Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Mungu ndiye aliyewafungisha na Mungu alipo ndipo madhabahu yake ilipo aliwafungisha kwenye madhabahu yake na akawapa ruksa baada ya kuwafungisha kuwa Sasa wanaruhusiwa kulalana na kuzaliana waijaze dunia.Aliwaoza kwanza ndipo akawapa ruksa ya kuzaa

Ndoa ilifungwa na Mungu mwenyewe kwenye madhabahu yake takatifu
Tupe nakala ya Haya unayoongea na sisi tu some tuone.
 
Tena binadamu wazamani walikua wanaishi Miaka mingi Sana. Na walikua na nguvu Sana..nuhu alilingania Miaka 900 naaa... Sasa hayo yote Ni Mapenzi ya Mungu anampa amtakae na anamyima amtakae.. I
Kweli kabsaa...

Pia ata ukubwa wa maumbo yao ni tofauti na binadamu wa karne hii...
 
Nimesoma hiyo theory yako ya Darnwism. Ni upuuzi mtupu. Ila hukatazwi kuamini kuwa Wewe babu zako hawakujaamiana ili kuzaliana Bali walianza Kama sokwe. Ila hakika upo katika hasara kuubwa.

Ndo maana Mungu anatuuliza hivi hamfikiri Nani kaumba mbingu na Ardhi Nani anateremsha mvua.nani anawajalia utajiri wa Mali na wototo?. Hakika wanadamu Ni wenye kukufuru.

How are you deluded away from the truth.

Unamkana Mungu wako na kuamini Wazungu na theories zao za evolution?.

Wewe Ni wakuonewa huruma.kesho yako Ni yamateso na MAJUTO Sana
Wapi nimesema hawakujamiiana ili kuzaliana? Nani kamkana Mungu? Hujaelewa kitu
 
Hawakufunga kanisani wala msikitini.

Ndoa inaweza kufungwa popote hata porini tu na ikawa ndoa.

Ndo mnaweza kufunga ukumbini ni kitendo cha kusema tu kuwa mimi fulani nakuozesha binti yangu fulani kwa mahari mliyokubaliana.

Alafu anaulizwa binti akikubali na wewe ukikubali ndoa imepita.

Inaweza kuwa hata ukumbini sma porini huko ndoa imepita.

Adam na hawa Mungu alimuambia kuwa ebwane adam huyu hawa ndio mkeo,na ikapita,haijalishi walikuwa wapi ama wapi lakini mmiliki wa hawa wawili ambaye ni mungu ndo akawaambia kuwa wewe huyu ni mkeo.

Hayo mambo ya kufungamanisha ndoa na sehemu ni baada ya kuanza kujengwa majumba na sehemu mbali mbali.

وقلنا يا آدم اسكن أنت وزوجك الجنة وكلا منها رغدا حيث شئتما ولا تقربا هذه الشجرة فتكونا من الظالمين

[ AL - BAQARA - 35 ]
Na tulisema: Ewe Adam! Kaa wewe na mkeo katika Bustani, na kuleni humo maridhawa popote mpendapo, lakini msiukaribie mti huu tu; mkawa katika wale walio dhulumu.


Kwa hiyo Mungu mwenyewe akamuambia kuwa nenda na mkeo mkakae peponi.
Ukisema hivyo, nami nitataka kujua, watoto wa Adam na Hawa walifungishwa ndoa na nani? Na walimuoa/ kuolewa na nani?
 
Ukisema hivyo, nami nitataka kujua, watoto wa Adam na Hawa walifungishwa ndoa na nani? Na walimuoa/ kuolewa na nani?
Walifungishwa ndoa na baba yao na mama yao.

Na maana ya ndoa kwao ni ile ruhusa ya kuwa wao wazaliane na kuishi kama mwili mmoja.

Ruhusa hiyo ya kuowana wao kwa wao ndio ndoa yenyewe hiyo.

Na jambo hilo la kuowana wao kwa wao waliridhika nalo adam na hawa kwa hiyo hao ndo walifungisha ndoa hiyo kwa maana ile ya ndoa kuwa ni makubaliano.
 
Wameundwa na Mungu...ktk uumbaji wa adamu Mungu alichukua sample ya udongo wa aina tofautitofauti...na lengo la hvyo ili tupate kutambuana na kufahamiana makabila na mataifa mbalimbali...

Tunabadilika mkuu...kwani mkuu binadamu wa karne hii ni sawa na karne za mitume wa zamani..
Ndio wapo sawa.Kipindi cha mtume warabu ni warabu walewale na waafrika ni walewale hakuna mwafrika aliegeuka kuwa mwarabu au yupo mkuu?
Kama baba yako ni andunje usije kutegemea utakuwa na urefu wa Hashim thabit unajidanganya.
 
