Je, hii ni Mikataba ya Kimangungo katika jina la Uwekezaji?

Je, hii ni Mikataba ya Kimangungo katika jina la Uwekezaji?

Siku hizi kila nikilala nikiamka naskia katoa bandari, mara tena katoa misitu, katoa madini, katoa na bahari, hizi ni tabia za mwanamke asiyejitambua anayetuonesha kwa vitendo kabisa enzi za ujana wake alikuwa na tabia za aina gani.
Alikuwa anatoa sana kipochi
 
Ukiona mtu anakimbilia matusi badala ya hoja, ujuwe umemzidi maarifa. Usimrudishie matusi ... people might not distinguish the difference
Mwiba hutokea ulipoingilia Mkuu..
 
Mwiba hutokea ulipoingilia Mkuu..
Nionyeshe mahali nilipokutukana zaidi ya kukutaka utumie ubongo wako kutafuta taarifa kwenye internet, of which ni positive gesture
 
Nionyeshe mahali nilipokutukana zaidi ya kukutaka utumie ubongo wako kutafuta taarifa kwenye internet, of which ni positive gesture
Kwahiyo natumia ubongo wa bata sio!!!?
Not every abuse/insult is posed directly.
 
1. Waarabu wa familia ya kifalme Dubai, (DP WORLD) wamepewa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kwa mikataba ya kiduanzi unaotajwa miaka thelathini

2. Waarabu wa familia ya kifalme ya Dubai (Blue Carbon LLC) wamepewa kusimamia na kuhifadhi misitu ya Tanzania. Hii ni hekta milioni 8.1 (8% ya ardhi yote)

3. Watu wa Korea Kusini wamekabidhiwa kipande cha bahari ya Hindi na ardhi wachimbe madini nadra. Ajabu, hawa na mkopo wametoa na TUTALIPA na riba

4. Watu wa Australia (URANEX) wamepewa ardhi nzuri wachimbe madini nadra ya kimkakati na graphite Mkoa wa Lindi. Kampuni zao tatu zitauza madini nje

5. Watu wa Canada (BARRICK GOLD) wanaondoka na dhahabu. Hawajajenga hata smelters moja. Wanaacha mashimo na watu wetu kupigwa risasi

6. Waarabu wa familia ya kifalme Dubai (OBC) wao wameongezewa 1,500km² kutoka 4,000km² zilizokuwa kwa Maasai ambao wamebaki na 2,500km²

7. Watu wa Netherlands (SHELL) na Norway (EQUINOR) wamepewa kuchimba gesi asilia eneo la bahari kuu kusini mwa Tanzania, eneo la Likong’o Lindi

8. Waarabu wa Dubai, Emirates National Group (ENG) wamepewa kuendesha huduma katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), Dar es Salaam.

9. Watu wa France, Maurel & Prom Exploration Production (T) Ltd. (MPEP) wamenunua hisa kitalu cha uzalishaji wa gesi asilia cha Mnazi Bay, Mtwara.

10. Kandarasi ujenzi Bwawa la Nyerere (JNHPP) kapewa Egypt. Kandarasi ya ujenzi wa SGR kapewa China na Turkey. Waswahili mtapewa Kanda Bongoman.

NB; Umepewa nini wewe? Unaendelea kuwa admin wa kundi la WhatsApp, kuwatishia watu na ‘remove button’ wanaokosoa serikali? Shensisana. Zoea hiyo sauti

Martin Maranja Masese, MMM.
Hatari sana
 
Kwahiyo natumia ubongo wa bata sio!!!?
Not every abuse/insult is posed directly.
Kwa vile niliona unashngaa Tanzania kukopa kwa nchi ya South Korea. Niliona UMEIDODOSHA sana South Korea kwa sentensi hii hapa:
"Only...Only.. to put a signature in a paper..
KOREA!? WHAT DO THEY HAVE TO GIVE!? TO US"

Nikadhani HUIJUI SOUTH KOREA, na kukushauri kutumia Internet kuifahamu vizuri
 
1. Waarabu wa familia ya kifalme Dubai, (DP WORLD) wamepewa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kwa mikataba ya kiduanzi unaotajwa miaka thelathini

2. Waarabu wa familia ya kifalme ya Dubai (Blue Carbon LLC) wamepewa kusimamia na kuhifadhi misitu ya Tanzania. Hii ni hekta milioni 8.1 (8% ya ardhi yote)

3. Watu wa Korea Kusini wamekabidhiwa kipande cha bahari ya Hindi na ardhi wachimbe madini nadra. Ajabu, hawa na mkopo wametoa na TUTALIPA na riba

4. Watu wa Australia (URANEX) wamepewa ardhi nzuri wachimbe madini nadra ya kimkakati na graphite Mkoa wa Lindi. Kampuni zao tatu zitauza madini nje

5. Watu wa Canada (BARRICK GOLD) wanaondoka na dhahabu. Hawajajenga hata smelters moja. Wanaacha mashimo na watu wetu kupigwa risasi

6. Waarabu wa familia ya kifalme Dubai (OBC) wao wameongezewa 1,500km² kutoka 4,000km² zilizokuwa kwa Maasai ambao wamebaki na 2,500km²

7. Watu wa Netherlands (SHELL) na Norway (EQUINOR) wamepewa kuchimba gesi asilia eneo la bahari kuu kusini mwa Tanzania, eneo la Likong’o Lindi

8. Waarabu wa Dubai, Emirates National Group (ENG) wamepewa kuendesha huduma katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), Dar es Salaam.

9. Watu wa France, Maurel & Prom Exploration Production (T) Ltd. (MPEP) wamenunua hisa kitalu cha uzalishaji wa gesi asilia cha Mnazi Bay, Mtwara.

10. Kandarasi ujenzi Bwawa la Nyerere (JNHPP) kapewa Egypt. Kandarasi ya ujenzi wa SGR kapewa China na Turkey. Waswahili mtapewa Kanda Bongoman.

NB; Umepewa nini wewe? Unaendelea kuwa admin wa kundi la WhatsApp, kuwatishia watu na ‘remove button’ wanaokosoa serikali? Shensisana. Zoea hiyo sauti

Martin Maranja Masese, MMM.

Experiments za uongozi hazina tija kama wanaozifanya hawana uwezo. Tunabaki kushangaa tu
 
Sasa kama kwenye hizo ziara zake za kusaini mikataba yupo na wasanii na mr Rosti Tamu tutarajie nini
Kiongozi wa nchi anatakiwa aambatane na watu wenye akili kubwa kwenye masuala y uwekezaji na si chawa.
 
Jamani situmekubaliana anaupiga mwingi? maaneeneer na bado atauza hadi mlima Kilimanjaro ataacha tu Zanzibar kwakuwa kule ni kwao.
 
Back
Top Bottom