Je, hayati John P. Magufuli alidanganywa na vyanzo vyake vya habari? Maana sasa ni kama kufedheheshana

Je, hayati John P. Magufuli alidanganywa na vyanzo vyake vya habari? Maana sasa ni kama kufedheheshana

Mimi binafsi hainingii akilini aliyekuwa msaidizi wako mkuu kama makamu wa rais afanye mabaliko makubwa kama haya kwa muda mfupi.

Kwamba malalamiko ya ukusanyaji kodi hayati JPM hakuyasikia? Malalamiko juu ya wawekezaji kusumbuliwa? Masuala ya ajira na mshahara unaotakiwa?

Je, hawaaminiki tena?
He was right in many aspects. Mimi sasa hivi ndio nazidi kumuelewa kuliko hata alipokuwa hai ...
 
Issue sio warudishwe au lah.... Kila mtoto ana haki ya kupata elimu. Hauwezi uka risk kuzalisha mambumbumbu elfu 50 kila mwaka hvi unategemea taifa litakuaje baadae?

Chuo mbona wanabeba mimba na kulalana sijasikia wakisimamishwa chuo? Au maadili ni primary tu? Hvi hakuna adhabu mfano fine au kufungiwa ajira ya serikali kuliko kumnyima mtu haki ya msingi ya kupata elimu.

Tanzania kujifanya tunampenda Mungu kuliko hata mabeberu waliotuletea dini. Kituko sasa hamzuii mauzo ya bia, sigara, hamfungii bar, hamzuii kuuza condom, hamfungi lodge kwa wasio na ndoa, hamfungii nyimbo chafu au porn sites alafu mnataka tu kupunish watoto sababu ya general mdororo wa maadili.

Inashangaza sana
Fikiria kuwa na shule za msingi au sekondari ambazo zitaruhusu watoto wanaonyonyesha kusoma, hapo unapata picha gani? Maternity wards? Maana hii itakuwa sababu ya watoto kupata morali ya kufanya ngono uzembe huku wakijua kuna wataendelea kusoma huku wananyonyesha. Lazima tuwe na taifa lenye maaddili.

Usilinganishe mwanafunzi wa chuo ambae hata Education Act haimlindi sababu anahesabika kuwa mtu mzima.

Kwani hao wanaopata mimba wakiwa Primary school au sekondari kwenda vyuo vya ufundi na kujifunza masomo ya ufundi stadi huoni ni adhabu nzuri na inayofaa?

Mifano ya porn ,bia sigara na gesti sio relevant kabisa na kujenga maadili ya watoto.
 
Fikiria kuwa na shule za msingi au sekondari ambazo zitaruhusu watoto wanaonyonyesha kusoma, hapo unapata picha gani? Maternity wards? Maana hii itakuwa sababu ya watoto kupata morali ya kufanya ngono uzembe huku wakijua kuna wataendelea kusoma huku wananyonyesha. Lazima tuwe na taifa lenye maaddili.

Usilinganishe mwanafunzi wa chuo ambae hata Education Act haimlindi sababu anahesabika kuwa mtu mzima.

Kwani hao wanaopata mimba wakiwa Primary school au sekondari kwenda vyuo vya ufundi na kujifunza masomo ya ufundi stadi huoni ni adhabu nzuri na inayofaa?

Mifano ya porn ,bia sigara na gesti sio relevant kabisa na kujenga maadili ya watoto.
Tuache primitive mind kwani umesikia vishawishi vya ngono ni mpaka mwenzio apate mimba? Kwani hao waliopata mimba walijifunza wapi ilihali shule hazijaruhusu waliozaa kurudi?

Maadili yameporomoka kwenye jamii nzima kuanzia rate za ubakaji, ulawiti, paedophile, anal sex (35%) kwa takwimu za MEWATA. Sasa unapo punish watoto kwa kuwanyima elimu unajua madhara yake kwa kizazi kijacho?

Mie sijapinga adhabu kuna kuwapeleka kwenye kazi ngumu, kuwapa adhabu ya fine, kuna kuwafungia ajira serikalini n.k ila sio kuwanyima Elimu come on!!!

Sheria zinatambua kwamba kuwa na mahusiano na under age woman ni UBAKAJI sababu umri ule hajui kupambanua so akishawishiwa chips tu hawezi kataa. Afu great thinker anakuja hapa kudai wafungiwe masomo.

