Je, hivi huwa wanawaza kama ambavyo sisi wengine tunawaza juu yao?

Je, hivi huwa wanawaza kama ambavyo sisi wengine tunawaza juu yao?

Hata hakuna cha kukufanya mkuu.Haya si mazungumzo tu?

Kwahiyo unasema malaya anaingiza pesa za kutosha!?

Naweza kubali, lakin malaya hao sio hawa..Kwel wako malaya classic lakin ni wachache sana
Sawa vizuri kwa kuamua kukubaliana na mimi
 
Sahihi chief.Lakin ndio hivyo sasa ukwel unabaki pale pale, hawa maisha yao wanayachukuliaje?
Naona wengi wanapenda na wanaona kama fashion! Bora hao ambao wanashiriki direct kwenye video maana wanapata hela, Kuna wale ambao hawafaidiki moja kwa moja maana wanashiriki zile challenges kitu pekee wanapata ni kua reposted
 
Nimekua specific sana brother, BONGO!!! Hiyo ni FOR AMERICA N EUROPE.
hao sio dada zangu ninaowazungumzia.Sio ndugu zetu hao hata GDP yao haituhusu.

Ila hawa wabongo ndio the main subject hapa.

Halafu, am not judgemental in anyway katika yote niliyoyaongelea hapo.

I have just echoed my mind.

Mwisho ,kama zinalipa namna hiyo dada zako wanaweza fanya kazi hiyo hapa bongo?
Kama ni maamuzi yao why not?
 
Nick Minaj katuonyesha mapaja ila wanaume wengi yawezekana na wewe ukiwemo hatumfikii kwa pesa na michongo.

Kim Kardashian sextape yake ilivuja lakini aliolewa ana watoto na pesa pia.

Hao wadada wanaobinua makalio usione ni hamnazo wengi wana elimu zao na mipango mikubwa kwenye life zao ni vile tumekuwa judgemental.
Money and popularity don't give the legitimacy of evil bro!

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Eti unawaonea huruma video vixen unashidwa kuionea huruma familia yako, hao wadada wana michongo ya pesa kuliko wewe, na wana ndoto kibao kama hujawahi kukaa nao utaropoka hovyo hovyo, hao wana malengo makubwa kuliko mke wako huyo mwalimu, pole sana pia wanaingiza pesa kuliko mshahara wako na wa mke wako mkijulisha kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom