Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Unapinga mimi kutumia mifano ya mabadiliko ya binadamu na hali ya hewa unapinga kwa kusema kuwa mambo hayo ama mabadiliko hayo ni tofauti na sheria ama hukumu.

Wakati huo huo wewe unatoa mifano yako hii ya hesabu kujenga hoja ambayo unataka ikusapoti.

Sasa huu mfano wa hesabu ambao umeutumia kujenga hoja ya mapungufu manake ni kuwa hauhusiani na mambo ya sheria kwa sababu ni mbali mbali kabisa kama ambavyo wewe umeona mbali mbali mambo ya sheria na mabadiliko ya binadamu.

I

Nitasikiliza hoja zake za mabadiliko hayo.

Ikiwa atakiri kuwa amekosea 2+2 sio 7 basi hapo nitakubali kuwa alikosea ama alijichanganya.

Lakini akiwa na hoja zake mwenyewe siwezi kusema kajichanganya,sitohukumu moja kwa moja kuwa kajichanganya.

Kwa sababu anaweza kusema kuwa 2+2=7 but 2 ya mwisho inamuwakilisha 5,hivyo kwenye mbili ya mwisho ni tano hiyo.

Kwa hiyo itakuwa 2+5=7.

Sasa kwa hoja mfano wa hii siwezi kusema kajichanganya.
Nimekupa mfano wa kibinadamu lakini nikiwa nalenga hapo hapo kwenye swala la kihukumu.
Mungu aliona sahihi kwa ndugu kwa ndugu kukutana kimapenzi lakini huyo huyo anakuja kukataza kuwa sio sahihi kuingiliana kimapenzi ndugu kwa ndugu.

Hapa unaona ni namna gani Mungu anajichanganya kwa kutoa kauli mbili mbili
 
Nimekupa mfano wa kibinadamu lakini nikiwa nalenga hapo hapo kwenye swala la kihukumu.
Basi na mimi nimekupa mfano wa kibinadamu tu kwa yale tunayoyaona yanabadilika badilika katika maisha yetu lakini hasa nilikusudia hapo hapo kwenye hukumu kama ambavyo wewe ulikusudia suala la kihukumu.

Kwa hiyo sote tumetumia mifano hai ambayo binadamu wote tunashuhudia.hivyo hauna sababu ya kukataa mifano yangu alafu uipitishe mifano yako wewe unayoitaka,utakuwa sio uungwana hata kidogo.


Mungu aliona sahihi kwa ndugu kwa ndugu kukutana kimapenzi lakini huyo huyo anakuja kukataza kuwa sio sahihi kuingiliana kimapenzi ndugu kwa ndugu.
Naaaaam kwa sababu alitaka iwe hivyo na sababu ilikuepo kwamba alitaka watu waongezeke kupitia kuzaana.

Sasa baba na mama ni wawili bila shaka watoto watakaozaliwa watakuwa ni ndugu tu hata wakiwa mia moja,lakini kwa matakwa yake mwemyewe akaona iwe hivyo.

Hapa unaona ni namna gani Mungu anajichanganya kwa kutoa kauli mbili
Kwa mujibu wa Mungu mwenyewe au kwa mujibu wa mtazamo na muono wako tu ndo unaona hivyo ?
 
Basi na mimi nimekupa mfano wa kibinadamu tu kwa yale tunayoyaona yanabadilika badilika katika maisha yetu lakini hasa nilikusudia hapo hapo kwenye hukumu kama ambavyo wewe ulikusudia suala la kihukumu.

Kwa hiyo sote tumetumia mifano hai ambayo binadamu wote tunashuhudia.hivyo hauna sababu ya kukataa mifano yangu alafu uipitishe mifano yako wewe unayoitaka,utakuwa sio uungwana hata kidogo.



Naaaaam kwa sababu alitaka iwe hivyo na sababu ilikuepo kwamba alitaka watu waongezeke kupitia kuzaana.