Adhabu iwepo ila sio kunyimwa ELIMU. Ni hivi ELIMU haina mbadala
 
Mifano ya porn ,bia sigara na gesti sio relevant kabisa na kujenga maadili ya watoto.
Uwe mtu wa kusoma tafiti maana watu wenye taaluma zao wamekuja na findings za hivo. Watoto kuwa exposed na adult content huchochea ngono za udogoni sasa unapobisha ni kwa basis ipi.

Mie nmekutana na watoto wa darasa la pili wanaimba "Tema mate niteleze kamw nyoka pangoni....". Huyo mtoto atabeba mimba tu in no time, alafu badala ya kurestrict vishawishi eti mna punish a minor tena kwa kumpa ILLITERACY ili ssa awe mbumbumbu azalishwe milele!! R u insane?

Sisi shuleni kwetu fimbo hazikuwepo lakini kulikua na adhabu ya kukata magogo kuleta kuni tena unavuka mto. My friend!! nikiskia watu wanadai eti viboko ndio adhabu pekee ya discipline nawashangaa sana.

Kufungia elimu sio adhabu na haiwezi kuwa adhabu milele. ELIMU HAINA MBADALA
 
Siasa ni kuwaambia watu kitu wanachoto taka kwa wakati husika. CCM Imetawala nchi hii kwa muda mrefu hivyo wanajua nini wanafanya.
 
Huyu mama anaenda kutuuza soon
[/QUO
Shida wengine walikuwa wamefungiwa gizani na hata baada ya mapambazuko bado wanalipenda giza,amkeni kutoka usingizini na mtoke kwenye mwanga mweze kuona vyema .
 
Mimi binafsi hainingii akilini aliyekuwa msaidizi wako mkuu kama makamu wa rais afanye mabaliko makubwa kama haya kwa muda mfupi.

Kwamba malalamiko ya ukusanyaji kodi hayati JPM hakuyasikia? Malalamiko juu ya wawekezaji kusumbuliwa? Masuala ya ajira na mshahara unaotakiwa?

Je, hawaaminiki tena?
Mkuu habari ya wewe. Sijajua sana uzoefu wako katika mambo ya siasa, ufuatiliaji wa habari na pia kudadavua mambo. Na pia hujaona risk ya anayoyasema mama. Tatizo kubwa lilopo ni elimu kwa mlipa kodi. Watu wakiona TRA wanaona jini limekuja kunyonya kitu ambacho si kweli. TRA inaongozwa kwa mujibu wa sheria na kila sheria wanayoitumia imepitishwa na Bunge. Tatizo ni utumizi wa sheria. Mpaka viwango vya kodi vipo katika sheria za kodi. Makampuni makubwa hayana shida sana maana yanaweka wataalamu wa kodi kusimamia shughuli zote za kodi na wanachangia 40% ya kodi. Hayati Maguuli alilisema hili sana. Tena alienda mbali kusema wananchi wapewe elimu ya Mlipa Kodi waelewe mambo. Aligundua tatizo lipo wapi. Ushahidi wa aliyoyasema kuhusu TRA huu hapa. Naona Samia karudia mle mle. Sema watanzania tumesahau kwa sababu anasema mtu mwingine.

Chonde Chonde, tusirudi nyuma kwenye ukusanyaji wa kodi. Kodi zilizo kwa mujibu wa sheria, la sivyo nchi itapoteza mapato na hatutafika hata alipotuachia Hayati.

Kwa asili watu hatutaki kulipa kodi. Ni nature ya Binadamu. Tuanzishe masomo ya kodi Kuanzia Shule ya Msingi hata yakigusa maeneo kadhaaa ya kodi ili watu waanze keulewa wajibu wao. Nchi Fulani ambayo nilishawahi ishi, watu wanaona ni aibu kuto kulipa kodi. Ni ukikwepa kodi, ni sawa na kuitwa Fisadi.

Niwaombe Watanzania, tuipende nchi yetu. Hatuna wa kutujengea nchi yetu, bali sis ndio tutaijenga nchi yetu pendwa Tanzania.

HOTUBA YA HAYATI KUHUSU KODI HII HAPA

 
Shida ni Mama au Magu?

