Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana sema ni mnigeria, though Sina hakika.Jamaa ana trend sana, ni creativy ya jamaa gani?
Hivi huyu ni mtanzania?Ume furahii😄😂🤣🤣🤣
View attachment 2775850
Sija jua, wengine Wana sema mnigeria😂🤣🤣Hivi huyu ni mtanzania?
PhotoshopedKatika siku za hivi karibuni, nime kuwa niki kutana na Picha za huyu mwamba.
👉 akiwa ana Pigana na wanyama was ardhini au hata majini.
Jamaa ana pigana kwa Uwezo mkubwa. wanao mjua watu ambie je ni mtu wa wapi???
👉Ona mfano wa mapigano yake🤔🤒
Kwa Sasa Africa, tuna kila sababu ya kujivunia. Kilicho baki ni kupata mapambano tu🤒.
View attachment 2774641View attachment 2774643View attachment 2774645View attachment 2774646View attachment 2774647View attachment 2774648View attachment 2774650View attachment 2774651View attachment 2774652View attachment 2774653View attachment 2774654View attachment 2774655View attachment 2774656View attachment 2774657View attachment 2774658View attachment 2774659View attachment 2774660View attachment 2774662View attachment 2774663
Kama AI ,hapo sawa ,yuko vzrWana sema ni mnigeria, though Sina hakika.
👉Ana tumia ai ku unganisha Picha na matukio
Katumia Fursa ya teknolojia vizuriKama AI ,hapo sawa ,yuko vzr
Sana ,na kaja wakati MuafakaKatumia Fursa ya teknolojia vizuri
Akicheza karata zake vizuri, ana eza anzisha hata channel ya you tube.Sana ,na kaja wakati Muafaka
Yeah, ni kweli kabisa ,kaanza vzrAkicheza karata zake vizuri, ana eza anzisha hata channel ya you tube.
👉Huko ndo ata vuna mamilioni
Pia kuna mdada nae naonaga ana script zake ,zina trend ,sijajua jina lake vzrAkicheza karata zake vizuri, ana eza anzisha hata channel ya you tube.
👉Huko ndo ata vuna mamilioni