Je, huyu ndiye IGP ajaye? Mfahamu Kamishna Awadhi Juma Haji, anayesimamia Operesheni za Polisi

Je, huyu ndiye IGP ajaye? Mfahamu Kamishna Awadhi Juma Haji, anayesimamia Operesheni za Polisi

Hapa bado sijaelewa una maana gani?

Atawapigaje wapinzani bila sababu? Ni lazima atakuwa na sababu za kuwapiga hata kama si sababu halali.!
Wapinzani walitii Amri kwa kuanza kupanda Makarandinga lakini BILA SABABU Afande Awadhi akaanza kuwapiga.

BILA SABABU!

Ili kurudisha HOPE Raisi Samia amfukuze kazi huyu Kamanda mara moja na apandishwe Kizimbani.
 
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.

Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji, ambaye anasimamia operesheni na mafunzo, amepata umaarufu wa umma kufuatia tuhuma za vurugu za polisi wakati wa kukamatwa kwa viongozi wa upinzani huko Mbeya Jumapili kwenye mkutano wa vijana uliozuiwa.

CP Haji aliongoza binafsi operesheni hiyo ambayo ilisababisha kukamatwa kwa mamia ya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao. Zaidi ya watu 500 walikamatwa katika operesheni hiyo ya Polisi.

Mabasi na magari binafsi yaliyokuwa yamebeba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao waliokuwa wakielekea Mbeya kuhudhuria mkutano wa upinzani uliopangwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Vijana yalizuiliwa na Polisi barabarani.

Wakati wa operesheni hiyo, viongozi wa CHADEMA walidai kuwa walikabiliwa na ukatili mkubwa kutoka kwa Polisi.
View attachment 3069803
Kamishna Awadhi Juma Haji

JE, KAMISHNA AWADHI JUMA HAJI NI NANI?

Kamishna Awadhi Juma Haji (CP) kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Operesheni na Mafunzo katika Jeshi la Polisi la Tanzania.

Mnamo Februari 2, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, alimteua Awadhi Juma Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Kabla ya uteuzi huu, mnamo Januari 31, 2022, Rais Samia alimpandisha Cheo kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) hadi Kamishna wa Polisi.

SAFARI YA KUTOKA KUJIUNGA NA POLISI HADI KUTEULIWA

Awadhi Juma Haji alijiunga na Jeshi la Polisi la Tanzania mnamo Aprili 1, 1993, na alipanda vyeo mbalimbali hadi kufikia cheo cha ACP, ambacho alishikilia hadi Januari 31, 2022.

Katika utumishi wake, alishikilia nyadhifa muhimu kadhaa, zikiwemo:​
  1. Mwendesha Mashtaka​
  2. Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) – Kituo cha Polisi Oysterbay​
  3. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Mkoa wa Kipolisi Ilala​
  4. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kinondoni​
  5. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO)​
  6. Afisa Mnadhimu wa Kwanza – Mkoa wa Kipolisi Temeke​
  7. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Mjini Magharibi​
  8. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Kagera (Nafasi aliyoishikilia hadi uteuzi wa Zanzibar)​
Ni ndugu na Mnishi yule mpiga kodiani na kuimba Moshi
 
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.

Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji, ambaye anasimamia operesheni na mafunzo, amepata umaarufu wa umma kufuatia tuhuma za vurugu za polisi wakati wa kukamatwa kwa viongozi wa upinzani huko Mbeya Jumapili kwenye mkutano wa vijana uliozuiwa.

CP Haji aliongoza binafsi operesheni hiyo ambayo ilisababisha kukamatwa kwa mamia ya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao. Zaidi ya watu 500 walikamatwa katika operesheni hiyo ya Polisi.

Mabasi na magari binafsi yaliyokuwa yamebeba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao waliokuwa wakielekea Mbeya kuhudhuria mkutano wa upinzani uliopangwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Vijana yalizuiliwa na Polisi barabarani.

Wakati wa operesheni hiyo, viongozi wa CHADEMA walidai kuwa walikabiliwa na ukatili mkubwa kutoka kwa Polisi.
View attachment 3069803
Kamishna Awadhi Juma Haji

JE, KAMISHNA AWADHI JUMA HAJI NI NANI?

Kamishna Awadhi Juma Haji (CP) kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Operesheni na Mafunzo katika Jeshi la Polisi la Tanzania.

Mnamo Februari 2, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, alimteua Awadhi Juma Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Kabla ya uteuzi huu, mnamo Januari 31, 2022, Rais Samia alimpandisha Cheo kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) hadi Kamishna wa Polisi.

SAFARI YA KUTOKA KUJIUNGA NA POLISI HADI KUTEULIWA

Awadhi Juma Haji alijiunga na Jeshi la Polisi la Tanzania mnamo Aprili 1, 1993, na alipanda vyeo mbalimbali hadi kufikia cheo cha ACP, ambacho alishikilia hadi Januari 31, 2022.