The emperor had no clues, na alikuwa hataki kuambiwa; naona kila mtu alikuwa anasubiri atoke waanze kufanya usafi

Mkuu nakuonea huruma. You have no clue about what went on during Magufuli time. Kifupi tutamkumbuka kwa mazuri na aliyoyafanya akiwa Rais. R.I.P Hayati John Pombe Joseph Magufuli.
 
Mkuu habari ya wewe. Sijajua sana uzoefu wako katika mambo ya siasa, ufuatiliaji wa habari na pia kudadavua mambo. Na pia hujaona risk ya anayoyasema mama. Tatizo kubwa lilopo ni elimu kwa mlipa kodi. Watu wakiona TRA wanaona jini limekuja kunyonya kitu ambacho si kweli. TRA inaongozwa kwa mujibu wa sheria na kila sheria wanayoitumia imepitishwa na Bunge. Tatizo ni utumizi wa sheria. Mpaka viwango vya kodi vipo katika sheria za kodi. Makampuni makubwa hayana shida sana maana yanaweka wataalamu wa kodi kusimamia shughuli zote za kodi na wanachangia 40% ya kodi. Hayati Maguuli alilisema hili sana. Tena alienda mbali kusema wananchi wapewe elimu ya Mlipa Kodi waelewe mambo. Aligundua tatizo lipo wapi. Ushahidi wa aliyoyasema kuhusu TRA huu hapa. Naona Samia karudia mle mle. Sema watanzania tumesahau kwa sababu anasema mtu mwingine.

Chonde Chonde, tusirudi nyuma kwenye ukusanyaji wa kodi. Kodi zilizo kwa mujibu wa sheria, la sivyo nchi itapoteza mapato na hatutafika hata alipotuachia Hayati.

Kwa asili watu hatutaki kulipa kodi. Ni nature ya Binadamu. Tuanzishe masomo ya kodi Kuanzia Shule ya Msingi hata yakigusa maeneo kadhaaa ya kodi ili watu waanze keulewa wajibu wao. Nchi Fulani ambayo nilishawahi ishi, watu wanaona ni aibu kuto kulipa kodi. Ni ukikwepa kodi, ni sawa na kuitwa Fisadi.

Niwaombe Watanzania, tuipende nchi yetu. Hatuna wa kutujengea nchi yetu, bali sis ndio tutaijenga nchi yetu pendwa Tanzania.

HOTUBA YA HAYATI KUHUSU KODI HII HAPA


Unajua kusoma?
 
Kwahiyo Yale maukuta yote ni Hasara kwa Taifa tu.
Mkuu huwezi iendesha nchi kwa mizukaaa!!ndio tatizo la mwenda zake , na aliamini haya yote hayatakuja julikana kwani , atakaa madarakani muda wa kutosha tu, hivyo hata akija kutoka mtashindwa muanzie wapi kuyafunua kumbe Mungu naye ana mchekiii tu, na kusema iiiiiiiii!!!!ki ukweli anakwenda kuaibikaa kweupe hata wale wafuasi wake , ni aibu na ndio hao wana muona mama samia kama hamtendei haki!!watu wana hasira jana tu startv walitaka kuanza kuichambua ripoti ya CAG, mtangazaji akasema hayo yaacheni kwanza,
 
Mkuu nakuonea huruma. You have no clue about what went on during Magufuli time. Kifupi tutamkumbuka kwa mazuri na aliyoyafanya akiwa Rais. R.I.P Hayati John Pombe Joseph Magufuli.
Ni kweli mengi tulikuwa hatuyajui kipindi chake, kumbe upigaji uliendelea tu??kumbe bado madini yanaibiwa tu huko, mererani, licha ya kujenga li jikuta?, kumbe ndege ni mi hasara tu!!kumbe watu walikuwa wakikwapuliwa pesa zao bank!!mbona alituaminisha kila kitu kiko sawa?!
 
Mimi binafsi hainingii akilini aliyekuwa msaidizi wako mkuu kama makamu wa rais afanye mabaliko makubwa kama haya kwa muda mfupi.

Kwamba malalamiko ya ukusanyaji kodi hayati JPM hakuyasikia? Malalamiko juu ya wawekezaji kusumbuliwa? Masuala ya ajira na mshahara unaotakiwa?

