FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #21
Hiyo ndoa uliisoma kwenye kitabu kipi? Au wewe ni time traveller?Walifubgishwa na MUNGU, na Mungu hana kanisa wala dhehebu wala Mskiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndoa uliisoma kwenye kitabu kipi? Au wewe ni time traveller?Walifubgishwa na MUNGU, na Mungu hana kanisa wala dhehebu wala Mskiti
Kwahiyo vizazi vya adamu walikuwa wamefunga ndoa na kila jinsia tofauti iliyokatiza mbele yao? Kama walivyo wanyama?... iliwahusu Adam na kizazi chake hadi pale Mungu alipobadili sheria. Kwani mwanzo palikuwa na Amri Kumi? Zilikuja baadaye kutokana na mahitaji ya wakati vivyo hivyo kwa masuala ya ndoa na mengineyo kama utawala, n.k.
... labda kama una tafsiri yako ya ndoa; sijui hapo red unamaanisha nini.Kwahiyo vizazi vya adamu walikuwa wamefunga ndoa na kila jinsia tofauti iliyokatiza mbele yao? Kama walivyo wanyama?
Tunazungumzia kauli ya ‘mzaane mkaijaze dunia’ , ambayo ndio imetumika kama ndoa mnavyodai, kwamba mmdai imewahusu wote Adam na hawa na vizazi vyao hadi pale sheria mpya ilivyokuja (lack of consistency by the way), kwahiyo vizazi vyote vya Adam na Hawa walikuwa wamefungishwa ndoa na kila kljinsia tofauti iliyokatiza mbele yao kwa hiyo kauli ya Mungu? Kama wanyama?... labda kama una tafsiri yako ya ndoa; sijui hapo red unamaanisha nini.
Ndoa, achana na harusiSidhani huo utamaduni ulikuwepo,Adam alikuwa mtawala wa Asyria ya mwanzoni,kipindi hicho mambo ya harusi hayakuwepo
Kwahiyo nani aliwapa ruhusa ya kuzini?
Kwahiyo bila nyoka binadamu wote duniani tusingekuwepo, kwahiyo tumshukuru ibilisi kwa uwepo wetu then?Nyoka ambae ni ibiris.
Dini maana yake ni nini, labda tuanzie hapo kwanza.Ndio, dini ya Darwinism
'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyoHebu tuelezee kidogo kuhusu Dini yako ya Darnwism? Tupate kujua unachokiamini.
Jibu wewe hilo, kwa upande wangu, dini ni ‘a school of thoughts, ideas and beliefs’Dini maana yake ni nini, labda tuanzie hapo kwanza.
naona unajaribu kukimbia kimvuli chakoUkishajua km walikuwa wazungu,waafrika au waarabu itakusaidia nini???.Muhimu hapo ni kumwamini Mungu na neno lake tu.
Thanks a lot. Nilishamstukia nikampuuza.Hebu tuelezee kidogo kuhusu Dini yako ya Darnwism? Tupate kujua unachokiamini.
Angalia rangi ya udongoAdam na Hawa Walikuwa warabu,wazungu,wahindi,wachina,waafrika ? Kama walikuwa wazungu wachina walitoka wapi? Waafrika walitoka wapi?
Unajua maana ya kuzini lkn?Kwahiyo nani aliwapa ruhusa ya kuzini?
eti ililetwa na wazungu nonsense unataka kutuambia kuwa kabla ya wazungu kuja Africa kulikuwa hamna ndoa?Hata Kipindi cha Jacob kulikuwa hakuna biashara za kufunga ndoa. Mahari ikishakubaliwa na mzee basi unachukua goma unasepa.
Mambo ya ndoa plus harusi yaliletwa na Wazungu tu. Ndoa inaishia pale mzee anapopokea mahari tu full stop.
Sema swali ni je Adam alimpa nani mahari[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app