Je, hili la kuhusu 'Uume' hutokea na kwa Wengine? Na inatokana na nini?

Je, hili la kuhusu 'Uume' hutokea na kwa Wengine? Na inatokana na nini?

😄 Mvumiliane tu huko kwenye ndoa
Halafu si huwa mnasema hata kibamia huwa kinanoga mtu akijua kukitumia?
Ni kweli kabisa!Kama huyu atakuwa apelekwe jandoni tu mbona akitoka huko hao wanaomkimbia watamkimbilia wenyewe!
 
Ukishakosa Hela ya Kuwapa ndo utajua maumbile makubwa au madogo.. saa unawapa Hela wanalia unawaumiza saa huwapi....
Screenshot_20230218-130215690.png
 
Wanajua mi bwege nadhani....kumbe naiosha na maji baridi Ili akiingiza at least nae ikwangue kidogo asijejisikia vibaya
🤣🤣🤣🤣 Teacher muhuni Sana!kwa hiyo unaosha utelezi woote?
 
🤣🤣🤣🤣 Teacher muhuni Sana!kwa hiyo unaosha utelezi woote?
Ukiiosha na cold water hata upate uterezi bado ni rahisi kupunguza na inakurahisishia kuifinyia Kwa ndani cute😋🤭
 
I
Unakuta Wewe Mwenyewe kabisa ukijiangalia na hata Kujipimia Kimoyomoyo Maumbile yako ( Uume wako ) ama unauona ni mdogo au wa Kawaida lakini kila Mwanamke unayekutana nae ataulalamikia kuwa ni Mkubwa, huwa Unawaumiza na hata ukitaka kuwa nao tena Wanakukwepa.

Je, kuna Uwezekano kwa Macho yako Kuona na Akili yako Kukuambia kuwa una Uume mdogo lakini kumbe Kiuhalisia ukawa nao mkubwa hadi Wanawake Kuulalamikia na Kuukimbia ukiwaomba tena Tamu zao Siku zingine?
Inategemea na sehemu ya mwanamke na matayarisho uyafanyayo kabla yakuanza kupanda mlima. Hata uume mdogo bila matayarisho mwanamke huumia na case ya kukimbiwa inawezekana hujaperform well mkuu😄
 
Kucomment hapa bila picha ni kama tunapiga ramli tu, picha mkuu picha....
 
Anyway njia rahisi ya kujipima ni ukiwa umesimama wima usijipinde hata kidogo hakikisha uume wako upo errected kisha ulaze tumboni , ukivuka kitovu una uume mkubwa kupita kiasi ukifunika kitovu una uume mkubwa na ukiwa chini ya kitovu kidogo ukaacha kanafasi una uume wa kawaida (wengi wanajiona wana mdogo) .

Ila ukiacha nafasi kubwa kati ya ulipolalia na kitovu basi una uume mdogo .

UKITAKA KUONDOA AIBU KWANINI USIOE KABISA MKUU ILI MKEO NDIYO AWE ANAJUA ULICHONACHO?
Na kama ukiulaza tumboni haulali inamaana ni una kibamia plus
 
Back
Top Bottom