Kwa hiyo unaamini kwamba hawa alikuwa na baba yake na mama uake na nyumba yao ambayo Adam angepeleka mahari hapo nyumbani kwa hawa baada ya kumaliza taratibu za kuposa na kutuma washenga ?
Nani alipokea mahari ya Adam?
 
Nani alipokea mahari ya Adam?
Kwa hiyo unaamini kwamba hawa alikuwa na baba yake na mama uake na nyumba yao ambayo Adam angepeleka mahari hapo nyumbani kwa hawa baada ya kumaliza taratibu za kuposa na kutuma washenga ?
 
Walifungishwa ndoa na baba yao na mama yao.

Na maana ya ndoa kwao ni ile ruhusa ya kuwa wao wazaliane na kuishi kama mwili mmoja.

Ruhusa hiyo ya kuowana wao kwa wao ndio ndoa yenyewe hiyo.

Na jambo hilo la kuowana wao kwa wao waliridhika nalo adam na hawa kwa hiyo hao ndo walifungisha ndoa hiyo kwa maana ile ya ndoa kuwa ni makubaliano.
Unachosema ni Kwamba Watoto wa Adam na Hawa walifanya ‘Incest’? If so, nafunga mjadala rasmi, case closed.
 
Kwa hiyo unaamini kwamba hawa alikuwa na baba yake na mama uake na nyumba yao ambayo Adam angepeleka mahari hapo nyumbani kwa hawa baada ya kumaliza taratibu za kuposa na kutuma washenga ?
Siamini
 
Unachosema ni Kwamba Watoto wa Adam na Hawa walifanya ‘Incest’? If so, nafunga mjadala rasmi, case closed.
Naaaaam haswaaaaa.

Hilo liko wazi linafahamika kabisa kwamba waliowana ndugu kwa ndugu kutokana na asili yao.

Kama umeelewa hapo ni jambo jema sana na kadhia imeeleweka vyema.
 
Kama huamini maana yake unaamini kuwa adam na hawa ndo binadamu wa kwanza ambao hakukuwa na baba wa kupokea mahari ya adam.

Unaamini kuwa mfumo wa maisha ulianzia kutoka kwao.

Kwa hiyo maana yake case closed kwamba unaamini kuwa adam hata angekuwa na hiyo mahari hakuna wa kumpa kwa sababu wao ndo watu wa kwanza.
 
Kama huamini maana yake unaamini kuwa adam na hawa ndo binadamu wa kwanza ambao hakukuwa na baba wa kupokea mahari ya adam.

Unaamini kuwa mfumo wa maisha ulianzia kutoka kwao.

Kwa hiyo maana yake case closed kwamba unaamini kuwa adam hata angekuwa na hiyo mahari hakuna wa kumpa kwa sababu wao ndo watu wa kwanza.
Msingi wa mimi kuuliza hilo la mahari ilikuwa ni kumjibu mchangiajia aliedai kwamba ndoa ya wakati huo ilikuwa ni mahari, either way case closed. Conclusion: Dhambi si Dhambi muda wote, its time relative, ipo siku mtu kufanya mapemzi na mama yako mzazi itakuwa si dhambi, inategemea na huyo mwenyewe huko juu ameamkaje siku hiyo
 
Msingi wa mimi kuuliza hilo la mahari ilikuwa ni kumjibu mchangiajia aliedai kwamba ndoa ya wakati huo ilikuwa ni mahari,
Alaa sawa.inategemea kakujibu kwa marejeo gani.ila kusema ndoa wakati huo wa adam ilikuwa mahari mimi siungani na jawabu lake kwa sababu linanipa mashaka.
Dhambi si Dhambi muda wote, its time relative
Yes dhambi sio dhambi muda wote hasa kwa mujibu wa uislamu ukiliangalia hilo utaona kuna mambo yalikuwa halali kufanya wakati huo lakini baadae yakageuka dhambi.

Na kuna mambo yalikuwa dhambi baadae yakageuka yakawa halali.kugeuka kwa haya mambo kwa mujibu wa imani anayegeuza uhalali na uharamu ni Mungu mwenyewe na sio kwa anavyotaka mtu.

ipo siku mtu kufanya mapemzi na mama yako mzazi itakuwa si dhambi, inategemea na huyo mwenyewe huko juu ameamkaje siku hiyo
Mungu akiruhusu jambo binadamu hana sababu.

Ndo mana mimi huwa nasema Mungu angeruhusu wanaume kwa wanaume kuowana basi mimi ningeowana na mtu,kwa nini iwe hivi ?

Kwa sababu ibaya wa mwanzo wa kitu ni kuharamishwa kwake,na sio kwa mitazamo ya watu.

