Je, hivi huwa wanawaza kama ambavyo sisi wengine tunawaza juu yao?

Je, hivi huwa wanawaza kama ambavyo sisi wengine tunawaza juu yao?

Ukikaa kufikiria akili za mwanamke utaumia sana, mwanamke anaweza kufanya chochote ilimradi kufurahisha kadamsi au mwanaume na yeye bila kunufaika na chochote, na wengi wako hivyo.Watafute wachenza ngoma utashangaa, anaweza kucheza ngoma malipo ikawa ni chakula na bia tu.
Very sad kwakwel.
Huwa najiuliza nakosa majibu kabisa
 
Nimekuja kugundua kuwa yamkini Tunawaonea sana huruma watu ambao kwa namna moja au nyingine wala hawajal maisha yao kabisaa.

Juz kati nikiwa naelekea Arusha nikawa nachek tv, nimekaa kwenye bas wameweka vidoeo ya Jux ile Sugar Dady, (mimi sio mpenz wa kuangalia hiz video za vijana wetu kwakua nying ni za hovyo hovyo).
Bas kwakua hakuna namna ndio safar tena kilometa za kutosha inabid uzuge tu kuangalia.

BAsi nikawa nawangaliaaaa wale madada kwenyw hiz video za amapiano za kibongo bongo wanavyo cheza cheza uchii wanajibinua binua matako wazi meusiiii wengine meupeeee nyege zinanipanda na kushuka ila no sweti.

Mwisho nikajiuliza hivi hawa HUWA WANAPATA HATA MUDA WA KUFIKIRI KUHUSU MAISHA YAO YA MIAKA 3 HADI 5 MBELE ITAKUAJE??

Wanajua wataishije ?
Maaana hapa wanapata soko kwenye video za wasanii kwakua shape bado ziko intact na zinalipa ila kila siku kuna ingizo jipya sokoni watoto wabichi bichi (container mpyaaa zinashuka) wanaingia hawa soko linaisha..
Hiv haya mambo wao wanayawaza kweli?
Hiv huwa wanapata hata muda wa kutafuta idea juu ya nini wanaweza fanya ili angalau wa invest muda wao huko ili angalau wawe na kipato endelevu hata kama kidogo????

Hiv haya matako wanayo binua binua watakapokua certified single mazers hapo mbele ya safar watoto wao watazitazamaje?? Maana kwa maisha yao wanaishi ni a guarantee kwamba they r never gonna mary someone and settle for marriage life!..

Hiv hawa wataishije hawana sustainale plans juu ya maisha yao wenyewe, achana na maisha ya watoto wanaoweza kulazimika kuwazaa baada ya kupata mimba na kushindikana kuzitoa (maana ndio mfumo wao wa maisha-ila huwa inafika time no way lazima uzae).

Hiv kwel hawa wanawake na mabinti huwa wanawaza nini kwenyw akili zao.Sometimea unatamani ungefumua vichwa vyao japo uone ni madudu gani wamejaa kwenye bongo zao labda uwasaidie kuwaondoa labda watakaa sawa!!!. Yan kuna muda unatamani kama kungekua na namna ya ku resett vichwa vyao to default setting ila ndio hivyo haiwezekani.

Kwamfano binadamu mwingine average siku inapoisha ni kawaida kulala na hata kutembea na mawazo kama
  • ule mzigo pale bandari nautoaje?
  • kwann wateja wamekata dukani?
  • kesho naanzia wapi kutafutia wateja wa hudima yangu?
  • nimtafute nani wa kunisaidia kumaliza proposal yangu ya biashara nikachykue mkopo bank???
  • n.k n.k


Sasa nikawaza hivi hawa wanawake wanaocheza cheza uchi matako nje nje kwenye hiz video huwa wanawza nini kichwan wanapoamka? Au siku inapoisha?? Au wanapolala ?? Huwa wanawaza vitu gani hawa mabinti zetu???

Yan unajikuta unajitwisha mzigo wa kuwazaaaa kwa ajil yao unaingia kwenyw mawazo sana ila wao hataaaa hawana was was ..Wanachojua ni LEO!! KESHO kwao wala sio mjadala.Itakuja tu yenyewe tu!!..


UBaya sasa wao wanapocheza cheza uchi wanafikir unawataman muda wote kumbe wewe unawoangalia halad unaangalia future zao unakosa majibu.UNAWAONEA HURUMA SANA SANA lakin wao WANA ENJOY FUN MOMENTS!!

kwakwel huwa inafikirisha sana.
ila anyway , nadhan hayatuhusu sana.View attachment 2660556
Huu mwandiko ni wa Ivan wa Mwananyamala
 
Nick Minaj katuonyesha mapaja ila wanaume wengi yawezekana na wewe ukiwemo hatumfikii kwa pesa na michongo.

Kim Kardashian sextape yake ilivuja lakini aliolewa ana watoto na pesa pia.

Hao wadada wanaobinua makalio usione ni hamnazo wengi wana elimu zao na mipango mikubwa kwenye life zao ni vile tumekuwa judgemental.
 