Sasa baba na mama ni wawili bila shaka watoto watakaozaliwa watakuwa ni ndugu tu hata wakiwa mia moja,lakini kwa matakwa yake mwemyewe akaona iwe hivyo.


Kwa mujibu wa Mungu mwenyewe au kwa mujibu wa mtazamo na muono wako tu ndo unaona hivyo ?
basi hakuna kumbe sababu ya msingi inayozuia ndugu wa damu kukutana kimapenzi kwasababu kungekuwa na sababu ya msingi Mungu kwavile ni mwenye uwezo angeweza kuwaumba watu wengi kwa pamoja, au hilo lilimshinda kipi?
 
Umeweka swali juu ya swali
Hata Kipindi cha Jacob kulikuwa hakuna biashara za kufunga ndoa. Mahari ikishakubaliwa na mzee basi unachukua goma unasepa.
Mambo ya ndoa plus harusi yaliletwa na Wazungu tu. Ndoa inaishia pale mzee anapopokea mahari tu full stop.
Sema swali ni je Adam alimpa nani mahari[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mujibu wa anavyoelezewa Mungu
basi hakuna kumbe sababu ya msingi inayozuia ndugu wa damu kukutana kimapenzi kwasababu kungekuwa na sababu ya msingi Mungu kwavile ni mwenye uwezo angeweza kuwaumba watu wengi kwa pamoja, au hilo lilimshinda kipi?
Lazima ujue kuwa asili ya kukatazwa sisi jambo kwamba halifai na linafaa ni kwa lengo la kujaribiwa nafsi zetu wenyewe.

Kwa hiyo kinachofanya jambo liwe bayakwanza ni kule kukatazwa kwake na Mungu,hili ifahamu vizuri.

Kumuoa dada yako wa tumbo moja ni haramu sio kwa sababu Mungu amekataza,na sio haramu ati kwa sababu ukimuoa utaangukiwa na nyumba ama madhara ya moja kwa moja.

Kwa hiyo lazima ufahamu kuwa msingi wa kukataza jambo kwanza ni majaribio ya sisi kuzijaribu nafsi zetu ili tukifaulu tuingie peponi.
 
Lazima ujue kuwa asili ya kukatazwa sisi jambo kwamba halifai na linafaa ni kwa lengo la kujaribiwa nafsi zetu wenyewe.
kumbe hakuna sababu za msingi zaidi ya kupima nafsi.

Sasa Mungu anampimaje mtu nafsi ilihali yeye ndiye aliyemuumba huyo mtu, hapa ni kama kujikosoa uwezo wake wa kuumba kwamba kamuumba mtu x kwa mapungufu ya asilimia ngapi.

2) unapima mtu au kitu ikiwa hujui majibu ya kile unachokipima kwa kile kitu au mtu, Sasa kitendo cha Mungu kupima nafsi za watu inamaana Mungu hajui majibu ya nafsi ya mtu itachagua/itafanya nini hadi apime ili aone?
 
Sio kwasababu Mungu amekata, bali ni kwasababu ipi hasa?
Nimekosea kuandika ilikuwa kwenye neno "SIO" iwe "NI"

Kwa hiyo sababu kubwa ya kutokumuoa dada wako mtu ni kwa sababu ya msingi ya Mungu kukataza.
 
kumbe hakuna sababu za msingi zaidi ya kupima nafsi.
Hii ndo sababu kubwa mnoo.

الذي خلق الموت والحياة ليبلوكم أيكم أحسن عملا وهو العزيز الغفور

[ AL - MULK - 2 ]
Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu...


Sasa Mungu anampimaje mtu nafsi ilihali yeye ndiye aliyemuumba huyo mtu,
Mungu anaipima nafsi yako kwa kuangalia matendo yako mema na mabaya huo ndo msingi wa upimaji wa nafsi.
hapa ni kama kujikosoa uwezo wake wa kuumba kwamba kamuumba mtu x kwa mapungufu ya asilimia ngapi.
Kwani ni Mungu gani aliyesema kuwa amemuumba binadamu akiwa kamili,bila udhaifu wala mapungufu yeyote ?