Mfano katika uislamu ni haramu mtu kumuoa dada yake lakini watoto ambao watazaliwa yaani mimi nikazaa mtoto na dada yangu akazaa mtoto basi watoto wetu hawa wanaruhusiea kuowana.

Kiuhalisia hawa watoto ni ndugu kabisa lakini uislamu umeruhusu.

Wakati huo kuna tamaduni haziruhusu zinaona haifai.wakati huo sisi waislamu tunaona inafaa.

Sasa ukiangalia utaona kuwa sababu ya kufaa na kutofaa ni kwa sababu ya kukatazwa ama kuruhusiwa na imani zetu pengine mbali na makatazo ya imani hakuna ubaya wa asili kinyume na ule unaoletwa na watu.

Kea hiyo kama kweli mtu ni muislamu au mkristo basi akatae jambo kwa sababu ya kuwa imani yake haimruhusu na wala asiangalie madhara kwanza.

Akiangalia madhara ya kitu kisha ndo aone halifai huyo atakuwa mfuasi wa nafsi yake na sio dini,kwa sababu hakutosheka na ile dini kusema jambo hili halifai mpaka atafute madhara.

Huu ndo msimamo wangu
 
Ndio wapo sawa.Kipindi cha mtume warabu ni warabu walewale na waafrika ni walewale hakuna mwafrika aliegeuka kuwa mwarabu au yupo mkuu?
Kama baba yako ni andunje usije kutegemea utakuwa na urefu wa Hashim thabit unajidanganya.
Uelewee basii....nimesema maumbo ya watu wa kale (walikuwa watu wa miraba mnne iliyo kwenda juu) ata akili zao tofauti na karne yetu leo...so mabadili kwa viumbe na mazingra yao yapo sana kadir sku znavyo zidi kwenda...

Afu ilo kuwa na urefu wa Hashim thabit linawezekana mbna....mfano baba yako awe andunje afu mama yako awe na urefu wa huyo Hashim thabit...au biology ulikimbia o'level
 
Alaa sawa.inategemea kakujibu kwa marejeo gani.ila kusema ndoa wakati huo wa adam ilikuwa mahari mimi siungani na jawabu lake kwa sababu linanipa mashaka.
Yes dhambi sio dhambi muda wote hasa kwa mujibu wa uislamu ukiliangalia hilo utaona kuna mambo yalikuwa halali kufanya wakati huo lakini baadae yakageuka dhambi.

Na kuna mambo yalikuwa dhambi baadae yakageuka yakawa halali.kugeuka kwa haya mambo kwa mujibu wa imani anayegeuza uhalali na uharamu ni Mungu mwenyewe na sio kwa anavyotaka mtu.


Mungu akiruhusu jambo binadamu hana sababu.

Ndo mana mimi huwa nasema Mungu angeruhusu wanaume kwa wanaume kuowana basi mimi ningeowana na mtu,kwa nini iwe hivi ?

Kwa sababu ibaya wa mwanzo wa kitu ni kuharamishwa kwake,na sio kwa mitazamo ya watu.

Mfano katika uislamu ni haramu mtu kumuoa dada yake lakini watoto ambao watazaliwa yaani mimi nikazaa mtoto na dada yangu akazaa mtoto basi watoto wetu hawa wanaruhusiea kuowana.

Kiuhalisia hawa watoto ni ndugu kabisa lakini uislamu umeruhusu.

Wakati huo kuna tamaduni haziruhusu zinaona haifai.wakati huo sisi waislamu tunaona inafaa.

Sasa ukiangalia utaona kuwa sababu ya kufaa na kutofaa ni kwa sababu ya kukatazwa ama kuruhusiwa na imani zetu pengine mbali na makatazo ya imani hakuna ubaya wa asili kinyume na ule unaoletwa na watu.

Kea hiyo kama kweli mtu ni muislamu au mkristo basi akatae jambo kwa sababu ya kuwa imani yake haimruhusu na wala asiangalie madhara kwanza.

Akiangalia madhara ya kitu kisha ndo aone halifai huyo atakuwa mfuasi wa nafsi yake na sio dini,kwa sababu hakutosheka na ile dini kusema jambo hili halifai mpaka atafute madhara.

Huu ndo msimamo wangu
Kama Mungu akibariki na kukiruhusu jambo lifanyike halafu baada ya muda alione hilo jambo halifai, huoni linaleta sifa ya Mungu kuwa kigeugeu? Huoni kama Mungu anakuwa hajui alifanyalo bali anabahatisha tu?
 
Kama Mungu akibariki na kukiruhusu jambo lifanyike halafu baada ya muda alione hilo jambo halifai, huoni linaleta sifa ya Mungu kuwa kigeugeu? Huoni kama Mungu anakuwa hajui alifanyalo bali anabahatisha tu?
Mambo ya ajabu kabisa
 
Back
Top Bottom