Southern Giant
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 621
- 1,298
- Thread starter
-
- #61
maranyingi huwa hawazingatii ratiba huwa wanawahi au wanachekewa zaidi ukilinganisha na muda wa tiketiInaonesha wenye mabasi ni waswahili, mleta mada nae alifika dakika 15 mapema lakini basi lilishaondoka. Hawazingatii muda wanaondoka tu kwa mihemko.
Huoni kwamba Konda ndio alianza kudhulumu?Ndo ujanja huo??! Kudhulumu mwenzako unajisifia!!!!
Sababu wanajua ukishaondoka kufukuza Bus, wao washajivua moja kwa moja kwenye msala, inabaki juu yako.wazo lakununua tiketi mpya huwa halipo sababu unakua umevurugwa alfu wale maagent wanakushawishi uchukue bodaboda kwa kigezo cha bus halijafika mbali
Hao wasanii wanaondokaje kabla ya muda.Habari ya uzima wana JF moja kwa moja niingie ktk mada bila ya kupoteza muda Je..? umewahi kuachwa na bus au kuchelewa kufika stendi kwaajili ya safari na ukakuta bus limesha ondoka kisha ukatumia bodaboda kufukuzia bus embu tueleze ilikuaje na gharama za kulifukuza zilikua kiasi gani.
Mimi niliachwa na bus enzi zile stendi ipo Ubungo nilikuwa naelekea Dodoma na bus ya Al-Saedy tiketi iliandikwa safari inaanza saa 4:00 asubuhi nafika pale majira ya saa 3:50 asubuhi naambiwa gari imeshaondoka muda si mrefu nilivurugwa ikabidi nichukue namba za konda akaniambia hawako mbali nichukue bodaboda wao wataenda mdogomdogo, chap nikavuta bodaboda nikaanza kuifukuzia nilikuja kuipata kibaha bodaboda ananiambia gharama yake nilibaki hoi ni bora ningeongezea kidogo nipande bus nyingine ikawa mzozo ila konda akalipa kwa kumuahidi nikifika Dodoma nitamlipa maana pale sikuwa na kitu, nilipofika Dodoma nikamkimbia sikumlipa kitu.
Je wewe ilishawahi kukutokea tueleze ilivyokua ...
Basi iliondoka kabla ya muda tajwa, si kosa la abiria.Ndo ujanja huo??! Kudhulumu mwenzako unajisifia!!!!
Nishawahi kuondoka saa 0800 na superfeo kwenda songeaMkuu, Ubungo kuna mabasi yalikuwa yanaruhusiwa kuondoka saa 10:00 asubuhi? Nakumbuka mabasi yalianza safari saa 12:00 asubuhi.
Huu utaratibu nmewahi kuukuta gari za Tabora Dsm. Siku ya safari kutokana na dharura nkahairisha,nkaenda ofisini kwao nkabadilisha tiketi kusafiri siku inayofatia badala ya ile ya mwanzo.Hao wasanii wanaondokaje kabla ya muda.
Wenzao Shabiby wakiona umechelewa wanakupigia simu.
kwasasa makampuni yamestaarabika nafikiri sababu ya ushindani mabus ni mengi sanaHao wasanii wanaondokaje kabla ya muda.
Wenzao Shabiby wakiona umechelewa wanakupigia simu.
Kampuni ya bus gani hii?Huu utaratibu nmewahi kuukuta gari za Tabora Dsm. Siku ya safari kutokana na dharura nkahairisha,nkaenda ofisini kwao nkabadilisha tiketi kusafiri siku inayofatia badala ya ile ya mwanzo.
Siku ya safari kwa tiketi ya mwanzo,kumi na mbili kasoro asubuhi nasikia simu inaita,kupokea jamaa ananiuliza ndugu uko wapi? Sisi tunakusubiri wewe hapa stand tuanze safari maana muda umekaribia,basi nkamjuza kuwa nilibadili tarehe ya safari na maongezi yetu yakaishia hapo.
Niliukubali sana ule utaratibu!
Happy NationKampuni ya bus gani hii?
Hajadhulumu,ilikuwa ni haki yake ,wao ndio walimuacha,Ndo ujanja huo??! Kudhulumu mwenzako unajisifia!!!!
Mada ni ya kiswahiliMkuu, Ubungo kuna mabasi yalikuwa yanaruhusiwa kuondoka saa 10:00 asubuhi? Nakumbuka mabasi yalianza safari saa 12:00 asubuhi.
Usingizi ni habari nyengine haukuweka alarm?Niliachwa na Super Feo Songea naelekea Dar. Dah usingizi huu. Niliamka hakuna kupiga mswaki, kunawa, shati kifua wazi yaani kama mwehu dah. Boda alimkimbia kama anapaa Mungu anatulinda aisee nashukuru Mizani haikuwa mbali hiyo ndiyo ilikuwa pona yangu, ila ndiyo siku pekee niliyoachwa na basic.
Ndege labda uikimbize na parachuti 🤣🤣Mkifikia Walio achwa na Ndege Mnitag Nije nishushe Nondo.
Dah! Hata sielewi kilitokea nini mkuu.Usingizi ni habari nyengine haukuweka alarm?
Hizo bus kumbe zinahuduma bora huwa nazidharau sanaHappy Nation
Ulichelewa kujipodoaIlitokea mara moja.