Ili Mungu huyo awe ndio wa kweli na huyu unaempinga hapa awe Mungu wa uongo ?

unapima mtu au kitu ikiwa hujui majibu ya kile unachokipima kwa kile kitu au mtu,
Si kweli,mimi najua kuwa mchele uliobaki dukani ni nusu,akija mteja anataka nusu ya mchele alafu mimi nikauchukua ule mchele nikaupima ili nimridhhishe mteja aone kwamba Nusu kweli hapo itakuwa kupima kwangu nilipima ili kumridhisha mteja wangu.

Hivyo sio kila kipimo basi mpimaji hajui anachokipima,anajua vizuri sana.


Sasa kitendo cha Mungu kupima nafsi za watu inamaana Mungu hajui majibu ya nafsi ya mtu itachagua/itafanya nini hadi apime ili aone?
Anapima nafsi za watu sio kwa sababu ya yeye ajue kwamba huyu atafanyaje,bali anapima nafsi ili KILA NAFSI IJIONEE ILICHOKIFANYA KWA USHAHIDI WA KUMBUKUMBU ZAKE.

Hivyo alikuwa na uwezo wa kutuumba sote kwa pamoja alafu akawachpma moto wengine akawatia peponi kwa kule kujua kwake kuwa huyu atakuwa muovu na mwema.

Lakini kwa uwezo wake,hekima zake na nguvu zake akatuacha kila mmoja aingie field ajionee matendo yake ambayo anayafanya bila kutenzwa nguvu.

Kwa hiyo kipimo sio kwa ajili ya Mungu ati ajue,,kipimo ni kwa ajili yetu sisi watu tushuhudie nafsi zetu.
 
Hii ndo sababu kubwa mnoo.

الذي خلق الموت والحياة ليبلوكم أيكم أحسن عملا وهو العزيز الغفور

[ AL - MULK - 2 ]
Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu...



Mungu anaipima nafsi yako kwa kuangalia matendo yako mema na mabaya huo ndo msingi wa upimaji wa nafsi.

Kwani ni Mungu gani aliyesema kuwa amemuumba binadamu akiwa kamili,bila udhaifu wala mapungufu yeyote ?

Ili Mungu huyo awe ndio wa kweli na huyu unaempinga hapa awe Mungu wa uongo ?


Si kweli,mimi najua kuwa mchele uliobaki dukani ni nusu,akija mteja anataka nusu ya mchele alafu mimi nikauchukua ule mchele nikaupima ili nimridhhishe mteja aone kwamba Nusu kweli hapo itakuwa kupima kwangu nilipima ili kumridhisha mteja wangu.

Hivyo sio kila kipimo basi mpimaji hajui anachokipima,anajua vizuri sana.



Anapima nafsi za watu sio kwa sababu ya yeye ajue kwamba huyu atafanyaje,bali anapima nafsi ili KILA NAFSI IJIONEE ILICHOKIFANYA KWA USHAHIDI WA KUMBUKUMBU ZAKE.

Hivyo alikuwa na uwezo wa kutuumba sote kwa pamoja alafu akawachpma moto wengine akawatia peponi kwa kule kujua kwake kuwa huyu atakuwa muovu na mwema.

Lakini kwa uwezo wake,hekima zake na nguvu zake akatuacha kila mmoja aingie field ajionee matendo yake ambayo anayafanya bila kutenzwa nguvu.

Kwa hiyo kipimo sio kwa ajili ya Mungu ati ajue,,kipimo ni kwa ajili yetu sisi watu tushuhudie nafsi zetu.
Hayo masuala ya kuchomana moto wakati hakuna aliyetuma maombi ya kuumbwa, akakiri kwenye barua yake ya maombi kuwa ataiweza mikikimikiki Mimi naona hayajakaa sawa.

