maana wanatunga mitihani kuchuja watu ambao wote ni wananchi wake,swali ambalo siweji kulijibu kifupi.

Kwa hiyo naomba urejee katika hiyo comment uliyoiquote..!!!!
Jibu la hilo swali la Necta ni NDIO, Necta hutunga mitihani migumu ili wanafunzi wafeli kwa sababu Serikali haina pesa za kutosha za kutoa mikopo ya chuo kikuu, pia kuna vyuo vichache sana hivyo wakifaulu wengi kutakuwa na mrundikano na msongamano vyuoni. Labda uniambie kwamba huko mbinguni kuna uhaba wa bajeti ya kuhudumia watu watakaofanikiwa kuingia mbinguni, hivyo wanaweka mchujo mkali na masharti magumu
 
Unatakiwa uongeze umakini. Kwanza hakuna sehemu niliyosema binadamu ni wakamilifu.

Pili, nilisema kuna ala na nyenzo ambazo humpeleka mwanadamu katika ukamilifu, na hapa ndiyo muulizaji aliuliza swali kulingana na hiki nilicho kiandika, sababu swali hili rahisi sikuliona, hapa ndiyo nimeliona na nimemjibu.

Sasa hiki unachokiandika wewe si mimi wala si muulizaji alikiuliza, sababu muulizaji alielewa bilicho kiandika. Kwahiyo umeuliza na kuandika mambo ambayo hayapo.

Nakusihi ongeza umakini, ili uokoe muda na uepukana na kukosea kwa uzembe.
Haya sasa, wataje binadamu wa kawaida, au manabii, au mitume waliofikia ukamilifu kwa kutumia hizo ala, walau hata 10 tu
 
Hahah, umeona sasa. Hebu dhibitisha kwamba kichwa chako hakina kinyesi. Dhibitisha kwamba madai yangu ni ya uongo.

Vile vile unavyotaka nikupe udhibitisha wa kilipo kinyesi, ndio hivyo hivyo wewe unatakiwa udhibitishe kwamba hizo hadithi sio za kutunga bali ni za kweli, na sio sisi tudhibitishe kwamba ni za uongo
Hili tatizo naona unakimbia jukumu la swali. Mimi ukiniambia kaulo hii sikanushi zaidi ya kukuhoji na unipe ithibati. Sasa unaposema ndiyo hivyo hivyo kama katika suala la hadithi, wewe ndiyo ulikanusha sasa inabidi ututhibitishie ya kuwa Hadithi zimetungwa, na mimi nilikuhoji na mimi sija kanusha. Sasa usibishe kwenye hakuna sababu umekanusha.
 
Back
Top Bottom