Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Kama Mungu akibariki na kukiruhusu jambo lifanyike halafu baada ya muda alione hilo jambo halifai, huoni linaleta sifa ya Mungu kuwa kigeugeu
Tatizo sio Mungu kuwa kigeugeu,tatizo ni sisi kuhisi hivyo na tunao uhuru wa kuwaza vyovyote kwa uwezo aliotupatia huyo Mungu mwenyewe.

Wewe unaweza kuwaza kuwa Mungu kigeugeu,lakini ndio kanuni ya Mungu mwenyewe hata nje na hapo utaona kuwa mambo mengi yana mabadiliko sio utaratibu wa Mungu tu.

Jua linabadilika badilika,asubuhi jekundu mashariki,mchana jeupe katikati,jioni jekundu magharibi.

Hapa sijui kama tutasema jua kigeugeu.

Usiku giza,mchana mwanga.
Sijui tutasema siku ni kigeugeu ama vipi.

Unaanza kuwa mtoto mdomo hauna meno,unakuwa kijana unota meno,unakuwa mtu mzima mwishoni unakuwa mzee kabisa na mvi.
Sidhani kama tutasema kuwa mwili ni kigeugeu hauelewei hauna msimamo.

Embe inaanza maua,inaanza kuwachanga,mwishowe inaiva,baadae inaoza.
Sidhani kama tutasema embe ni kigeugeu.

Kwa hiyo sio kwamba Mungu kigeugeu kwa kugeuza sheria,bali huo ndo utaratibu wake wa mambo mengi katika dunia alivyoyaweka.

Kusema kigeugeu unaweza kusema lakini ukitumia akili ya kawaida juu ya mambo mengine ya asili na ukaangalia utaona kuwa hakuna tatizo kufanya mabadiliko kutokana na zama ambazo yeye mwenyewe anazijua.

Huoni kama Mungu anakuwa hajui alifanyalo bali anabahatisha tu?
Bila shaka >ngekuwa anabahatisha basi hao ambao hawabahatishi wangekuja na utaratibu wao ambao upo costant haubadiliki.

Yani wangekuja na binadamu ambao akizaliwa mpaka anakufa ananyonya,hakui yani yuko vile vile habadiliki.

Wangekuja na utaratibu wao wa jua kuwa likichomoza linabaki pale pale tu haliendi kokote mpaka leo.

Bila shaka maisha kwa ujumla ni mabadiliko na wenyewe tunashuhudia hili.
Mabadiliko katika maisha huwezi kuyanasibisha na kutokuwa na uhakika juu ya kile mtu anachofanya.

Kwa hiyo nikijibu swala lako ni kuwa mungu habahatishi na anajua afanyalo kwa sababu hiyo ndio system yake.
 
Tatizo sio Mungu kuwa kigeugeu,tatizo ni sisi kuhisi hivyo na tunao uhuru wa kuwaza vyovyote kwa uwezo aliotupatia huyo Mungu mwenyewe.

Wewe unaweza kuwaza kuwa Mungu kigeugeu,lakini ndio kanuni ya Mungu mwenyewe hata nje na hapo utaona kuwa mambo mengi yana mabadiliko sio utaratibu wa Mungu tu.

Jua linabadilika badilika,asubuhi jekundu mashariki,mchana jeupe katikati,jioni jekundu magharibi.

Hapa sijui kama tutasema jua kigeugeu.

Usiku giza,mchana mwanga.
Sijui tutasema siku ni kigeugeu ama vipi.

Unaanza kuwa mtoto mdomo hauna meno,unakuwa kijana unota meno,unakuwa mtu mzima mwishoni unakuwa mzee kabisa na mvi.
Sidhani kama tutasema kuwa mwili ni kigeugeu hauelewei hauna msimamo.

Embe inaanza maua,inaanza kuwachanga,mwishowe inaiva,baadae inaoza.
Sidhani kama tutasema embe ni kigeugeu.

Kwa hiyo sio kwamba Mungu kigeugeu kwa kugeuza sheria,bali huo ndo utaratibu wake wa mambo mengi katika dunia alivyoyaweka.

Kusema kigeugeu unaweza kusema lakini ukitumia akili ya kawaida juu ya mambo mengine ya asili na ukaangalia utaona kuwa hakuna tatizo kufanya mabadiliko kutokana na zama ambazo yeye mwenyewe anazijua.


Bila shaka >ngekuwa anabahatisha basi hao ambao hawabahatishi wangekuja na utaratibu wao ambao upo costant haubadiliki.

