Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
ππππUlichelewa kujipodoa
Usingiziii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππUlichelewa kujipodoa
ulivyoingia ndani ya bus ulimchukia kila mtu ππ mpaka wenge lilipo punguaππππ
Usingiziii
Mtu akiachwa na gari huwa anakuwa na wenge ila alishalipata bus baada ya kulifukuza ndo anakumbuka mambo ya gharama alizotumia.Gharama ya kufukuza basi kwa boda Bora ununue tiketi ingine panda basi la nyuma
Walaaaππulivyoingia ndani ya bus ulimchukia kila mtu ππ mpaka wenge lilipo pungua
Sikushauri kuzitumiaHizo bus kumbe zinahuduma bora huwa nazidharau sana
Habari ya uzima wana JF moja kwa moja niingie ktk mada bila ya kupoteza muda Je..? umewahi kuachwa na bus au kuchelewa kufika stendi kwaajili ya safari na ukakuta bus limesha ondoka kisha ukatumia bodaboda kufukuzia bus embu tueleze ilikuaje na gharama za kulifukuza zilikua kiasi gani.
Mimi niliachwa na bus enzi zile stendi ipo Ubungo nilikuwa naelekea Dodoma na bus ya Al-Saedy tiketi iliandikwa safari inaanza saa 4:00 asubuhi nafika pale majira ya saa 3:50 asubuhi naambiwa gari imeshaondoka muda si mrefu nilivurugwa ikabidi nichukue namba za konda akaniambia hawako mbali nichukue bodaboda wao wataenda mdogomdogo, chap nikavuta bodaboda nikaanza kuifukuzia nilikuja kuipata kibaha bodaboda ananiambia gharama yake nilibaki hoi ni bora ningeongezea kidogo nipande bus nyingine ikawa mzozo ila konda akalipa kwa kumuahidi nikifika Dodoma nitamlipa maana pale sikuwa na kitu, nilipofika Dodoma nikamkimbia sikumlipa kitu.
Je wewe ilishawahi kukutokea tueleze ilivyokua ...
Siku yako inakuja kaa kwa kutuliaHapana, siwezi kuachwa na bus.
inawezekana alikua na chenji ila aliiona fursa ya kumuachia pesa yoteNiko naelekea kigoma kabla ya stand ya chalinze km kama 5 hiv kuna vx iligongana na lori la mchanga sasa ikasababisha foleni
Nikashuka ku****a bwana nakuja kurud bus ishaondoka aiseee boda chap mpaka stand ya chalinze naikuta bus ndo inatoka boda anataka 5000 na mm nina 10 hana chench nilihahaaa aisee jirani yangu ndo akaniazima 5000
Betrice popote ulipo kunywa peps kwa mara nyingne ulinisave sana siku hiyo
upo sahihi wenge ndio linalo sumbuaMtu akiachwa na gari huwa anakuwa na wenge ila alishalipata bus baada ya kulifukuza ndo anakumbuka mambo ya gharama alizotumia.
Ni sawa na wengine, unakuta kasahau kubeba mswako labda yupo jirani na nyumbani anaichukua boda kufuata mswaki wa buku
Siku yako inakuja kaa kwa kutulia
huwa unatumia mbinu gani? unalala stend au unakata tiket siku ya safari?Nina 57 sijawahi chelewa Bus
hii chai tuishushie na kitafunwa gani?Nimeshawahi kuachwa na boat, nikapiga mbizi kuifukuzuia..juzi tu hapa
Enzi hizo tulikuwa tunafukuzia kwa taksi za kukodi. Wakati huo mabasi yanaondokea Kisutu na yalikuwa machache sana. Uzuri ni kwamba hakukuwa na foleni kama sasa hivyo taksi ilikuwa inakata barabara kwa speed ya ajabu. Bodaboda mimi nimewahi kuitumia ''kufukuzia'' ndege DIA. Enzi hizo wanajenga ile junction ya Buguruni. Magari hayasogei na ndege inakaribia kuondoka.wazo lakununua tiketi mpya huwa halipo sababu unakua umevurugwa alfu wale maagent wanakushawishi uchukue bodaboda kwa kigezo cha bus halijafika mbali
57 nini?Nina 57 sijawahi chelewa Bus
Bila shaka wewe si msafiri wa mara kwa mara, nenda stendi anytime unapata gari.Mkuu, Ubungo kuna mabasi yalikuwa yanaruhusiwa kuondoka saa 10:00 asubuhi? Nakumbuka mabasi yalianza safari saa 12:00 asubuhi.
huwa unatumia mbinu gani? unalala stend au unakata tiket siku ya safari?