Katika utumishi wake, alishikilia nyadhifa muhimu kadhaa, zikiwemo:​
  1. Mwendesha Mashtaka​
  2. Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) – Kituo cha Polisi Oysterbay​
  3. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Mkoa wa Kipolisi Ilala​
  4. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kinondoni​
  5. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO)​
  6. Afisa Mnadhimu wa Kwanza – Mkoa wa Kipolisi Temeke​
  7. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Mjini Magharibi​
  8. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Kagera (Nafasi aliyoishikilia hadi uteuzi wa Zanzibar)​
Nyoko nyoko labda Kamishina ushuzi na wazenji kwa kujamba hawajambo, Hana sifa ya kuwa IGP
 
Wapinzani walitii Amri kwa kuanza kupanda Makarandinga lakini BILA SABABU Afande Awadhi akaanza kuwapiga.

BILA SABABU!

Ili kurudisha HOPE Raisi Samia amfukuze kazi huyu Kamanda mara moja na apandishwe Kizimbani.
Unayo matumaini sana na huyo Rais wako Samia, sijui huwa matumaini hayo unayatoa wapi!

Mkuu, 'imhotep'; Kamanda Juma Awadh hawezi kuwapiga/washambulia viongozi wa CHADEMA bila sababu. Ni dhahiri anazo sababu za kufanya hivyo.
 
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.

Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji, ambaye anasimamia operesheni na mafunzo, amepata umaarufu wa umma kufuatia tuhuma za vurugu za polisi wakati wa kukamatwa kwa viongozi wa upinzani huko Mbeya Jumapili kwenye mkutano wa vijana uliozuiwa.

CP Haji aliongoza binafsi operesheni hiyo ambayo ilisababisha kukamatwa kwa mamia ya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao. Zaidi ya watu 500 walikamatwa katika operesheni hiyo ya Polisi.

Mabasi na magari binafsi yaliyokuwa yamebeba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao waliokuwa wakielekea Mbeya kuhudhuria mkutano wa upinzani uliopangwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Vijana yalizuiliwa na Polisi barabarani.

Wakati wa operesheni hiyo, viongozi wa CHADEMA walidai kuwa walikabiliwa na ukatili mkubwa kutoka kwa Polisi.
View attachment 3069803
Kamishna Awadhi Juma Haji

JE, KAMISHNA AWADHI JUMA HAJI NI NANI?

Kamishna Awadhi Juma Haji (CP) kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Operesheni na Mafunzo katika Jeshi la Polisi la Tanzania.

Mnamo Februari 2, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, alimteua Awadhi Juma Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Kabla ya uteuzi huu, mnamo Januari 31, 2022, Rais Samia alimpandisha Cheo kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) hadi Kamishna wa Polisi.

SAFARI YA KUTOKA KUJIUNGA NA POLISI HADI KUTEULIWA

Awadhi Juma Haji alijiunga na Jeshi la Polisi la Tanzania mnamo Aprili 1, 1993, na alipanda vyeo mbalimbali hadi kufikia cheo cha ACP, ambacho alishikilia hadi Januari 31, 2022.

Katika utumishi wake, alishikilia nyadhifa muhimu kadhaa, zikiwemo:​
  1. Mwendesha Mashtaka​
  2. Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) – Kituo cha Polisi Oysterbay​
  3. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Mkoa wa Kipolisi Ilala​
  4. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kinondoni​
  5. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO)​
  6. Afisa Mnadhimu wa Kwanza – Mkoa wa Kipolisi Temeke​
  7. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Mjini Magharibi​
  8. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Kagera (Nafasi aliyoishikilia hadi uteuzi wa Zanzibar)​
Huyu ni kada wa chama cha mapinduzi...anahusika na uenezi wa chama na kuhujumu upinzani
 
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.

Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji, ambaye anasimamia operesheni na mafunzo, amepata umaarufu wa umma kufuatia tuhuma za vurugu za polisi wakati wa kukamatwa kwa viongozi wa upinzani huko Mbeya Jumapili kwenye mkutano wa vijana uliozuiwa.

CP Haji aliongoza binafsi operesheni hiyo ambayo ilisababisha kukamatwa kwa mamia ya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao. Zaidi ya watu 500 walikamatwa katika operesheni hiyo ya Polisi.

Mabasi na magari binafsi yaliyokuwa yamebeba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao waliokuwa wakielekea Mbeya kuhudhuria mkutano wa upinzani uliopangwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Vijana yalizuiliwa na Polisi barabarani.