Yani wangekuja na binadamu ambao akizaliwa mpaka anakufa ananyonya,hakui yani yuko vile vile habadiliki.

Wangekuja na utaratibu wao wa jua kuwa likichomoza linabaki pale pale tu haliendi kokote mpaka leo.

Bila shaka maisha kwa ujumla ni mabadiliko na wenyewe tunashuhudia hili.
Mabadiliko katika maisha huwezi kuyanasibisha na kutokuwa na uhakika juu ya kile mtu anachofanya.

Kwa hiyo nikijibu swala lako ni kuwa mungu habahatishi na anajua afanyalo kwa sababu hiyo ndio system yake.
Unazingumzia vitu visivyohusiana kabisa na hoja ya dhambi, kubadilika badilika kwa jua hakuna uhusiano na swala la dhambi. Kama kumlala dada yako wa tumbo moja au kumlala mamako yako mzazi Mungu aliona ni swala la kawaida na akaona ni busara kufanyika iweje atoe tamko tena huyo huyo kuwa sio sahihi kumlala mamako au dada yako wa damu? Hapa huoni kama Mungu kaonesha hana msimamo?
 
Unazingumzia vitu visivyohusiana kabisa na hoja ya dhambi, kubadilika badilika kwa jua hakuna uhusiano na swala la dhambi. Kama kumlala dada yako wa tumbo moja au kumlala mamako yako mzazi Mungu aliona ni swala la kawaida na akaona ni busara kufanyika iweje atoe tamko tena huyo huyo kuwa sio sahihi kumlala mamako au dada yako wa damu? Hapa huoni kama Mungu kaonesha hana msimamo?
Hoja yangu haikuwa kufananisha baina ya dhambi na jua.

Hoja yangu ilikuwa na kufananisha mabadiliko ya dhambi na jua kuwa kubadilika kwa jambo kutoka hali moja kwenda nyingine sio hoja ya kuwa hakina msimamo.

Unaposema kuwa Mungu kubadilisha jambo hilo ni ishara ya kukosa misimamo ina maana Mungu katika sifa zake amejisifu kwamba yeye habadilishi mambo katika hukumu zake ?
 
Hoja yangu haikuwa kufananisha baina ya dhambi na jua.

Hoja yangu ilikuwa na kufananisha mabadiliko ya dhambi na jua kuwa kubadilika kwa jambo kutoka hali moja kwenda nyingine sio hoja ya kuwa hakina msimamo.

Unaposema kuwa Mungu kubadilisha jambo hilo ni ishara ya kukosa misimamo ina maana Mungu katika sifa zake amejisifu kwamba yeye habadilishi mambo katika hukumu zake ?

Kwahiyo unataka kusema kuwa sifa mojawapo ya Mungu ni kigeugeu?
 
Kwahiyo unataka kusema kuwa sifa mojawapo ya Mungu ni kigeugeu?
Ikiwa kigeugeu ya kubadilisha mambo ndio hiyo ni sifa moja wapo ya Mungu.

Ndio maana humgeuza mtu kuwa mzee kutoka utotoni.

Ndio maana hugeuza manii zikawa damu kisha zinakuwa pande la nyama kisha anakuwa katoto tumboni.
Huku kote ni kugeuza geuza mambo.

Labda wewe utuambie ni wapi Mungu alijisifu kuwa yeye hageuzi baadhi ya mambo yake ?

Mfano mzuri angalia..

يُقَلِّبُ اللَّهُ اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ ۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَعِبْرَةً لِّأُولِي الْأَبْصَارِ

[ AN - NUR - 44 ]
Mwenyezi Mungu hubadilisha usiku na mchana. Hakika katika hayo yapo mazingatio kwa wenye kuona.

Hapo ukiangalia hiyo kubadilisha usiku na mchana ni katika sifa zake pia.

Asasa ikiwa khbadilisha kwake mambo wewe unatafsiri kigeugeu basi naam NDIO MUNGU ANASIFA YA KIGEUGEU YA KUGEUZA MAMBO YAKE KWA NAMNA ATAKAVYO YEYE.

Au ulikusudia vipi mkuu ?
 
Ikiwa kigeugeu ya kubadilisha mambo ndio hiyo ni sifa moja wapo ya Mungu.

Ndio maana humgeuza mtu kuwa mzee kutoka utotoni.

Ndio maana hugeuza manii zikawa damu kisha zinakuwa pande la nyama kisha anakuwa katoto tumboni.
Huku kote ni kugeuza geuza mambo.

