THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Hawa weupe wametajirika sana Kwa mali zetu,wameiba sana mali zetu na kuwafanya Babu zetu watumwa,dawa ni kuwakopa na kutowalipa tuh.Imagine Ruto...
Ambao tunaamini Wakenya wanajielewa anajustify uamuzi wake wa kijinga kabisa...
Hivi kama kweli kuna mbingu na roho hazifi.. mbona machifu wanalia sana huko waliko.
They fought battles against white's domination..
Saizi mijitu misomi na akili zao. Inapanda ndege kuwafuata.
Wazee kwani ni nani anawashauri viongozi Wa Afrika.!?
Embu fikirieni Rais anapanda ndege na Cabinet yake... Naposema Cabinet simaanishi baraza la Mawaziri ..namaanisha wale anaohisi waende nae kula maisha.
Only...Only.. to put a signature in a paper..
KOREA!? WHAT DO THEY HAVE TO GIVE!? TO US.
Alafu unaweza fikiri tuko wenyewe..
Ruto nae Kaenda.
Is Black a CURSE...or Our Leaders ..!?
Jaribu kuupa uhuru ubongo wako utafute taarifa. Tumia internet especially GOOGLE kujua hilo taifa unaloliponda likoje. South Korea kiuchumi ni nchi ya 14 duniani.Wazee kwani ni nani anawashauri viongozi Wa Afrika.!?
Embu fikirieni Rais anapanda ndege na Cabinet yake... Naposema Cabinet simaanishi baraza la Mawaziri ..namaanisha wale anaohisi waende nae kula maisha.
Only...Only.. to put a signature in a paper..
KOREA!? WHAT DO THEY HAVE TO GIVE!? TO US.
Alafu unaweza fikiri tuko wenyewe..
Ruto nae Kaenda.
Is Black a CURSE...or Our Leaders ..!?
Usimlaumu Rais mkuu!Wazee kwani ni nani anawashauri viongozi Wa Afrika.!?
Embu fikirieni Rais anapanda ndege na Cabinet yake... Naposema Cabinet simaanishi baraza la Mawaziri ..namaanisha wale anaohisi waende nae kula maisha.
Only...Only.. to put a signature in a paper..
KOREA!? WHAT DO THEY HAVE TO GIVE!? TO US.
Alafu unaweza fikiri tuko wenyewe..
Ruto nae Kaenda.
Is Black a CURSE...or Our Leaders ..!?
Asa viongozi kwani wamelaaniwa..!??
Kukopa koa siungi mkono, kubeba wale jamaa siungi mkono.Wazee kwani ni nani anawashauri viongozi Wa Afrika.!?
Embu fikirieni Rais anapanda ndege na Cabinet yake... Naposema Cabinet simaanishi baraza la Mawaziri ..namaanisha wale anaohisi waende nae kula maisha.
Only...Only.. to put a signature in a paper..
KOREA!? WHAT DO THEY HAVE TO GIVE!? TO US.
Alafu unaweza fikiri tuko wenyewe..
Ruto nae Kaenda.
Is Black a CURSE...or Our Leaders ..!?
Uchumi wa nchi hauwezi kukua kwa maneno ya kiharakati bali kwa mtaji wa kiuchumi tu.Imagine Ruto...
Ambao tunaamini Wakenya wanajielewa anajustify uamuzi wake wa kijinga kabisa...
Hivi kama kweli kuna mbingu na roho hazifi.. mbona machifu wanalia sana huko waliko.
They fought battles against white's domination..
Saizi mijitu misomi na akili zao. Inapanda ndege kuwafuata.
hizo hatua 7 mbele tumepiga lini?Kuendelea ni ndoto ya mchana, tunapiga hatua 7 mbele na kurudi 10 nyuma.
Matackle...Jaribu kuupa uhuru ubongo wako utafute taarifa. Tumia internet especially GOOGLE kujua hilo taifa unaloliponda likoje. South Korea kiuchumi ni nchi ya 14 duniani.
View attachment 3008985
Umeleta point nzuri sana. Halafu mie nilifikiri ni Rais wetu tu, nilipomuuliza rafiki yangu Korea ati Rais wa Tz yupo huko akaniambia kuwa kuna maRais 48 wamefika. Ujue wote ni Waafrika; halafu wanaswagwa kama kondoo; wakisikia huku kuna pesa basi hao wanarukia wote wanaenda----; umewahi kusikia nchi zingine zinazoswaga kama Africa? Hakuna. Halafu kama ulivyosema yaani Korea!!!!!!!!Wazee kwani ni nani anawashauri viongozi Wa Afrika.!?
Embu fikirieni Rais anapanda ndege na Cabinet yake... Naposema Cabinet simaanishi baraza la Mawaziri ..namaanisha wale anaohisi waende nae kula maisha.
Only...Only.. to put a signature in a paper..
KOREA!? WHAT DO THEY HAVE TO GIVE!? TO US.
Alafu unaweza fikiri tuko wenyewe..
Ruto nae Kaenda.
Is Black a CURSE...or Our Leaders ..!?
Ni wapi nimesema nimeidharau Korea. !?Kukopa koa siungi mkono, kubeba wale jamaa siungi mkono.
Ila ninapopingana na wewe ni kuidharau south korea. Ile nchi imeendelea sana hasa katika nyanja za kiteknolojia iko ahead ya nchi nyingi za ulaya. Korea ina maendeleo makubwa kweli
Tatizo sio safari za nje tatizo ni hili:-Ruto unayeamini anajielewa kuna thread huku inamhusu kwamba yeye na Rais wa Nigeria ndio wanaoongoza kusafiri nje. Hivi kwanini tusiwe na thread kwenye sticky pale juu ambayo tutakuwa tunahesabu hizi safari za nje ili miaka 10 ikimalizika tujue idadi ya safari za nje ili tupime na matokeo yake!!?
Jaribu kuupa uhuru ubongo wako utafute taarifa. Tumia internet especially GOOGLE kujua hilo taifa unaloliponda likoje. South Korea kiuchumi ni nchi ya 14 duniani.
View attachment 3008985
Usimlaumu Rais mkuu!
Rais ameonyesha uwezo wake ndio huo kwamba kukopa ndio suluhisho kuu!!
Ilaumu Dola inayoweka viongozi madarakani!!
Dola ndio imetufikisha tulipo hadi sasa!
Unafikiri kama Dola isingemuhakikishia Rais kumaliza muhula wake akiwa madarakani Kwa mechanism za kumwondoa TU bila blood shed yaani Kwa political intelligence ya check and balance,unafikiri Tanzania ingekua kwenye Hali kama hiyo!!?
Hapana ,
Kiasi kwamba Makam was Rais,jaji mkuu na waziri mkuu muda wowote wanaweza kuapishwa kuwa Rais na Rais aloe madarakani akawekwa benchi na mashtaka kibao ya uhujumu uchumi,nani angechezea rasilimali zetu!!!?
Ni vile tu dola inafanya compromise na ubadhirifu ndio Maana wanasiasa wanafanya uchafua wao wanapeta kama kawa!!!
DOLA IMETUANGUSHA SANA!
Ata sielewi mkuu ila kuna mambo yanakera sana.hizo hatua 7 mbele tumepiga lini?
Unaniamulia cha kuandika!?Yani ni Laaana.!? Kukopa Korea!!? Hapo nilipopiga red una maana gani? Yani ni sawa kusema angekopa kwingine ila si Korea.