Kama Mungu yupo tayari kutesa watu wake kisa wameenda kinyume haina haja ya kushangaa hawa madikteta wa kiafrika wanavyotutesa, wala hakuna haja ya kuandamana na mabango ya 'black lives matter'.

Tena maandiko yanasema wakosefu watachomwa kwa miaka elfu moja, halafu wataalam wa maandiko niliwahi kusikia wakisema kuwa katika hiyo miaka elfu moja, siku moja tu ni sawa na mwaka mmoja wa sasa!
 
Hayo masuala ya kuchomana moto wakati hakuna aliyetuma maombi ya kuumbwa, akakiri kwenye barua yake ya maombi kuwa ataiweza mikikimikiki Mimi naona hayajakaa sawa.
Kama hukuleta maombi ya kuja duniani maana yake ndo ufanye kwa mujibu wa vile wanavyotaka wale waliokuleta.

Unataka ufanye unavyotaka si ungejileta mwenyewe ukaibuka tuu paap ?
Mbona hukuweza kujileta mwenyewe kwa namna hiyo badala yake ukafuata mfumo uliowekwa mpaka unakuja unazaliwa hujijui kwa lolote.

Fuata yale ya waliokuleta hapa😀
Kama Mungu yupo tayari kutesa watu wake kisa wameenda kinyume haina haja ya kushangaa hawa madikteta wa kiafrika wanavyotutesa, wala hakuna haja ya kuandamana na mabango ya 'black lives matter'.
Pia Mungu hupo tayari kuwazawadia watu wake ambao wataenda sawa,yupo tayari kuwazawadia pepo nzuri yenye mambo mengi mazuri wayapendayo.hili pia usisahau usitaje moto tu
 
Kama hukuleta maombi ya kuja duniani maana yake ndo ufanye kwa mujibu wa vile wanavyotaka wale waliokuleta.

Unataka ufanye unavyotaka si ungejileta mwenyewe ukaibuka tuu paap ?
Mbona hukuweza kujileta mwenyewe kwa namna hiyo badala yake ukafuata mfumo uliowekwa mpaka unakuja unazaliwa hujijui kwa lolote.

Fuata yale ya waliokuleta hapa[emoji3]

Pia Mungu hupo tayari kuwazawadia watu wake ambao wataenda sawa,yupo tayari kuwazawadia pepo nzuri yenye mambo mengi mazuri wayapendayo.hili pia usisahau usitaje moto tu
Mkuu japo umenijibu ila ni kama kidogo hujaelewa. Je kama sikutaka kabisa kuja duniani?
 
Kwahiyo wakuu, Adam ndiye babu yetu Zinjanthropus?

Pia ni kweli Hugo babu aliishi Tz au ni propaganda tu za mabeberu kutuvimbisha vichwa enzi hizo ili wajichotee rasilimali zetu?
 
Mungu ndiye aliyewafungisha na Mungu alipo ndipo madhabahu yake ilipo aliwafungisha kwenye madhabahu yake na akawapa ruksa baada ya kuwafungisha kuwa Sasa wanaruhusiwa kulalana na kuzaliana waijaze dunia.Aliwaoza kwanza ndipo akawapa ruksa ya kuzaa

Ndoa ilifungwa na Mungu mwenyewe kwenye madhabahu yake takatifu
Mstari gani katika bible unazungumzia ndoa yao
 
awamu ya 5 ktu mmetufanya tunashukuru sana Ona vijana wako wanatafuta uhalal wa ndoa ya Adam na hawa
 
Sasa mkuu mtu ataaminije bila kuelewa?

Hizi dini ni kama kufunika kombe tu. Maswali mengi, majibu kiduchu!
"Anchilar phyilosophie",Hiyo ni Falsafa ya Mt.Thoma wa Aquino,Akimaanisha kuwa Imani inaanza ndipo kuelewa kunakuja baadaye,ukitaka kuelewa kwanza ndipo uamini,haitawezekana.
 
Back
Top Bottom