Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
- #61
Hakuna aliyepinga mabadiliko, bali tunahoji haya madhaifu yanayoanikwa. Maana tulikuwa tunaambiwa kila kitu kiko sawa.Mkuu kila zama na mambo yake na majira yake,usiishi kwa kukariri,kuna mada moja ilitolewa na mwanajf mmojavkuhusu Starlini waRussia .Akipofariki makamu wake akawa anabadili mambo,mmoja wa wajumbe akatuma memo kama kutoridhishwa.Mkuu akauliza nani katumavhuu vujumbe nimjibu?!Kimya.Akasema hata mimi nilikuwa nakaa kimya.Utakuwa umeekewa.🙆🙆🙆🙋