Je, hayati John P. Magufuli alidanganywa na vyanzo vyake vya habari? Maana sasa ni kama kufedheheshana

Je, hayati John P. Magufuli alidanganywa na vyanzo vyake vya habari? Maana sasa ni kama kufedheheshana

Binadamu mbishi hua anaachwa kama alivyo...

Ni fedheha kubwa sana, kwa awamu ya Tano...
 
Ndio uongozi mkuu. Ndio maana kila baada ya miaka mitano tunachagua watu. Hakuna Kiongozi atafanya mema yote na akaweza yote. Kila kiongozi ana mema na anayoyashindwa kufanya vizuri
Ni kweli, tatizo ni kwamba watu walifikia kipindi kutaka tuamini kwamba ni yeye peke yake ndio anaweza kuongoza hii nchi. Tumpe muda mama tuone anatupeleka wapi.

Unaweza ukawa na mapungufu machache, lakini ya msingi. Ndio ilikuwa shida ya Uncle. He was too stubborn, ukiwa kiongozi mkubwa ubishi uliopindukia ni weakness mbaya sana.

From my experience, kuna wakati tunakaa watu wazito sana, wametuzidi elimu, umri na utajiri; anakuja na ideas zake unamwelezea mahala ambapo unaamini kutaleta shida, na mara nyingi sana wanakuwa flexible enough kukubali ushauri. Lakini bwana Jiwe, hakuna asichokuwa anajua. I have heard cases kadhaa ambazo mzee anapewa live, kesho mtu hana uwaziri. Unajenga hofu, inafikia kipindi badala ya wao kumsaidia, yeye ndio anakuwa anawasaidia maana hawajiamini tena.

Gari hata iwe inakimbia kiasi gani, kama haiwezi kupunguza mwendo pale dereva anapohitaji, haifai.
 
Hata JPM alikuwa sehemu ya Baraza la Mawaziri la Rais Mkapa na akadumu hadi baraza la Mawaziri la JK , amekaa 20 years as a minister, akauza nyumba zote za serikali, na akajiuzia na nyingine akawapa mahawara zake, huyo huyo alipoingia JK ikabidi JK ahangaike kujenga nyumba mpya maana viongozi wapya walikuwa wanakaa mahotelini na kwenye appartments and it was expensive and too risky.

Huyohuyo alipokuja kuwa president 2015 akaanza kuibua ya wenzake na kuongea shit nyingi sana na kujionyesha yeye ndio mzalendo na sio mwizi wala sio jangili.

Labda nikuulize, je unajua kwamba alikuwa waziri kwa muda wote niliosema hapo juu?

Na kama jibu ni ndio, je kwa nini nae aliibua hayo mambo alipoingia yeye wakati nae alikuwa sehemu ya hizo Serikali akiwa kwenye council ya ministers ambapo alikuwa sehemu ya maamuzi na baadhi yake yalikuwa na utekelezaji chini yake?

Je utabisha tukisema kwamba nae alikuwa mnafiki na amewasaliti watangulizi wake kwa kuamua kufuata njia zake za uongozi baada ya kuwa Rais na kuanza kuexpose mambo ambayo yalishapita?

Je nae tumuite msaliti?

Na kama jibu hapo juu litakuwa hapana, then kwa nini unamuita Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan majina ya kipuuzi??? Ni hayo machache tu.

I submit.
🤝👋🤛👍
 
Mu
muda ni mwalimu mzuri.
Muda umeshajibu ndugu huoni anavyosulubiwa,tuliwaambiaga hamkusikia.
Tena anasulubiwa kwa colabo ya wanaCCM, Wapinzani na wasio na vyama.
Wote hawa hawaezi kuwa wajinga.
Huko nyuma tulisema sisi Kwanza kuwa wakati Ni Mwalimu mzuri,Sasa Ni ndio wakati umeshatoa majibu.
 
Labda ulisoma wakati wa Nyerere! Elimu ya bure ilitoweka kuanzania mwaka 1985, ikaanza kama mchango wa elimu Sh20 na kadri siku zilivyokwenda ndipo karo ilikuwa inaongeza; imepita miaka 30 ndipo elimu ya bure ikarudi tena.
Uzuri ni kwamba hujapinga hoja yangu
 
Mimi binafsi hainingii akilini aliyekuwa msaidizi wako mkuu kama makamu wa rais afanye mabaliko makubwa kama haya kwa muda mfupi.

Kwamba malalamiko ya ukusanyaji kodi hayati JPM hakuyasikia? Malalamiko juu ya wawekezaji kusumbuliwa? Masuala ya ajira na mshahara unaotakiwa?

Je, hawaaminiki tena?
Tumemaliza kuomboleza hivyo ni vema huyu mtu tusimzungumzie kabisa. Tugange yajayo. Tumwangalie mama tu na ni lazima apange safu yake. Iliyokuwepo si yake. Isitoshe kila mtu ana utashi wake wa kufanya mambo. Hebu nikuulize, corona ipo nchini haipo? Huu ni mfano mmoja tu wa vitu vya kweli ambavyo mama ameanza kuvishughulika.
 
Katiba inasema kuwa Raisi halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote. Unajuaje kama hakumshauri? Kuna wakati mama alitaka kuachia ngazi kwa udikteta wa baba, ila wazee wakamwambia akomae. Wakati mwingine za kuambiwa changanya na zako.
JPM atabaki kuwa kiongozi bora wa kizazi hiki cha sasa ukitoa Nyerere

Najiuliza hv kazi ya makamu wa Raisi ni nini kwa hali inavyooneka tunawalipa watu mishahara na kuwatunza wasiotekeleza majukumu yao aiwezekani makamu wa Rais ambae umezunguka nchi nzima kwenye kampeni tena ukala kiapo cha kumshauri Raisi kwa hekima leo tunashangaa na ww unashangaa mambo yaliofanyika na kuyabadili kana kwamba hukushiriki ktk kuanzishwa kwake.
 
Back
Top Bottom