Nimekuja kugundua kuwa yamkini Tunawaonea sana huruma watu ambao kwa namna moja au nyingine wala hawajal maisha yao kabisaa.

Juz kati nikiwa naelekea Arusha nikawa nachek tv, nimekaa kwenye bas wameweka vidoeo ya Jux ile Sugar Dady, (mimi sio mpenz wa kuangalia hiz video za vijana wetu kwakua nying ni za hovyo hovyo).
Bas kwakua hakuna namna ndio safar tena kilometa za kutosha inabid uzuge tu kuangalia.

BAsi nikawa nawangaliaaaa wale madada kwenyw hiz video za amapiano za kibongo bongo wanavyo cheza cheza uchii wanajibinua binua matako wazi meusiiii wengine meupeeee nyege zinanipanda na kushuka ila no sweti.

Mwisho nikajiuliza hivi hawa HUWA WANAPATA HATA MUDA WA KUFIKIRI KUHUSU MAISHA YAO YA MIAKA 3 HADI 5 MBELE ITAKUAJE??

Wanajua wataishije ?
Maaana hapa wanapata soko kwenye video za wasanii kwakua shape bado ziko intact na zinalipa ila kila siku kuna ingizo jipya sokoni watoto wabichi bichi (container mpyaaa zinashuka) wanaingia hawa soko linaisha..
Hiv haya mambo wao wanayawaza kweli?
Hiv huwa wanapata hata muda wa kutafuta idea juu ya nini wanaweza fanya ili angalau wa invest muda wao huko ili angalau wawe na kipato endelevu hata kama kidogo????

Hiv haya matako wanayo binua binua watakapokua certified single mazers hapo mbele ya safar watoto wao watazitazamaje?? Maana kwa maisha yao wanaishi ni a guarantee kwamba they r never gonna mary someone and settle for marriage life!..

Hiv hawa wataishije hawana sustainale plans juu ya maisha yao wenyewe, achana na maisha ya watoto wanaoweza kulazimika kuwazaa baada ya kupata mimba na kushindikana kuzitoa (maana ndio mfumo wao wa maisha-ila huwa inafika time no way lazima uzae).

Hiv kwel hawa wanawake na mabinti huwa wanawaza nini kwenyw akili zao.Sometimea unatamani ungefumua vichwa vyao japo uone ni madudu gani wamejaa kwenye bongo zao labda uwasaidie kuwaondoa labda watakaa sawa!!!. Yan kuna muda unatamani kama kungekua na namna ya ku resett vichwa vyao to default setting ila ndio hivyo haiwezekani.

Kwamfano binadamu mwingine average siku inapoisha ni kawaida kulala na hata kutembea na mawazo kama
  • ule mzigo pale bandari nautoaje?
  • kwann wateja wamekata dukani?
  • kesho naanzia wapi kutafutia wateja wa hudima yangu?
  • nimtafute nani wa kunisaidia kumaliza proposal yangu ya biashara nikachykue mkopo bank???
  • n.k n.k


Sasa nikawaza hivi hawa wanawake wanaocheza cheza uchi matako nje nje kwenye hiz video huwa wanawza nini kichwan wanapoamka? Au siku inapoisha?? Au wanapolala ?? Huwa wanawaza vitu gani hawa mabinti zetu???

Yan unajikuta unajitwisha mzigo wa kuwazaaaa kwa ajil yao unaingia kwenyw mawazo sana ila wao hataaaa hawana was was ..Wanachojua ni LEO!! KESHO kwao wala sio mjadala.Itakuja tu yenyewe tu!!..


UBaya sasa wao wanapocheza cheza uchi wanafikir unawataman muda wote kumbe wewe unawoangalia halad unaangalia future zao unakosa majibu.UNAWAONEA HURUMA SANA SANA lakin wao WANA ENJOY FUN MOMENTS!!

kwakwel huwa inafikirisha sana.
ila anyway , nadhan hayatuhusu sana.View attachment 2660556
Wao wanaamini kwamba kesho itajisumbukia yenyewe.
 
Dunia imekua ya ajabu sana,hawa watu wanaofanya vitu ambavyo wewe unaona ni vya hovyo,ndio hua maarufu na kuheshimika na baadhi ya watu kwa kutambulika kama celebrity,

Chakushangaza mfano,Kim kardashian umaarufu wake ulizidi baada ya kuvujisha sex tape kati yake na Ray J,

Mkuu angalia familia yako,hasa watoto wako,walee katika maadili mema,ukiyafuatilia ya Dunia ya leo yanaweza kukutia uchizi au utajikuta unaishi maisha ya kuiumiza nafsi yako tu.
 
Nick Minaj katuonyesha mapaja ila wanaume wengi yawezekana na wewe ukiwemo hatumfikii kwa pesa na michongo.

Kim Kardashian sextape yake ilivuja lakini aliolewa ana watoto na pesa pia.

