Je, hii ni nchi au familia?

Je, hii ni nchi au familia?

Moja kwa moja kwenye mada,

Kwa jinsi mambo yanavyoenda, najiuliza kweli hii tuliyomo ni "level" ya nchi kweli?

Au ni familia ya mtu kaamua ajinywee pombe zake na kuamua chochote?

Hebu tazama mifano michache hapa chini:-
View attachment 2690497View attachment 2690500View attachment 2690504
Hebu soma mtiririko hapo juu,
Je, sisi wananchi ni "majuha"?!
Au hii nchi ni kama familia ya mtu, anaamua tu kusema lolote hata kama sio kweli?!

Tuendelee hapa chini..

View attachment 2690506View attachment 2690508View attachment 2690509
Hebu soma tena mtiririko hapo juu,
Huyu ni Naibu Waziri, hapo alichokuwa anazungumza kipo wapi, kilichoandikwa kinaonekana kabisa, kuanzia 'heading' ya mkataba, hadi Appendix 1, phase2.

Nauliza hawa watu, are they jokers?! Is this a country really or just someone's family?!

Sisi ni "majuha?"

Tuendelee hapa chini tena..

View attachment 2690510View attachment 2690511View attachment 2690513

Hebu tafakari.
Hiki ni kituko, these people are not serious!
Na hizo negotiations za DP WORLD na wakenya zilipigwa chini mwaka 2022.

Hivi najiuliza kweli huko CCM Kuna mtu ako serious kabisa?

Haya tazama tena hapa chini, si wanasema sio mkataba ooh bado hatuna mkataba..

View attachment 2690517View attachment 2690520View attachment 2690526

Haya soma hapo juu, hiyo ni taarifa ya kamati ya Bunge, wanatamka kabisa "kwa kuwa MKATABA...",
Pia huyu anayeitwa Hamza Johari, anasema tumeweka kipengele katka mkataba kwamba hakuna mfanyakazi wa bandari....

Hicho kipengele wamekiweka wapi? Ktk MKATABA upi!?

Hivi ni maigizo au mazingaombwe?!

Hii nchi in TISS, JWTZ, PCCB, MAHAKAMA, BUNGE, MAWAZIRI, WABUNGE, TLS, LHRC, n.k
Hao wote wameshindwa kumsaidia mh. Rais Samia.?

Yani tamaa za CCM za uchaguzi ujao na za 10% za rushwa ktk hili, linayumbisha nchi kiasi hiki?!

Wote tumekuwa Taifa la ovyo kiasi hiki?!

Hii ni nchi au familia, ni akili au matope?!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Moja kwa moja kwenye mada,

Kwa jinsi mambo yanavyoenda, najiuliza kweli hii tuliyomo ni "level" ya nchi kweli?

Au ni familia ya mtu kaamua ajinywee pombe zake na kuamua chochote?

Hebu tazama mifano michache hapa chini:-
View attachment 2690497View attachment 2690500View attachment 2690504
Hebu soma mtiririko hapo juu,
Je, sisi wananchi ni "majuha"?!
Au hii nchi ni kama familia ya mtu, anaamua tu kusema lolote hata kama sio kweli?!

Tuendelee hapa chini..

View attachment 2690506View attachment 2690508View attachment 2690509
Hebu soma tena mtiririko hapo juu,
Huyu ni Naibu Waziri, hapo alichokuwa anazungumza kipo wapi, kilichoandikwa kinaonekana kabisa, kuanzia 'heading' ya mkataba, hadi Appendix 1, phase2.

Nauliza hawa watu, are they jokers?! Is this a country really or just someone's family?!

Sisi ni "majuha?"

Tuendelee hapa chini tena..

View attachment 2690510View attachment 2690511View attachment 2690513

Hebu tafakari.
Hiki ni kituko, these people are not serious!
Na hizo negotiations za DP WORLD na wakenya zilipigwa chini mwaka 2022.

Hivi najiuliza kweli huko CCM Kuna mtu ako serious kabisa?

Haya tazama tena hapa chini, si wanasema sio mkataba ooh bado hatuna mkataba..

View attachment 2690517View attachment 2690520View attachment 2690526

Haya soma hapo juu, hiyo ni taarifa ya kamati ya Bunge, wanatamka kabisa "kwa kuwa MKATABA...",
Pia huyu anayeitwa Hamza Johari, anasema tumeweka kipengele katka mkataba kwamba hakuna mfanyakazi wa bandari....

Hicho kipengele wamekiweka wapi? Ktk MKATABA upi!?