Wakati wa operesheni hiyo, viongozi wa CHADEMA walidai kuwa walikabiliwa na ukatili mkubwa kutoka kwa Polisi.
View attachment 3069803
Kamishna Awadhi Juma Haji

JE, KAMISHNA AWADHI JUMA HAJI NI NANI?

Kamishna Awadhi Juma Haji (CP) kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Operesheni na Mafunzo katika Jeshi la Polisi la Tanzania.

Mnamo Februari 2, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, alimteua Awadhi Juma Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Kabla ya uteuzi huu, mnamo Januari 31, 2022, Rais Samia alimpandisha Cheo kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) hadi Kamishna wa Polisi.

SAFARI YA KUTOKA KUJIUNGA NA POLISI HADI KUTEULIWA

Awadhi Juma Haji alijiunga na Jeshi la Polisi la Tanzania mnamo Aprili 1, 1993, na alipanda vyeo mbalimbali hadi kufikia cheo cha ACP, ambacho alishikilia hadi Januari 31, 2022.

Katika utumishi wake, alishikilia nyadhifa muhimu kadhaa, zikiwemo:​
  1. Mwendesha Mashtaka​
  2. Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) – Kituo cha Polisi Oysterbay​
  3. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Mkoa wa Kipolisi Ilala​
  4. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kinondoni​
  5. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO)​
  6. Afisa Mnadhimu wa Kwanza – Mkoa wa Kipolisi Temeke​
  7. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Mjini Magharibi​
  8. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Kagera (Nafasi aliyoishikilia hadi uteuzi wa Zanzibar)​
Nakumbuka nikiwa na Coster zangu daladala, siku moja dereva wangu akanipigia simu amekamatwa na traffic pale American Chips.
Nilipofika mkubwa mmoja Toka Oyster Bay akaniambia bila laki hutoki na mengineyo, nilikuwa na elfu themanini na tano jamaa akachukua nikarudi nyumbani na baadaye nikauza magari yangu na kuachana na biashara kichaa
Disclaimer: Hii haiusiani na mada hapo juu bali soga tuu.
 
Mpaka hapa kwa CV hii bwana kingai haingii,hata umri hampati,kingai mtoto mdogo wa depo ya 2000.

Enzi za ukuu wa traffic kinondoni alikuwa maarufu sana,maana asikushike umetanua,ni ndani.
 
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.

Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji, ambaye anasimamia operesheni na mafunzo, amepata umaarufu wa umma kufuatia tuhuma za vurugu za polisi wakati wa kukamatwa kwa viongozi wa upinzani huko Mbeya Jumapili kwenye mkutano wa vijana uliozuiwa.

CP Haji aliongoza binafsi operesheni hiyo ambayo ilisababisha kukamatwa kwa mamia ya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao. Zaidi ya watu 500 walikamatwa katika operesheni hiyo ya Polisi.

Mabasi na magari binafsi yaliyokuwa yamebeba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao waliokuwa wakielekea Mbeya kuhudhuria mkutano wa upinzani uliopangwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Vijana yalizuiliwa na Polisi barabarani.

Wakati wa operesheni hiyo, viongozi wa CHADEMA walidai kuwa walikabiliwa na ukatili mkubwa kutoka kwa Polisi.
View attachment 3069803
Kamishna Awadhi Juma Haji

JE, KAMISHNA AWADHI JUMA HAJI NI NANI?

Kamishna Awadhi Juma Haji (CP) kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Operesheni na Mafunzo katika Jeshi la Polisi la Tanzania.

Mnamo Februari 2, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, alimteua Awadhi Juma Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Kabla ya uteuzi huu, mnamo Januari 31, 2022, Rais Samia alimpandisha Cheo kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) hadi Kamishna wa Polisi.

SAFARI YA KUTOKA KUJIUNGA NA POLISI HADI KUTEULIWA

Awadhi Juma Haji alijiunga na Jeshi la Polisi la Tanzania mnamo Aprili 1, 1993, na alipanda vyeo mbalimbali hadi kufikia cheo cha ACP, ambacho alishikilia hadi Januari 31, 2022.

Katika utumishi wake, alishikilia nyadhifa muhimu kadhaa, zikiwemo:​
  1. Mwendesha Mashtaka​
  2. Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) – Kituo cha Polisi Oysterbay​
  3. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Mkoa wa Kipolisi Ilala​
  4. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kinondoni​
  5. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO)​
  6. Afisa Mnadhimu wa Kwanza – Mkoa wa Kipolisi Temeke​
  7. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Mjini Magharibi​
  8. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Kagera (Nafasi aliyoishikilia hadi uteuzi wa Zanzibar)​
Hawezi kupewa huyu. Hana utulivu na ni mbabe na mtu wa mabavu. Usione sasahivi katulia sababu ameshakuwa kamishna. Nafasi ya IGP inahitaji kichwa kilichotulia sana
 
Back
Top Bottom