Labda wewe utuambie ni wapi Mungu alijisifu kuwa yeye hageuzi baadhi ya mambo yake ?

Mfano mzuri angalia..

يُقَلِّبُ اللَّهُ اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ ۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَعِبْرَةً لِّأُولِي الْأَبْصَارِ

[ AN - NUR - 44 ]
Mwenyezi Mungu hubadilisha usiku na mchana. Hakika katika hayo yapo mazingatio kwa wenye kuona.

Hapo ukiangalia hiyo kubadilisha usiku na mchana ni katika sifa zake pia.

Asasa ikiwa khbadilisha kwake mambo wewe unatafsiri kigeugeu basi naam NDIO MUNGU ANASIFA YA KIGEUGEU YA KUGEUZA MAMBO YAKE KWA NAMNA ATAKAVYO YEYE.

Au ulikusudia vipi mkuu ?

Hivyo ulivyoviorodhesha kuwa vimebadilishwa vipo kwenye vipengele vya hukumu ya dhambi?

Lini ulimuona mtu akiwa mtoto halafu gafla kageuzwa kuwa mzee?

Hayo ya manii kuwa damu kisha kuwa pande la nyama zote hizo vitendo vinafanyika kwa hatua na vinahusisha na mahitaji ili hizo hatua zikamilike. Hayo yote uliyoyataja havipo kwenye hoja tunayozungumzia, tunazungumzia hukumu ya dhambi.

Kitendo cha Mungu kusema jambo fulani kufanya ni sahihi kabisa halafu baada ya muda tena anakuja na tamko kuwa jambo hilo hilo alilokuwa kaliruhusu mwanzoni anakataza anasema sio sahihi kulifanya. Hapo ndio Mungu anapokuwa hana msimamo wa hukumu zake
 
Hivyo ulivyoviorodhesha kuwa vimebadilishwa vipo kwenye vipengele vya hukumu ya dhambi?

Lini ulimuona mtu akiwa mtoto halafu gafla kageuzwa kuwa mzee?

Hayo ya manii kuwa damu kisha kuwa pande la nyama zote hizo vitendo vinafanyika kwa hatua na vinahusisha na mahitaji ili hizo hatua zikamilike. Hayo yote uliyoyataja havipo kwenye hoja tunayozungumzia, tunazungumzia hukumu ya dhambi.

Kitendo cha Mungu kusema jambo fulani kufanya ni sahihi kabisa halafu baada ya muda tena anakuja na tamko kuwa jambo hilo hilo alilokuwa kaliruhusu mwanzoni anakataza anasema sio sahihi kulifanya. Hapo ndio Mungu anapokuwa hana msimamo wa hukumu zake
Mkuu unautafsiri msimamo wa Mungu kwa mujibu wa alivyojielezea Mungu mwenyewe au unautafsiri msimamo wa Mungu kama alivyojielezea mwenyewe ?
 
Mkuu unautafsiri msimamo wa Mungu kwa mujibu wa alivyojielezea Mungu mwenyewe au unautafsiri msimamo wa Mungu kama alivyojielezea mwenyewe ?
Hili swali lako sijalielewa
 
Hili swali lako sijalielewa
Ni hivi mkuu.

Mungu tunamjua kupitia alivyojielezea mwenyewe katika vitabu husika,na wala hatuwezi kumuelewa Mungu nje ya hapo.

Kwa hiyo huyo Mungu kazisifu na kataja sifa zake kadhaa ambazo sisi wote tunamjua Mungu kupitia hayo maandiko.

Sasa huwezi kumsifu Mungu kwa sifa ambayo hana na wala hakujisifu.yaani huwezi kumpandikizia sifa fulani Mungu wakati yeye hakuitaja sifa hiyo.

Sasa katika sifa za Mungu alizojisifia nazo moja wapo ni sifa ya KUBADILISHA MAMBO nikakupa aya.

Sasa ndo mana nikakuuliza jee wewe unaposema Mungu gani hana msimamo kwa maana ya kuwa habadilishi mambo hii sifa ya kutokubadilisha mambo ya hukumu wapi Mungu kajisifu kuwa hii ni katika sifa yake kiasi kwamba iwe kaenda kinyume nayo ?
 
Ni hivi mkuu.

Mungu tunamjua kupitia alivyojielezea mwenyewe katika vitabu husika,na wala hatuwezi kumuelewa Mungu nje ya hapo.

Kwa hiyo huyo Mungu kazisifu na kataja sifa zake kadhaa ambazo sisi wote tunamjua Mungu kupitia hayo maandiko.

Sasa huwezi kumsifu Mungu kwa sifa ambayo hana na wala hakujisifu.yaani huwezi kumpandikizia sifa fulani Mungu wakati yeye hakuitaja sifa hiyo.

Sasa katika sifa za Mungu alizojisifia nazo moja wapo ni sifa ya KUBADILISHA MAMBO nikakupa aya.

Sasa ndo mana nikakuuliza jee wewe unaposema Mungu gani hana msimamo kwa maana ya kuwa habadilishi mambo hii sifa ya kutokubadilisha mambo ya hukumu wapi Mungu kajisifu kuwa hii ni katika sifa yake kiasi kwamba iwe kaenda kinyume nayo ?
Sawa twende kwa mujibu wa sifa aliyoitanabaisha Mungu kwa mujibu wa Imani yako ya kwamba Mungu hana msimamo anabadilika badilika kadri anavyoona mambo. Je tunakubaliana ya kwamba kitendo cha kutokuwa na msimamo kinaashiria kuwa hauna ukamilifu (siyo mkamilifu) ?
 
Sawa twende kwa mujibu wa sifa aliyoitanabaisha Mungu kwa mujibu wa Imani yako ya kwamba Mungu hana msimamo anabadilika badilika kadri anavyoona mambo.
Sio kwa kadri anavyoona bali kwa kadri atakavyo yeye mwenyewe,hufanya maamyzi yake.

Kama ambavyo kuna manabii alikuwa anaongea nao moja kwa moja,na wengine anakuwa anaongea nao kupitia wajumbe wake katika malaika.

Sasa hapa Mungu mmoja huyu huyu hutumia njia tofauti kwa maana hubadili njia za kuwasiliana na mitume yake,hutumia njia tofauti tofauti.

Sasa ikiwa kutumia njia tofauti huku,kufanya mambo tofauti tofauti huku kwa kadri anavyotaka ndo unasema kuwa hana msimamo basi NAAAM hana msimamo,ila ukiwa na maana yako uliyokusudia basi hiyo unabaki nayo mwenyewe.


Je tunakubaliana ya kwamba kitendo cha kutokuwa na msimamo kinaashiria kuwa hauna ukamilifu (siyo mkamilifu) ?
SIKUBALIANI na hilo mkuu.

Kwa sababu zifuatazo.

Kuwa na msimamo wewe unatafsiri kam
 
Sio kwa kadri anavyoona bali kwa kadri atakavyo yeye mwenyewe,hufanya maamyzi yake.

Kama ambavyo kuna manabii alikuwa anaongea nao moja kwa moja,na wengine anakuwa anaongea nao kupitia wajumbe wake katika malaika.

Sasa hapa Mungu mmoja huyu huyu hutumia njia tofauti kwa maana hubadili njia za kuwasiliana na mitume yake,hutumia njia tofauti tofauti.

Sasa ikiwa kutumia njia tofauti huku,kufanya mambo tofauti tofauti huku kwa kadri anavyotaka ndo unasema kuwa hana msimamo basi NAAAM hana msimamo,ila ukiwa na maana yako uliyokusudia basi hiyo unabaki nayo mwenyewe.



SIKUBALIANI na hilo mkuu.

Kwa sababu zifuatazo.

Kuwa na msimamo wewe unatafsiri kam
Kwani kunatofauti gani kati ya kusema kadri anavyoona na kusema "kadri atakavyo"? Kauli zote mbili zinatoa maana moja kuwa mwamuzi na mpangaji ni yeye mwenyewe.

Hatujadili kubadilika badilika kwa mbinu za ufikishaji ujumbe bali tunajadili kubadilika badili kwa hukumu ya jambo fulani (awali sio dhambi kwasasa ni dhambi)
 
Sio kwa kadri anavyoona bali kwa kadri atakavyo yeye mwenyewe,hufanya maamyzi yake.

Kama ambavyo kuna manabii alikuwa anaongea nao moja kwa moja,na wengine anakuwa anaongea nao kupitia wajumbe wake katika malaika.

Sasa hapa Mungu mmoja huyu huyu hutumia njia tofauti kwa maana hubadili njia za kuwasiliana na mitume yake,hutumia njia tofauti tofauti.

Sasa ikiwa kutumia njia tofauti huku,kufanya mambo tofauti tofauti huku kwa kadri anavyotaka ndo unasema kuwa hana msimamo basi NAAAM hana msimamo,ila ukiwa na maana yako uliyokusudia basi hiyo unabaki nayo mwenyewe.