Hivi ni maigizo au mazingaombwe?!

Hii nchi in TISS, JWTZ, PCCB, MAHAKAMA, BUNGE, MAWAZIRI, WABUNGE, TLS, LHRC, n.k
Hao wote wameshindwa kumsaidia mh. Rais Samia.?

Yani tamaa za CCM za uchaguzi ujao na za 10% za rushwa ktk hili, linayumbisha nchi kiasi hiki?!

Wote tumekuwa Taifa la ovyo kiasi hiki?!

Hii ni nchi au familia, ni akili au matope?!
Wale wote wanaolalamikia Mikataba mibovu baina ya Serikali ya Tanzania na makapuni Ni hivi Mkataba wa Muungano ndio Mkataba mbovu kuliko Mikataba yote Tanzania ni kauli ya Makoma wa kwanza wa Raisi wa Zanzibar mhe Othman Masoud Othman aloitoa jana mkwajuni kaskazini unguja
 
Wale wote wanaolalamikia Mikataba mibovu baina ya Serikali ya Tanzania na makapuni Ni hivi Mkataba wa Muungano ndio Mkataba mbovu kuliko Mikataba yote Tanzania ni kauli ya Makoma wa kwanza wa Raisi wa Zanzibar mhe Othman Masoud Othman aloitoa jana mkwajuni kaskazini unguja
Lini tunaupitia na huo mkataba wa Muungano?
 
Moja kwa moja kwenye mada,

Kwa jinsi mambo yanavyoenda, najiuliza kweli hii tuliyomo ni "level" ya nchi kweli?

Au ni familia ya mtu kaamua ajinywee pombe zake na kuamua chochote?

Hebu tazama mifano michache hapa chini:-
View attachment 2690497View attachment 2690500View attachment 2690504
Hebu soma mtiririko hapo juu,
Je, sisi wananchi ni "majuha"?!
Au hii nchi ni kama familia ya mtu, anaamua tu kusema lolote hata kama sio kweli?!

Tuendelee hapa chini..

View attachment 2690506View attachment 2690508View attachment 2690509
Hebu soma tena mtiririko hapo juu,
Huyu ni Naibu Waziri, hapo alichokuwa anazungumza kipo wapi, kilichoandikwa kinaonekana kabisa, kuanzia 'heading' ya mkataba, hadi Appendix 1, phase2.

Nauliza hawa watu, are they jokers?! Is this a country really or just someone's family?!

Sisi ni "majuha?"

Tuendelee hapa chini tena..

View attachment 2690510View attachment 2690511View attachment 2690513

Hebu tafakari.
Hiki ni kituko, these people are not serious!
Na hizo negotiations za DP WORLD na wakenya zilipigwa chini mwaka 2022.

Hivi najiuliza kweli huko CCM Kuna mtu ako serious kabisa?

Haya tazama tena hapa chini, si wanasema sio mkataba ooh bado hatuna mkataba..

View attachment 2690517View attachment 2690520View attachment 2690526

Haya soma hapo juu, hiyo ni taarifa ya kamati ya Bunge, wanatamka kabisa "kwa kuwa MKATABA...",
Pia huyu anayeitwa Hamza Johari, anasema tumeweka kipengele katka mkataba kwamba hakuna mfanyakazi wa bandari....

Hicho kipengele wamekiweka wapi? Ktk MKATABA upi!?

Hivi ni maigizo au mazingaombwe?!

Hii nchi in TISS, JWTZ, PCCB, MAHAKAMA, BUNGE, MAWAZIRI, WABUNGE, TLS, LHRC, n.k
Hao wote wameshindwa kumsaidia mh. Rais Samia.?

Yani tamaa za CCM za uchaguzi ujao na za 10% za rushwa ktk hili, linayumbisha nchi kiasi hiki?!

Wote tumekuwa Taifa la ovyo kiasi hiki?!

Hii ni nchi au familia, ni akili au matope?!
Money talk louder than words

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkataba kati ya ccm na dp world haueleweki wao wenyewe waliousaini hawa uelewi.Chanzo cha mkataba huu mbovu wa dp world ni mkataba wa Muungano,huu ndio mzigo wa mwiba unaotutesa hivi sasa
 
Moja kwa moja kwenye mada,

Kwa jinsi mambo yanavyoenda, najiuliza kweli hii tuliyomo ni "level" ya nchi kweli?

Au ni familia ya mtu kaamua ajinywee pombe zake na kuamua chochote?

