Je, hayati John P. Magufuli alidanganywa na vyanzo vyake vya habari? Maana sasa ni kama kufedheheshana

Ni kiongozi bora kwako wewe na familia yako
 
Upo gizani wewe.. magu alikuwa haambiliki na hasikii la mtu.
 
Ni kiongozi bora kwako wewe na familia yako
Ubora wake watakuja kuujua wajukuu zako si ww kama umefoji cheti na kuwazibia nafasi waliokesha miguu wameweka kwenye maji ukafukuzwa lazima utamuona ni mbaya lakini wale waliokuwa wanalia na kujipanga barabarani wanajua ubora wake
 
Upo gizani wewe.. magu alikuwa haambiliki na hasikii la mtu.
Sidhani kama kuna mtu wa namna hyo Duniani ambae hasikii la mtu hayupo,lazima walikuwepo ambao wanamshauri hata Yesu alikuwa na washauri wake itakuwa JPM ? Sema kuna watu ambao walishindwa kutekeleza majukimu yao kikatiba na kusingizia kuwa ashauriki
 
Sidhani kama kuna mtu wa namna hyo Duniani ambae hasikii la mtu hayupo,lazima walikuwepo ambao wanamshauri hata Yesu alikuwa na washauri wake itakuwa JPM ? Sema kuna watu ambao walishindwa kutekeleza majukimu yao kikatiba na kusingizia kuwa ashauriki
Yule alitaka waliokuwa wanamsifia tu na wale wanaosema ndio mzee.. ukihoji tu na kumweleza ukweli anakuzingua.. angalia ile clip ya mkurugenzi wa tba.
 
Mkuu huu ubora unaohubiri kwanini wauone vituu nyetu balasi ya sisi tuliemuona?
Inawezekana ww umeamua tu kukataa aidha kwa chuki tu ila nina imani wajukuu zako hawatokuwa na roho au chuki kama yako wataona pale watakapokuwa wananunua umeme bei ndogo ,wanapanda air Tanzania kwenda kwa mabeberu ,wanasoma bure etc
 
Tinga tinga likifukunyua milima tunaona na kupata njia. Wapita njia wanatakiwa wafanye zaidi ya Tinga tinga kwa kuwa njia imefanywa nyepesi, sio maneno maneno tu ya ujuaji bila tangible outcomes!
Sasa tingatinga hili likikua halina breki limevuruga kila kitu tunaanza upya kwa kutumia akili sio kwa kutumia nguvu.
 
Inawezekana ww umeamua tu kukataa aidha kwa chuki tu ila nina imani wajukuu zako hawatokuwa na roho au chuki kama yako wataona pale watakapokuwa wananunua umeme bei ndogo ,wanapanda air Tanzania kwenda kwa mabeberu ,wanasoma bure etc
Suala la elimu bure kwa nchi hii wala sio jambo la ajabu kabisa sisi tumesoma elimu huku tukinywa uji,daftari likiisha unaonda kwa mwalimu wa soma anasaini unaenda zako stoo unapewa daftari,tulikuwa hatukai chini kama sasa hivi dawati moja wanafunzi wawili na madawati yanabaki ya kumwaga tu
Nadhani kipindi hicho we bado ulikuwa kwenye bomba
 
Kipindi unachosemea ww Watanzania hawafiki milioni 15 wanaenda shule ni chini ya 4% sasa hv mpo milioni 60 wanaoenda au waliofikisha umri wa kwenda shule 98% wanaenda shule uoni kuna tofauti kubwa ?
 
Alishupaza shingo, mtu mzima unadanganyajwe na kelele zote zile za watu.

Kauli na matamshi yako yatabainisha wewe ni mtu wa namna gani. Hata mawasiliano ya watu yatafuata hulka zako zilivyo
 
JPM atabaki kuwa kiongozi bora wa kizazi hiki cha sasa ukitoa Nyerere
Nani amekataa? Kilichopo ni kwamba kuhusu ukuta wa mererani He was misled. Alipotosha kwamba wizi umeisha kitu ambacho sio kweli na unaambiwa hadi vitalu vilivyowekwa reserve walishaanza kugawana kinyemela.

Ww na Rais tumuamini nani? Unajua mambo ya mererani kuliko Rais? Kizazi hiki my foot
 

ukweli huu utasimama
 
Jiwe alikua na roho mbaya
 
Kipindi unachosemea ww Watanzania hawafiki milioni 15 wanaenda shule ni chini ya 4% sasa hv mpo milioni 60 wanaoenda au waliofikisha umri wa kwenda shule 98% wanaenda shule uoni kuna tofauti kubwa ?
Na kipindi hicho hatukuwa kwenye uchumi wa kati ila leo tupo kwenye uchumi wa kati we huoni hiyo tofauti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…