Je, hii ni Mikataba ya Kimangungo katika jina la Uwekezaji?

Je, hii ni Mikataba ya Kimangungo katika jina la Uwekezaji?

huyo mwenyewe anaambiwa ata anajali sasa.
 
Unaniamulia cha kuandika!?
Hii ni lugha. Uandishi unamfanya msomaji aone ulichomaanisha pasipo kukisema. Si lazima kusema nimeidharau Korea ndipo msomaji aelewe. Na hiyo ndiyo sanaa ya lugha.
 
Hii ni lugha. Uandishi unamfanya msomaji aone ulichomaanisha pasipo kukisema. Si lazima kusema nimeidharau Korea ndipo msomaji aelewe. Na hiyo ndiyo sanaa ya lugha.
You are stupid.
 
Kiumbe ambae hakuwahi kuota kuwa Rais wa nchi anapata madaraka kwa mtindo wa bahati nasibu, anaingia ikulu akiwa hajui moja wala mbili kuhusu uongozi, matokeo yake anatoa sehemu ya ardhi ya nchi aliyopewa kuiongoza kwa wageni huku yeye kwa ujinga wake akiamini bado ana mamlaka kamili ya kiuongozi.

Kiongozi anayefikiria kwenda kwenye show ya msanii ndio maana hata sishangai akituhumiwa kwa kashfa za kipuuzi, namuona kabisa ana tabia zote za kufanana na kashfa anazohusishwa nazo, hatuwezi kuwa na kiongozi wa hovyo namna hiyo halafu tubaki salama kama taifa, lazima tuumizwe tu.

Akili yake ya ajabu kwa sasa inafikiria tu wawekezaji huku akiwa amewasahau kabisa wazalendo wa nchi hii na vizazi vyao, ameingia upofu wa akili anaongoza kama vile yeye ndie atakuwa kiongozi wa mwisho kutawala hili taifa, kichwani hana kitu akiulizwa maswali ya msingi anajibu taarabu zile zilizomkuza kule alipozaliwa, tuna hasara sana kama taifa.

Mbaya zaidi ya yote ni pale anapotuonesha hayupo tayari kujifunza kutokana na makosa, alianza kukosea kwa DPW, kabla ya hapo akakosea Ngorongoro kwa wamasai, akaenda kukosea kwa KIA, na sasa anakosea kwa Wakorea.

Yote hayo anafanya kwasababu anajua mikataba ya hovyo wanayoingia kuitoa sadaka Tanganyika yetu wataifanya siri, kwake anaamini walinzi wake ni chawa wataokuja na maelezo marefu kutetea ujinga wake yasiyo na mantiki huku mwisho wakiweka namba zao za simu watupiwe chochote, wako kama mbwa wanaozunguka nje ya jumba la tajiri ndimi zao zikiwa nje kwa njaa, walaaniwe.
Hii comment ilifaa iwe uzi kamili.
 
1. Waarabu wa familia ya kifalme Dubai, (DP WORLD) wamepewa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kwa mikataba ya kiduanzi unaotajwa miaka thelathini

2. Waarabu wa familia ya kifalme ya Dubai (Blue Carbon LLC) wamepewa kusimamia na kuhifadhi misitu ya Tanzania. Hii ni hekta milioni 8.1 (8% ya ardhi yote)

3. Watu wa Korea Kusini wamekabidhiwa kipande cha bahari ya Hindi na ardhi wachimbe madini nadra. Ajabu, hawa na mkopo wametoa na TUTALIPA na riba

4. Watu wa Australia (URANEX) wamepewa ardhi nzuri wachimbe madini nadra ya kimkakati na graphite Mkoa wa Lindi. Kampuni zao tatu zitauza madini nje

5. Watu wa Canada (BARRICK GOLD) wanaondoka na dhahabu. Hawajajenga hata smelters moja. Wanaacha mashimo na watu wetu kupigwa risasi

6. Waarabu wa familia ya kifalme Dubai (OBC) wao wameongezewa 1,500km² kutoka 4,000km² zilizokuwa kwa Maasai ambao wamebaki na 2,500km²

7. Watu wa Netherlands (SHELL) na Norway (EQUINOR) wamepewa kuchimba gesi asilia eneo la bahari kuu kusini mwa Tanzania, eneo la Likong’o Lindi

8. Waarabu wa Dubai, Emirates National Group (ENG) wamepewa kuendesha huduma katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), Dar es Salaam.

9. Watu wa France, Maurel & Prom Exploration Production (T) Ltd. (MPEP) wamenunua hisa kitalu cha uzalishaji wa gesi asilia cha Mnazi Bay, Mtwara.

10. Kandarasi ujenzi Bwawa la Nyerere (JNHPP) kapewa Egypt. Kandarasi ya ujenzi wa SGR kapewa China na Turkey. Waswahili mtapewa Kanda Bongoman.

NB; Umepewa nini wewe? Unaendelea kuwa admin wa kundi la WhatsApp, kuwatishia watu na ‘remove button’ wanaokosoa serikali? Shensisana. Zoea hiyo sauti

Martin Maranja Masese, MMM.
Cha ajabu Kasi ya kuingia mikataba mibovu kama hiyo imeongezeka sana Tanganyika ila zenjibar hakuna!
 
Bora hata hiyo no 8 ina afadhali...
Kuanzia Bunge na Serikali wameshindwa kabisa kutunga sera nzuri kwa ajili ya kuwekeza kwa vijana.Kuna vijana wamesoma kilimo,teknolojia,ufundi,uvuvi,misitu.Hawa wote wanahitaji wawezeshwe kwenye uwekezaji na uzalishaji ili wasihangaike kupanga foleni za kuomba ajira.Pia kama tungekuwa na sera nzuri za kuwekeza kwenye sanaa na michezo tungeondokana na wimbi la vijana kutafuta ajira za maofisini..
Kwa mfano kuna Benki ya Maendeleo ya Kilimo lakini hata haileweki na haiwekezi kwa vijana ili kuinua sekta ya kilimo kwani tunahitaji vijana wngi wawe wazalishaji na sio wachuuzi.
Jambo la mwisho Serikali irudishe Benki ya Nyumba,sijui kwa nini Benki hii waliiua.
 
Hawa weupe wametajirika sana Kwa mali zetu,wameiba sana mali zetu na kuwafanya Babu zetu watumwa,dawa ni kuwakopa na kutowalipa tuh.
Yaani unywe pombe za Mmarekani halafu wakati wakuondoka nae ukifika ugome? Huna uwezo huo.
 
1. Waarabu wa familia ya kifalme Dubai, (DP WORLD) wamepewa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kwa mikataba ya kiduanzi unaotajwa miaka thelathini

2. Waarabu wa familia ya kifalme ya Dubai (Blue Carbon LLC) wamepewa kusimamia na kuhifadhi misitu ya Tanzania. Hii ni hekta milioni 8.1 (8% ya ardhi yote)

3. Watu wa Korea Kusini wamekabidhiwa kipande cha bahari ya Hindi na ardhi wachimbe madini nadra. Ajabu, hawa na mkopo wametoa na TUTALIPA na riba

4. Watu wa Australia (URANEX) wamepewa ardhi nzuri wachimbe madini nadra ya kimkakati na graphite Mkoa wa Lindi. Kampuni zao tatu zitauza madini nje

5. Watu wa Canada (BARRICK GOLD) wanaondoka na dhahabu. Hawajajenga hata smelters moja. Wanaacha mashimo na watu wetu kupigwa risasi

6. Waarabu wa familia ya kifalme Dubai (OBC) wao wameongezewa 1,500km² kutoka 4,000km² zilizokuwa kwa Maasai ambao wamebaki na 2,500km²

7. Watu wa Netherlands (SHELL) na Norway (EQUINOR) wamepewa kuchimba gesi asilia eneo la bahari kuu kusini mwa Tanzania, eneo la Likong’o Lindi

8. Waarabu wa Dubai, Emirates National Group (ENG) wamepewa kuendesha huduma katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), Dar es Salaam.

9. Watu wa France, Maurel & Prom Exploration Production (T) Ltd. (MPEP) wamenunua hisa kitalu cha uzalishaji wa gesi asilia cha Mnazi Bay, Mtwara.

10. Kandarasi ujenzi Bwawa la Nyerere (JNHPP) kapewa Egypt. Kandarasi ya ujenzi wa SGR kapewa China na Turkey. Waswahili mtapewa Kanda Bongoman.

NB; Umepewa nini wewe? Unaendelea kuwa admin wa kundi la WhatsApp, kuwatishia watu na ‘remove button’ wanaokosoa serikali? Shensisana. Zoea hiyo sauti

Martin Maranja Masese, MMM.
Hatupingi uwekezaji lakini mbona mikataba yote ni Siri kubwa ??


Sisi wananchi wa Tanganyika hatujui tunapata Nini?

Wabunge Wetu na bunge letu haruhusiwi kuona kilichomo kwenye mikataba hiyo

Kama uwekezaji una faida kwa mchi mbona Dola imeadimika na shilingi yetu inaxidi kuporomoka?

Kama uwekezaji una faida kwa nchi mbona mwigulu na mama yake Kila siku wanasaini mikataba ya mikopo ili kufidia nakisi ya bajeti

Kama uwekezaji una faida mbona uchumi Wetu unazidi kuporomoka na Hali zetu zinakuwa mbaya kuliko Hata kabla ya kuwekeza

Sheria inawataka hao wawekezaji kujisajiri DSM stock exchange je wametmiza matakwa ya Sheria?
 
"katika jamii ambayo watu werevu hawataki kifundisha vijana, basi watoto wao watakuja kufundiswa na wapumbavu"

DANGANYIKA sisi tunayataka wenyewe, haya ni mavuno walichopanda wazazi wetu, nasi tujue kabisa wanetu watakuta hali mbaya zaidi ya hii, ni sababu tu tumeamua kuukalia kimya huu upumbavu kwa wimbo wa amani idumu, hakuna amani ya kweli kama wengine wanabonjoa na kuuza DANGANYIKA.
 
Ipo siku tutajua hatujui, na sisi pia ni watumwa, naomba professor mmoja aandike kitabu cha utumwa wa kiuchumi
Kuna kitabu aliandika prof. Sith chachage" makuwadi wa soko huria"
Hakudumu sana huyu bwana alikifa sijui ni kifo Cha kawaida au??
 
Kiumbe ambae hakuwahi kuota kuwa Rais wa nchi anapata madaraka kwa mtindo wa bahati nasibu, anaingia ikulu akiwa hajui moja wala mbili kuhusu uongozi, matokeo yake anatoa sehemu ya ardhi ya nchi aliyopewa kuiongoza kwa wageni huku yeye kwa ujinga wake akiamini bado ana mamlaka kamili ya kiuongozi.

Kiongozi anayefikiria kwenda kwenye show ya msanii ndio maana hata sishangai akituhumiwa kwa kashfa za kipuuzi, namuona kabisa ana tabia zote za kufanana na kashfa anazohusishwa nazo, hatuwezi kuwa na kiongozi wa hovyo namna hiyo halafu tubaki salama kama taifa, lazima tuumizwe tu.

Akili yake ya ajabu kwa sasa inafikiria tu wawekezaji huku akiwa amewasahau kabisa wazalendo wa nchi hii na vizazi vyao, ameingia upofu wa akili anaongoza kama vile yeye ndie atakuwa kiongozi wa mwisho kutawala hili taifa, kichwani hana kitu akiulizwa maswali ya msingi anajibu taarabu zile zilizomkuza kule alipozaliwa, tuna hasara sana kama taifa.

Mbaya zaidi ya yote ni pale anapotuonesha hayupo tayari kujifunza kutokana na makosa, alianza kukosea kwa DPW, kabla ya hapo akakosea Ngorongoro kwa wamasai, akaenda kukosea kwa KIA, na sasa anakosea kwa Wakorea.

Yote hayo anafanya kwasababu anajua mikataba ya hovyo wanayoingia kuitoa sadaka Tanganyika yetu wataifanya siri, kwake anaamini walinzi wake ni chawa wataokuja na maelezo marefu kutetea ujinga wake yasiyo na mantiki huku mwisho wakiweka namba zao za simu watupiwe chochote, wako kama mbwa wanaozunguka nje ya jumba la tajiri ndimi zao zikiwa nje kwa njaa, walaaniwe.
Mkuu wakishamaliza kuuza Kila kitu na nchi ikabaki bila vyanzo vya mapato eti ndo wataachia wapinzani waangaike nayo.
 
Back
Top Bottom