SIKUBALIANI na hilo mkuu.

Kwa sababu zifuatazo.

Kuwa na msimamo wewe unatafsiri kam
Kwahiyo anayesema 2+2=7 halafu baadae anabadilika akasema ni 2+2=4 huoni kama huyu anajichanganya majibu yake? Je anayejipinga au kujichanganya unamuona ni mkamilifu?
 
Na watoto wa huo uzinzi walifunga ndoa wapi na lini, na walifunga ndoa na nani wakati hapakuwa na watu duniani? Incest? Na aliwapa ruhusa ya kufanya incest?
Mkuu ndoa Ni makubaliano ya mume na mke kuishi pamoja kma walikubaliana kuishi Basi tayari Ni ndoa kwenda kanisan Ni sheria tu iliwekwa na warumi
 
Mwishowe utakuja uliza walikuwa wanatumia mtandao gani kwenye simu?!
 
Kwani kunatofauti gani kati ya kusema kadri anavyoona na kusema "kadri atakavyo"? Kauli zote mbili zinatoa maana moja kuwa mwamuzi na mpangaji ni yeye mwenyewe.
Kwa sasa huwezi kuona tofauti yake,utakuja kuiona wakati ukishafika.

Hatujadili kubadilika badilika kwa mbinu za ufikishaji ujumbe bali tunajadili kubadilika badili kwa hukumu ya jambo fulani (awali sio dhambi kwasasa ni dhambi)
Ninachokuambia mimi ni suala zima la kubadilika kwa jambo ambalo liko ndani ya mamlaka ya Mungu.

Kama ni binadamu kubadilika,ni jambo la mamlaka ya Mungu.

Sheria kubadilika ni jambo la mamlaka ya Mungu.

Hali ya hewa kubadilika ni jambo la mamlaka ya Mungu.

Hukumu zake kubadilika ni jambo la mamlaka ya Mungu.

Vitabu vyake kubadilika ni jambo la mamlaka ya Mungu.

Sasa sheria,binadamu,hali ya hewa,mzoga kugeuka funza n.k haya yooote ni katika mambo ambayo Mungu huyamiliki na huyaendesha mwenyewe atakavyo.

Hivyo mabadiliko ya kiumbe yanayofanyika kutoka hali moja kwenda hali nyingine kwa mujibu wa muda ama nyakati

Ndio mabadiliko hayo hayo ya sheria yanayofanyika kutoka hali moja ya uharamu/uhalali kwenda katika hali nyingine kwa mujibu wa muda au nyakati.

Sasa unaposema kuwa kuweko kwa shria zinazobadilika ni ishara kuwa sio kujiamini ama mapungufu basi pia utuambie hapa kuwa hata yale mabadiliko ya binadamu ,mimea,hali ya hewa,,hayaaa yooote ni kutokujiamini kwa sababu angejiamini angeliweka hali moja tuuuuu kama jua jua tuuuu maishaa yooote ?

Kama mtu akizaliwa asikue awe hivyo hivyo asibadilike kwa mujibu wa muda unavyokwenda awe kichanga tuuuuu?

Sasa usitofautishe mabadiliko haya ati kwa sababu sheria ama hukumu ni tofauti na hayo mambo niliyotaja,usitenganishe.

Nimekupa mifano kamilifu kabisa kuonesha kwamba sheria kubadilika ni sawa na mabadiliko mengine tu.

Kama ambavyo wewe umetoa mifano yako ya hesabu ambayo nakuja kuijibu hivi punde.
 
Kwa sasa huwezi kuona tofauti yake,utakuja kuiona wakati ukishafika.


Ninachokuambia mimi ni suala zima la kubadilika kwa jambo ambalo liko ndani ya mamlaka ya Mungu.

Kama ni binadamu kubadilika,ni jambo la mamlaka ya Mungu.

Sheria kubadilika ni jambo la mamlaka ya Mungu.

Hali ya hewa kubadilika ni jambo la mamlaka ya Mungu.

Hukumu zake kubadilika ni jambo la mamlaka ya Mungu.

Vitabu vyake kubadilika ni jambo la mamlaka ya Mungu.

Sasa sheria,binadamu,hali ya hewa,mzoga kugeuka funza n.k haya yooote ni katika mambo ambayo Mungu huyamiliki na huyaendesha mwenyewe atakavyo.