Je, hawaaminiki tena?
Tatizo kubwa la Mgufuli ilikuwa kujiona ukubwa na alikuwa hataki kambiwa kitu.
Yeye mwenyewe aliwahi kusema hapangiwi kitu na mtu yeyote.
Pengine hilo lilikuwa tatizo lake kisaikolojia, kuwa anayemshauri anamwona kama anamdharau au kuwa hajui kitu.
Thats a mental problem.

Yeyote aliyemwambia ushauri wengine waliishia jela , na namkumbuka Mzee Shamte ya PSRF, alimpa ushaurri lakini akaisia kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi.
Kilichomtokea Mzee Shamte wote tunakijua, hadi kupelekea umauti.

Mbaya zaidi Magufuli alikuwa hajali kabisa wale aliowates.
Sala zao zimemfikisha kwa Mola mapema.

Magufuli was a very weak minded person, thin skinned, easy to be provoked and for no apparent reason.
 
Mkuu nakuonea huruma. You have no clue about what went on during Magufuli time. Kifupi tutamkumbuka kwa mazuri na aliyoyafanya akiwa Rais. R.I.P Hayati John Pombe Joseph Magufuli.
Tutamkumbuka kweli, lakini tuwe wakweli pia, kuna baadhi ya mambo tulikuwa tunaenda kukwama.
 
Mwambieni arudishe Tanzanite one nchi ifaidi matunda yake iliyozaa. Itapendeza zaidi.
Pole mjane. Mererani wanaoiba ni watu wa Jiwe.
Kitalu C kilianza kuibwa na watu wa Jiwe.
Jiwe alikuwa ni jizi la kutupwa.
 
Mimi binafsi hainingii akilini aliyekuwa msaidizi wako mkuu kama makamu wa rais afanye mabaliko makubwa kama haya kwa muda mfupi.

Kwamba malalamiko ya ukusanyaji kodi hayati JPM hakuyasikia? Malalamiko juu ya wawekezaji kusumbuliwa? Masuala ya ajira na mshahara unaotakiwa?

Je, hawaaminiki tena?
Jiwe ni muongo muongo wa kupindukia. Jiwe ni baba wa uongo.
Jiwe ni kilaza kilaza wa kupindukia.
Jiwe ni jichawi la kupindukia.
Jiwe lina roho mbaya kupindukia.
 
JPM atabaki kuwa kiongozi bora wa kizazi hiki cha sasa ukitoa Nyerere

Najiuliza hv kazi ya makamu wa Raisi ni nini kwa hali inavyooneka tunawalipa watu mishahara na kuwatunza wasiotekeleza majukumu yao aiwezekani makamu wa Rais ambae umezunguka nchi nzima kwenye kampeni tena ukala kiapo cha kumshauri Raisi kwa hekima leo tunashangaa na ww unashangaa mambo yaliofanyika na kuyabadili kana kwamba hukushiriki ktk kuanzishwa kwake.
Utaanzia wapi kumshauri mtu ambae yeye ndiye mshauri mkuu wa washauri wake??

Mkuu ogopa mtu anaekwenda Ibadani na kutoa maagizo namna ya kufanya maombi kwakuwa yeye anafahamu Dini kuliko Maaskofu na Mashehe.
 
Magufuli alipopokea mapendekezo ya Merelani akaamua kujenga ukuta.
Lakini sijui kama alikumbuka ukuta huo au safu ya ulinzi ulifanyiwa valuation mara kwa mara
Tatizo kubwa waliomzunguka mjomba Magu walijua Magu anapenda kusifiwa like a king.
Sasa wanamkana hata kabla ya kumaliza siku za maombelezi.
Turudi kwenye mapendekezo ya katiba ya Warioba. Watawaliwa tunataka katiba,na hao waliojiona katiba mpya haina maana sasa wanalia kwa kusaga meno.
 
Tutamkumbuka kweli, lakini tuwe wakweli pia, kuna baadhi ya mambo tulikuwa tunaenda kukwama.
Ndio uongozi mkuu. Ndio maana kila baada ya miaka mitano tunachagua watu. Hakuna Kiongozi atafanya mema yote na akaweza yote. Kila kiongozi ana mema na anayoyashindwa kufanya vizuri
 
Back
Top Bottom