FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #281
Na ndio maana na mimi nikasema, kafiri baake, kwani shida iko wapi? Na pia nime take the Liberty ya kumuita yeye mbwa kama yeye alivyotake Liberty ya kutuita kafiri, kwani unateseka? Tumejadiliana hapa tokea mwanzo hadi sasa, tumetukanana kwani? Vipi iweje kwa yeye?Kafiri siyo tusi mzee. Ukipewa haki yako ichukue kwani ulichokiandika hakibadilishi ukweli wa kuwa wewe ni KAFIRI.
Kafiri kilugha ni mficha ukweli na kudhihirisha uovu na uongo.
Jifunze kuwa mvumilivu na uwe na moyo wa kiume.