Je, Huyu karani aliyeandika stakabadhi ya serikali ya Jamhuri ya Tanzania yuko sahihi?

Mama angu Faiza, unasema haliathiri kitu?! Hivi ulipitia hata kidogo maswala ya Finance Management? Auditor amekuja kufanya ukaguzi kwenye ofisi yako, wadhani hilo jibu ulilolitoa litajustify taarifa zako za kifeza?
Sio kila kitu siasa, mambo mengine acheni profession ichukue nafasi
 
Naona ni uandishi wa kiwango cha fedha ila yy kaandika alivyoona na sio kwa mazoea tuliyojiwekea
Mfano;three hundred thousands Tsh only
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaaaa...... Hahahaaaaa...... Hahahaaaaa...... FF anadhani uhasibu ni mipasho!
 
Tunapenda kujadili vitu vya kipumbavu kabisa aiseee hii tz inabd impate mtu wa kunyoosha zaid

kilicho akilini kitumie
 
katumia pen ya mwanafunzi[emoji848][emoji848]!!...kweny mambo muhimu.

Sent using [Huawei P8]
 
thirty millions only
 
Mkuu Magazine, unahitaji miwani ya macho!.
No!, kaandika vizuri kabisa 30,000,000
Ile mistari miwili ya mwanzo na mwisho ni kuziba nafasi ili figures zisiwe tempered.
P
Mkuu hoja ipo kwenye ile cancellation ya sifuri 3 za mwisho, hivi unapoandika risiti ya kimahakama kwanini usitulie, tena ya hela nyingi vile, mtoa hoka analo la kusema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuombe Mungu magereza wasije wakaitumia hii nafasi kuwakwamisha wasitoke. Hapo kama ni cheque umeipeleka bank lazima teller akurudishie akiwa ameandika kwa kalamu nyekundu "Amount in words and amount in figures differs"!

Halafu ilitakiwa iwe Thirty Million Only na sioThirty Millions Only. Angalao hii inatupa picha kuwa pamoja na umakini wa awamu hii bado wenye vyeti feki hawajaisha serikalini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…