Hebu tazama mifano michache hapa chini:-
View attachment 2690497View attachment 2690500View attachment 2690504
Hebu soma mtiririko hapo juu,
Je, sisi wananchi ni "majuha"?!
Au hii nchi ni kama familia ya mtu, anaamua tu kusema lolote hata kama sio kweli?!

Tuendelee hapa chini..

View attachment 2690506View attachment 2690508View attachment 2690509
Hebu soma tena mtiririko hapo juu,
Huyu ni Naibu Waziri, hapo alichokuwa anazungumza kipo wapi, kilichoandikwa kinaonekana kabisa, kuanzia 'heading' ya mkataba, hadi Appendix 1, phase2.

Nauliza hawa watu, are they jokers?! Is this a country really or just someone's family?!

Sisi ni "majuha?"

Tuendelee hapa chini tena..

View attachment 2690510View attachment 2690511View attachment 2690513

Hebu tafakari.
Hiki ni kituko, these people are not serious!
Na hizo negotiations za DP WORLD na wakenya zilipigwa chini mwaka 2022.

Hivi najiuliza kweli huko CCM Kuna mtu ako serious kabisa?

Haya tazama tena hapa chini, si wanasema sio mkataba ooh bado hatuna mkataba..

View attachment 2690517View attachment 2690520View attachment 2690526

Haya soma hapo juu, hiyo ni taarifa ya kamati ya Bunge, wanatamka kabisa "kwa kuwa MKATABA...",
Pia huyu anayeitwa Hamza Johari, anasema tumeweka kipengele katka mkataba kwamba hakuna mfanyakazi wa bandari....

Hicho kipengele wamekiweka wapi? Ktk MKATABA upi!?

Hivi ni maigizo au mazingaombwe?!

Hii nchi in TISS, JWTZ, PCCB, MAHAKAMA, BUNGE, MAWAZIRI, WABUNGE, TLS, LHRC, n.k
Hao wote wameshindwa kumsaidia mh. Rais Samia.?

Yani tamaa za CCM za uchaguzi ujao na za 10% za rushwa ktk hili, linayumbisha nchi kiasi hiki?!

Wote tumekuwa Taifa la ovyo kiasi hiki?!

Hii ni nchi au familia, ni akili au matope?!
HESHIMA SANA, mkuu 'CWR2016'.

Umeyapangilia yote vizuri kabisa kwa kila mtu mwenye akili kuyaelewa vizuri.

Hili tukio litakuwa funzo muhimu sana kwa nchi yetu kuonyesha hatua mbovu kabisa tulikofika kama taifa.

Kama hatutaweza kujifunza lolote kutokana na ujuha huu, tutakuwa kamwe hatuna uwezo wa kujifunza lolote.
 
Huyo Mswahili Mzanzibari Hamza Johari ana cheo chake Serikalini ambacho kina mipaka yake kama Mkuu wa Mamlaka ya Anga ya JMT, lakini kumbe muda wote alikuwa anafanya kazi za mkuu wa TPA sambamba na wajibu wa cheo chake kama Mkuu wa Mamlaka ya Anga. Huo wadhifa extra wa ku negotiate na DP World ambao hakustahili alipewa na nani kama siyo Rais Samia?
 
HESHIMA SANA, mkuu 'CWR2016'.

Umeyapangilia yote vizuri kabisa kwa kila mtu mwenye akili kuyaelewa vizuri.

Hili tukio litakuwa funzo muhimu sana kwa nchi yetu kuonyesha hatua mbovu kabisa tulikofika kama taifa.

Kama hatutaweza kujifunza lolote kutokana na ujuha huu, tutakuwa kamwe hatuna uwezo wa kujifunza lolote.
Asante.
Kama Taifa, tusingetarajia kitu kama hiki.
Sio tu kukosa umakini, lakini ni aibu, na bado hao hao wanazidi kusimamia msimamo kwenye makosa hayo hayo makubwa. Unashangaa ni nini kipo hapo nyuma.
 
CCM inanuka haitufai na chadema na demokrasia yao tukiipa nafasi watapitisha LGBT mchana kweupe... tunahitaji chama kipya kabisa cha vijana tukafanye mabadiliko tunayoyataka na wanayoyataka baba na mama zetu katika nchi hii bila uoga wowote
 
Helo
 

Attachments

  • 3CEAECD4-6126-4F44-AB31-6C11807F7171.jpeg
    3CEAECD4-6126-4F44-AB31-6C11807F7171.jpeg
    34.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom