SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Kwani kuna hoja hapa? Mleta mada kakimbia(utadhani) lakini yumo(naamini yumo).
Na ukisoma vizuri utaona , uzi umeanzia posti ya tatu.
Bwana Utamu, rudi soma tena Comment na hoja zilizoibuliwa ona kama kuna hata moja inayohusishwa libya inamjibu mleta mada kama alivyotaka.
Na ukisoma vizuri utaona , uzi umeanzia posti ya tatu.
Bwana Utamu, rudi soma tena Comment na hoja zilizoibuliwa ona kama kuna hata moja inayohusishwa libya inamjibu mleta mada kama alivyotaka.