Je, huyu ndiye mwamba wa Afrika kwa sasa?

Je, huyu ndiye mwamba wa Afrika kwa sasa?

Huyu kajiunga Alhamisi ni ID tofauti ,ukisearch glenn haji wa zamani anakuja huyu conclusion hapo Glenn wa zamani labda kachange user name na mwamba akadaka chap.
Nisamehe mkuu, ni kweli mimi ni Glenn mpya, jamaa anajiita Dannion.
Alinifuata pm kuwa nisiitumie id hii, nimemuomba nibaki nayo lakini sitaitumia vibaya,nasuiria jibu lae, akigoma nitaichia mkuu
 
Nisamehe mkuu, ni kweli mimi ni Glenn mpya, jamaa anajiita Dannion.
Alinifuata pm kuwa nisiitumie id hii, nimemuomba nibaki nayo lakini sitaitumia vibaya,nasuiria jibu lae, akigoma nitaichia mkuu
Mkuu ukimya nao ni jibu, hujui mtu katumia mda gani kuji jengea heshima yake.
👉Ana kuona Kama attention seeker, with all the names still uka ona upite na Hilo🤔🤒
👉I mean no malice to nobody, ila iki kupendeza change name tu.
👉Maana I'd ilikuwa ya men, so wewe kuja na pigo za ke una zingua
 
Anabidi apunguze tumbo Hilo kwa hela atakazozipata baada ya Kupata kiki ya kufatiliwa .


Then vitambi vimeanza kurudi upya kwa baadhi ya watu huku bongo.
Bro samahani,ni kitu gani nimetoka kukiona? Nimeona hizo picha Ig kwa Mwaisa mtumbad nikaona sizielewi na pia hazichekeshi,nikaachana nazo,nimekuja kuziona tena facebook nikawa najiuliza ni nini hiki kinakuwa maarufu? Sasa na Jamii forum tena?
 
Katika siku za hivi karibuni, nime kuwa niki kutana na Picha za huyu mwamba.
👉 akiwa ana Pigana na wanyama was ardhini au hata majini.

Jamaa ana pigana kwa Uwezo mkubwa. wanao mjua watu ambie je ni mtu wa wapi???
👉Ona mfano wa mapigano yake🤔🤒

Kwa Sasa Africa, tuna kila sababu ya kujivunia. Kilicho baki ni kupata mapambano tu🤒.

View attachment 2774641View attachment 2774643View attachment 2774645View attachment 2774646View attachment 2774647View attachment 2774648View attachment 2774650View attachment 2774651View attachment 2774652View attachment 2774653View attachment 2774654View attachment 2774655View attachment 2774656View attachment 2774657View attachment 2774658View attachment 2774659View attachment 2774660View attachment 2774662View attachment 2774663
Una miaka mingapi?
 
Mkuu ukimya nao ni jibu, hujui mtu katumia mda gani kuji jengea heshima yake.
👉Ana kuona Kama attention seeker, with all the names still uka ona upite na Hilo🤔🤒
👉I mean no malice to nobody, ila iki kupendeza change name tu.
👉Maana I'd ilikuwa ya men, so wewe kuja na pigo za ke una zingua
Unazingua wewe, kuweka avatar ya kike ndio inamaanisha ni wa kike?
Hiyo shria iko wapi?
 
Nisamehe mkuu, ni kweli mimi ni Glenn mpya, jamaa anajiita Dannion.
Alinifuata pm kuwa nisiitumie id hii, nimemuomba nibaki nayo lakini sitaitumia vibaya,nasuiria jibu lae, akigoma nitaichia mkuu
Sioni kosa hapo kwa kuwa haujavunja sheria yeyote , yeye kaamua mwenyewe kubadilisha ID yake na hakuna mwenye hati miliki ya jina hapa Jf.
 
Katika siku za hivi karibuni, nime kuwa niki kutana na Picha za huyu mwamba.
👉 akiwa ana Pigana na wanyama was ardhini au hata majini.

Jamaa ana pigana kwa Uwezo mkubwa. wanao mjua watu ambie je ni mtu wa wapi???
👉Ona mfano wa mapigano yake🤔🤒

Kwa Sasa Africa, tuna kila sababu ya kujivunia. Kilicho baki ni kupata mapambano tu🤒.

View attachment 2774641View attachment 2774643View attachment 2774645View attachment 2774646View attachment 2774647View attachment 2774648View attachment 2774650View attachment 2774651View attachment 2774652View attachment 2774653View attachment 2774654View attachment 2774655View attachment 2774656View attachment 2774657View attachment 2774658View attachment 2774659View attachment 2774660View attachment 2774662View attachment 2774663
Amepigana na simba pia au maana atakuwa chakula cha wiki nzima
 
1696761009854.png


Ameoaaaa
 
Bro samahani,ni kitu gani nimetoka kukiona? Nimeona hizo picha Ig kwa Mwaisa mtumbad nikaona sizielewi na pia hazichekeshi,nikaachana nazo,nimekuja kuziona tena facebook nikawa najiuliza ni nini hiki kinakuwa maarufu? Sasa na Jamii forum tena?
Ai generated photos,
 
Back
Top Bottom