Hivyo mabadiliko ya kiumbe yanayofanyika kutoka hali moja kwenda hali nyingine kwa mujibu wa muda ama nyakati

Ndio mabadiliko hayo hayo ya sheria yanayofanyika kutoka hali moja ya uharamu/uhalali kwenda katika hali nyingine kwa mujibu wa muda au nyakati.

Sasa unaposema kuwa kuweko kwa shria zinazobadilika ni ishara kuwa sio kujiamini ama mapungufu basi pia utuambie hapa kuwa hata yale mabadiliko ya binadamu ,mimea,hali ya hewa,,hayaaa yooote ni kutokujiamini kwa sababu angejiamini angeliweka hali moja tuuuuu kama jua jua tuuuu maishaa yooote ?

Kama mtu akizaliwa asikue awe hivyo hivyo asibadilike kwa mujibu wa muda unavyokwenda awe kichanga tuuuuu?

Sasa usitofautishe mabadiliko haya ati kwa sababu sheria ama hukumu ni tofauti na hayo mambo niliyotaja,usitenganishe.

Nimekupa mifano kamilifu kabisa kuonesha kwamba sheria kubadilika ni sawa na mabadiliko mengine tu.

Kama ambavyo wewe umetoa mifano yako ya hesabu ambayo nakuja kuijibu hivi punde.
Tutaelewana tu nini nachomaanisha. Sifa ya kwanza ya Mungu si ni ukamilifu? Je ukamilifu unawezaje kupatikana kwa maamuzi au majibu ya kubadilika badilika kwa jambo hilo hilo moja? Nimekupa mfano kwamba

Kwahiyo anayesema 2+2=7 halafu baadae anabadilika akasema ni 2+2=4 huoni kama huyu anajichanganya majibu yake? Je anayejipinga au kujichanganya unamuona ni mkamilifu?
 
Kwahiyo anayesema 2+2=7 halafu baadae anabadilika akasema ni 2+2=4 huoni kama huyu anajichanganya majibu yake? Je anayejipinga au kujichanganya unamuona ni mkamilifu?
Unapinga mimi kutumia mifano ya mabadiliko ya binadamu na hali ya hewa unapinga kwa kusema kuwa mambo hayo ama mabadiliko hayo ni tofauti na sheria ama hukumu.

Wakati huo huo wewe unatoa mifano yako hii ya hesabu kujenga hoja ambayo unataka ikusapoti.

Sasa huu mfano wa hesabu ambao umeutumia kujenga hoja ya mapungufu manake ni kuwa hauhusiani na mambo ya sheria kwa sababu ni mbali mbali kabisa kama ambavyo wewe umeona mbali mbali mambo ya sheria na mabadiliko ya binadamu.

I
Kwahiyo anayesema 2+2=7 halafu baadae anabadilika akasema ni 2+2=4 huoni kama huyu anajichanganya majibu yake? Je anayejipinga au kujichanganya unamuona ni mkamilifu
Nitasikiliza hoja zake za mabadiliko hayo.

Ikiwa atakiri kuwa amekosea 2+2 sio 7 basi hapo nitakubali kuwa alikosea ama alijichanganya.

Lakini akiwa na hoja zake mwenyewe siwezi kusema kajichanganya,sitohukumu moja kwa moja kuwa kajichanganya.

Kwa sababu anaweza kusema kuwa 2+2=7 but 2 ya mwisho inamuwakilisha 5,hivyo kwenye mbili ya mwisho ni tano hiyo.

Kwa hiyo itakuwa 2+5=7.

Sasa kwa hoja mfano wa hii siwezi kusema kajichanganya.
 
Tutaelewana tu nini nachomaanisha. Sifa ya kwanza ya Mungu si ni ukamilifu?
Kwa mujibu wa Mungu unayemjua wewe ukamilifu ni nini kwa Mujibu wa anavyojielezea Mungu huyo ?

Usijadili ukamilifu kwa mujibu wa mtazamo wako ulivyouzowea,tujadili ukamilifu kwa mujibu wa huyo Mungu mwenyewe ili akienda kinyume na ukamilifu huo iwe kajichanganya mwenyewe.


Je ukamilifu unawezaje kupatikana kwa maamuzi au majibu ya kubadilika badilika kwa jambo hilo hilo moja? Nimekupa mfano kwamba
Swala hili litakuja baada ya kuafikiana juu ya maana ya ukamilifu kwa mujibu wa huyo Mungu mwenyewe,na sio kwa mujibu wako weye.
 
Back
Top Bottom