Kwa mawazo yako ni chakipumbavu maana huna elimu ya fedha na uchumi lakini kifedha hilo ni kosa tena kubwa maana hiyo risiti ina utata kwa sababu ina amount mbili tofauti yaan ya maneno na tarakimu hazifanani kihasibu lakini , ila kisiasa hakuna tatizo hapoTunapenda kujadili vitu vya kipumbavu kabisa aiseee hii tz inabd impate mtu wa kunyoosha zaid
kilicho akilini kitumie
Samahani wakuu, naomba kuelimishwa hivi hizi pesa za faini kwenye makosa ya jinai hua zingia kwenye mfuko upi wa sirikali?
Teh tehTuombe Mungu magereza wasije wakaitumia hii nafasi kuwakwamisha wasitoke. Hapo kama ni cheque umeipeleka bank lazima teller akurudishie akiwa ameandika kwa kalamu nyekundu "Amount in words and amount in figures differs"!
Halafu ilitakiwa iwe Thirty Million Only na sioThirty Millions Only. Angalao hii inatupa picha kuwa pamoja na umakini wa awamu hii bado wenye vyeti feki hawajaisha serikalini!
Hapo jakuhitajiki "management" ya aina yeyote ile. Ni simply a " cashier's receipt" ya hundi aliyopokea na ipo very clear kuwa ni ya million thelathini.Mama angu Faiza, unasema haliathiri kitu?! Hivi ulipitia hata kidogo maswala ya Financial Management? Auditor amekuja kufanya ukaguzi kwenye ofisi yako, wadhani hilo jibu ulilolitoa litajustify taarifa zako za kifeza?
Sio kila kitu siasa, mambo mengine acheni profession ichukue nafasi
Ange Google translationUnashangaa nini? Afadhali ya huyo mwandishi alifanya kosa la kuongeza herufi S baada ya mllion. lugha hiyo ni ya kigeni. Wengi wenu humu ndani hata kiswahili hamkijui vizuri na mnaboronga kila siku.
😊😊😊 Mwanadamu anafanya makosa kwenye uandishi, lakini sio katika maandishi ya namba, kupunguza au kuzidisha zero inaweza kuleta tafauti kubwaBinadamu kufanya makosa ya kiuandishi ni suala la kawaida labda kama unaweza kuleta ushahidi kuwa huyo huyo amekuwa akifanya makosa ya kiuandishi mara kwa mara!
Hata wewe tukiangalia kwenye maandiko yako hapa Jamiiforums tunaweza kukuta umefanya makosa ya kiuandishi. Kwa hiyo tutakuita kihiyo au unatokea kwenye ukoo wa washamba na limbukeni.
Leo umetulisha matango pori hiyo risiti haileweki ina thamani mbili tofauti za pesa acha kuwa mshabiki ukili tu kuwa huyo Mhasibu/ mwandishi kakosea na ni mzembe asiyejielewa hata kwa maneno ya kiingereza hiyo angeandika kwa kiswahili nani angemshangaa! Maana risiti inamaneno ya lugha 2Hapo jakuhitajiki "management" ya aina yeyote ile. Ni simply a " cashier's receipt" ya hundi aliyopokea na ipo very clear kuwa ni ya million thelathini.
Halafu jifundishe "terminologies" za mambo ya uhasibu, ni "finance management" siyo"(financial) management". Ukisema "financial" labda iwe"manager" siyo "management".
Unaniuliza mimi kuhusu "management"? Just for your information, I am in the corporate League, way past mananagement mayhem.
You are simply a very lucky person to even have a pleasure of discussing nonsensical issues like this one with me. Thanks to social media.
Usilolijuwa ni usiku wa kiza. Kumbuka hilo.
Bibi kwa kujifagilia tu huna mpinzani.Hapo jakuhitajiki "management" ya aina yeyote ile. Ni simply a " cashier's receipt" ya hundi aliyopokea na ipo very clear kuwa ni ya million thelathini.
Halafu jifundishe "terminologies" za mambo ya uhasibu, ni "finance management" siyo"(financial) management". Ukisema "financial" labda iwe"manager" siyo "management".
Unaniuliza mimi kuhusu "management"? Just for your information, I am in the corporate League, way past mananagement mayhem.
You are simply a very lucky person to even have a pleasure of discussing nonsensical issues like this one with me. Thanks to social media.
Usilolijuwa ni usiku wa kiza. Kumbuka hilo.
Ukiona risiti ni GRR, ukiona risiti yoyote ya GRR, ujue fedha hiyo inaingia moja kwa moja katika mfuko mkuu wa hazinaSamahani wakuu, naomba kuelimishwa hivi hizi pesa za faini kwenye makosa ya jinai hua zingia kwenye mfuko upi wa sirikali?
Utaratibu wa mahakama, wanakupa kontrol namba unakwenda benki kulipia unawaletea risiti ya benki wanakupa yao, hiyo risiti ni ya mahakama na ndio ya mwisho hakuna nyingine, hivyo hakuna haja ya kuwa na wasiwasi huo.Tuombe Mungu magereza wasije wakaitumia hii nafasi kuwakwamisha wasitoke. Hapo kama ni cheque umeipeleka bank lazima teller akurudishie akiwa ameandika kwa kalamu nyekundu "Amount in words and amount in figures differs"!
Halafu ilitakiwa iwe Thirty Million Only na sioThirty Millions Only. Angalao hii inatupa picha kuwa pamoja na umakini wa awamu hii bado wenye vyeti feki hawajaisha serikalini!
Kiuhasibu aijakaa sawa hapo ni 30,000/= hili isilete changamoto wakati wa ukaguzi yafaa hiyo iachwe na kuandikwa nyingine Mpya isiyo na makosa.Yes, kama hoja ni umakini, hata Ph.D level anaweza asiwe makini, kitu muhimu katika mahesabu ni getting fugures correct. Japo sifuri moja imeingia kwenye cents column, haisomeki kams cents kwasababu cents inakuwa separated na nukta.
Hizo hesabu ziko vizuri, aliyeandika sio kilaza, ila tusubiri observation ya Mkuu Mag3.
P
Mkuu Mag3, then vihiyo tutakuwa wengi!.
Mimi sijaona tatizo lolote na risiti hiyo.
Kwasababu watu tunatofautiana uwezo wa kuona, Mkuu Mag3, please share your observations utusaidie akina sisi tuliotoka ukoo ule wa washamba na malimbukeni, ili nasi kuona kile ulicho kinote..
P
Mkuu Mag3, then vihiyo tutakuwa wengi!.
Mimi sijaona tatizo lolote na risiti hiyo.
Kwasababu watu tunatofautiana uwezo wa kuona, Mkuu Mag3, please share your observations utusaidie akina sisi tuliotoka ukoo ule wa washamba na malimbukeni, ili nasi kuona kile ulicho kinote..
P
Ndio maana nasema Ni mambo ya kipumbavu kwa sababu hakukuwa na ulazima wa kuweka humu Zaid ya kumuelimisha aliendika hyo stakabadhiKwa mawazo yako ni chakipumbavu maana huna elimu ya fedha na uchumi lakini kifedha hilo ni kosa tena kubwa maana hiyo risiti ina utata kwa sababu ina amount mbili tofauti yaan ya maneno na tarakimu hazifanani kihasibu lakini , ila kisiasa hakuna tatizo hapo
Kwahiyo kihasibu mnatakiwa kuanza kuandika namba kutokea kulia kwenda kushoto?Mhasibu inaonekana alilewa Kvant akajikuta anaanzia kuandika namba kutoka mkono wa kushoto kwenda kulia badala ya kinyume chake, ni hatari sana hiyo risiti unaweza kukataliwa na mamlaka zingine
Nakubaliana na hoja km ingekuwa ni vocha na cheki kwa benki wangeuliza kupata justfication hasa kwenye s.Tuombe Mungu magereza wasije wakaitumia hii nafasi kuwakwamisha wasitoke. Hapo kama ni cheque umeipeleka bank lazima teller akurudishie akiwa ameandika kwa kalamu nyekundu "Amount in words and amount in figures differs"!
Halafu ilitakiwa iwe Thirty Million Only na sioThirty Millions Only. Angalao hii inatupa picha kuwa pamoja na umakini wa awamu hii bado wenye vyeti feki hawajaisha serikalini!
Kama unaziona thamani mbili tofauti" hapo basi utanisamehe sana kukwambia kuwa shule ulienda kusomea ujinga.Leo umetulisha matango pori hiyo risiti haileweki ina thamani mbili tofauti za pesa acha kuwa mshabiki ukili tu kuwa huyo Mhasibu/ mwandishi kakosea na ni mzembe asiyejielewa hata kwa maneno ya kiingereza hiyo angeandika kwa kiswahili nani angemshangaa! Maana risiti inamaneno ya lugha 2