GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Halafu wenye Akili Kubwa tukisema kuwa Tanzania ya sasa huenda ikawa na Viongozi Wehu zaidi mnaanza Kuchukia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi au Fools unaofanana nao?Landrover ilitumika kudai uhuru.
Mwalimu Nyerere alitumia landrover.
Kuna wengi wanapambana ku-undermine hili tamasha lakini wamefeli big time...
Leo ndio mwisho wa Wivu wa kikeWengi au Fools unaofanana nao?
Idiot.Leo ndio mwisho wa Wivu wa kike
Huyo jamaa anajiitaga akili kubwa anajionaga genius ila ukipitia threads na posts zake ni mweupe tu kichwani. Na anaamini yeye ndo yupo sahihi tu. Siku zote wanaojionaga wajanja sana ukiwafatilia ndo washamba wenyewe.Leo ndio mwisho wa Wivu wa kike
Siyo najiona ni Genius bali in actual sense I am Genius Kudadadeki zako. Jinyonge sasa kwa Kunichukia Kwako huku Ok?Huyo jamaa anajiitaga akili kubwa anajionaga genius ila ukipitia threads na posts zake ni mweupe tu kichwani. Na anaamini yeye ndo yupo sahihi tu. Siku zote wanaojionaga wajanja sana ukiwafatilia ndo washamba wenyewe.
Ma genius huwa hawasemi pengine hata muda wa kupost humu hawana, nina wasiwasi hujawahi kutana na mmoja wapo ila wapo hata hapa bongo. Akiwa darasani anaweza ku solve swali kwa njia ambayo haipo kitabu chochote, kwenye maisha ya mtaani anaweza kuibuka na solution ya tatizo fulani kwenye jamii bila hata ku google popote, na humsikii akijitamba. Wewe ni type ya erythrocyte anayejiitaga tajiri na kuwaita watu kapuku lakini anashinda JF 24/7 kumtetea Mbowe. Ukifatilia anamiliki Harrier au Crown na nyumba ya vyumba viwili anajiita tajiri. Nimekupa mfano wa mtu kama wewe humu Jamii forums.Siyo najiona ni Genius bali in actual sense I am Genius Kudadadeki zako. Jinyonge sasa kwa Kunichukia Kwako huku Ok?
Sorry for being that Dunce.Ma genius huwa hawasemi pengine hata muda wa kupost humu hawana, nina wasiwasi hujawahi kutana na mmoja wapo ila wapo hata hapa bongo. Akiwa darasani anaweza ku solve swali kwa njia ambayo haipo kitabu chochote, kwenye maisha ya mtaani anaweza kuibuka na solution ya tatizo fulani kwenye jamii bila hata ku google popote, na humsikii akijitamba. Wewe ni type ya erythrocyte anayejiitaga tajiri na kuwaita watu kapuku lakini anashinda JF 24/7 kumtetea Mbowe. Ukifatilia anamiliki Harrier au Crown na nyumba ya vyumba viwili anajiita tajiri. Nimekupa mfano wa mtu kama wewe humu Jamii forums.
Hiyo ni Promotion ya kuiuza Arusha kama Ilivyofanyika ile Filamu ya Royal Tour, Maeneo yote ya Tanganyika yaliyotangazwa kwenye Royal Tour yote yameuzwa. Yaani hii nchi watu wanajimegea mnoo 🤣🤣🤣Halafu wenye Akili Kubwa tukisema kuwa Tanzania ya sasa huenda ikawa na Viongozi Wehu zaidi mnaanza Kuchukia.
dunderheadIdiot.
Moron.dunderhead
Labda wa Kukupa Mimba.Yanga bingwa
verbal diarrheaMoron.
Yaani ni fully ubunifu jinsi ya kuiibia nchi!Hiyo ni Promotion ya kuiuza Arusha kama Ilivyofanyika ile Filamu ya Royal Tour, Maeneo yote ya Tanganyika yaliyotangazwa kwenye Royal Tour yote yameuzwa. Yaani hii nchi watu wanajimegea mnoo 🤣🤣🤣
Utaniambia MkuuYaani ni fully ubunifu jinsi ya kuiibia nchi!