Hao wadada wanaobinua makalio usione ni hamnazo wengi wana elimu zao na mipango mikubwa kwenye life zao ni vile tumekuwa judgemental.
Nimekua specific sana brother, BONGO!!! Hiyo ni FOR AMERICA N EUROPE.
hao sio dada zangu ninaowazungumzia.Sio ndugu zetu hao hata GDP yao haituhusu.

Ila hawa wabongo ndio the main subject hapa.

Halafu, am not judgemental in anyway katika yote niliyoyaongelea hapo.

I have just echoed my mind.

Mwisho ,kama zinalipa namna hiyo dada zako wanaweza fanya kazi hiyo hapa bongo?
 
Nimekuja kugundua kuwa yamkini Tunawaonea sana huruma watu ambao kwa namna moja au nyingine wala hawajal maisha yao kabisaa.

Juz kati nikiwa naelekea Arusha nikawa nachek tv, nimekaa kwenye bas wameweka vidoeo ya Jux ile Sugar Dady, (mimi sio mpenz wa kuangalia hiz video za vijana wetu kwakua nying ni za hovyo hovyo).
Bas kwakua hakuna namna ndio safar tena kilometa za kutosha inabid uzuge tu kuangalia.

BAsi nikawa nawangaliaaaa wale madada kwenyw hiz video za amapiano za kibongo bongo wanavyo cheza cheza uchii wanajibinua binua matako wazi meusiiii wengine meupeeee nyege zinanipanda na kushuka ila no sweti.

Mwisho nikajiuliza hivi hawa HUWA WANAPATA HATA MUDA WA KUFIKIRI KUHUSU MAISHA YAO YA MIAKA 3 HADI 5 MBELE ITAKUAJE??

Wanajua wataishije ?
Maaana hapa wanapata soko kwenye video za wasanii kwakua shape bado ziko intact na zinalipa ila kila siku kuna ingizo jipya sokoni watoto wabichi bichi (container mpyaaa zinashuka) wanaingia hawa soko linaisha..
Hiv haya mambo wao wanayawaza kweli?
Hiv huwa wanapata hata muda wa kutafuta idea juu ya nini wanaweza fanya ili angalau wa invest muda wao huko ili angalau wawe na kipato endelevu hata kama kidogo????

Hiv haya matako wanayo binua binua watakapokua certified single mazers hapo mbele ya safar watoto wao watazitazamaje?? Maana kwa maisha yao wanaishi ni a guarantee kwamba they r never gonna mary someone and settle for marriage life!..

Hiv hawa wataishije hawana sustainale plans juu ya maisha yao wenyewe, achana na maisha ya watoto wanaoweza kulazimika kuwazaa baada ya kupata mimba na kushindikana kuzitoa (maana ndio mfumo wao wa maisha-ila huwa inafika time no way lazima uzae).

Hiv kwel hawa wanawake na mabinti huwa wanawaza nini kwenyw akili zao.Sometimea unatamani ungefumua vichwa vyao japo uone ni madudu gani wamejaa kwenye bongo zao labda uwasaidie kuwaondoa labda watakaa sawa!!!. Yan kuna muda unatamani kama kungekua na namna ya ku resett vichwa vyao to default setting ila ndio hivyo haiwezekani.

Kwamfano binadamu mwingine average siku inapoisha ni kawaida kulala na hata kutembea na mawazo kama
  • ule mzigo pale bandari nautoaje?
  • kwann wateja wamekata dukani?
  • kesho naanzia wapi kutafutia wateja wa hudima yangu?
  • nimtafute nani wa kunisaidia kumaliza proposal yangu ya biashara nikachykue mkopo bank???
  • n.k n.k


Sasa nikawaza hivi hawa wanawake wanaocheza cheza uchi matako nje nje kwenye hiz video huwa wanawza nini kichwan wanapoamka? Au siku inapoisha?? Au wanapolala ?? Huwa wanawaza vitu gani hawa mabinti zetu???

Yan unajikuta unajitwisha mzigo wa kuwazaaaa kwa ajil yao unaingia kwenyw mawazo sana ila wao hataaaa hawana was was ..Wanachojua ni LEO!! KESHO kwao wala sio mjadala.Itakuja tu yenyewe tu!!..


UBaya sasa wao wanapocheza cheza uchi wanafikir unawataman muda wote kumbe wewe unawoangalia halad unaangalia future zao unakosa majibu.UNAWAONEA HURUMA SANA SANA lakin wao WANA ENJOY FUN MOMENTS!!

kwakwel huwa inafikirisha sana.
ila anyway , nadhan hayatuhusu sana.View attachment 2660556
MWANAMKE ANA NJIA NYINGI ZA KUTOKA KIMAISHA, JILILIE WEWE NA NAFSI YAKO
 
Unajitesa sna mkuu kushughulika na mambo ya wengne , mwisho wa sku na ww utapita utaiacha dunia na mambo yake.
NAkubaliana na wewe, lakin je huoni kama tatizo bado liko pale pale hata kama tutaamua kujifanya kama ni kawaida tuu??
 
Back
Top Bottom