Sega la asali
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,153
- 2,700
Nisamehe mkuu, ni kweli mimi ni Glenn mpya, jamaa anajiita Dannion.Huyu kajiunga Alhamisi ni ID tofauti ,ukisearch glenn haji wa zamani anakuja huyu conclusion hapo Glenn wa zamani labda kachange user name na mwamba akadaka chap.
🤣🤣🤣Mi ananiudhi anavyo wafuata wanyama kweny mazingira yao alf anaanza kupambana nao mpka kuwauwa sa unakuta wamemkosea nni
Shida una penda ma ubishi tu🤣😆😂😂😂Sio kweli
Bassss🤒Huyu ni samson wa delila.
Tatizo lake ana kibamia
Mkuu ukimya nao ni jibu, hujui mtu katumia mda gani kuji jengea heshima yake.
Bro samahani,ni kitu gani nimetoka kukiona? Nimeona hizo picha Ig kwa Mwaisa mtumbad nikaona sizielewi na pia hazichekeshi,nikaachana nazo,nimekuja kuziona tena facebook nikawa najiuliza ni nini hiki kinakuwa maarufu? Sasa na Jamii forum tena?Anabidi apunguze tumbo Hilo kwa hela atakazozipata baada ya Kupata kiki ya kufatiliwa .
Then vitambi vimeanza kurudi upya kwa baadhi ya watu huku bongo.
Una miaka mingapi?Katika siku za hivi karibuni, nime kuwa niki kutana na Picha za huyu mwamba.
👉 akiwa ana Pigana na wanyama was ardhini au hata majini.
Jamaa ana pigana kwa Uwezo mkubwa. wanao mjua watu ambie je ni mtu wa wapi???
👉Ona mfano wa mapigano yake🤔🤒
Kwa Sasa Africa, tuna kila sababu ya kujivunia. Kilicho baki ni kupata mapambano tu🤒.
View attachment 2774641View attachment 2774643View attachment 2774645View attachment 2774646View attachment 2774647View attachment 2774648View attachment 2774650View attachment 2774651View attachment 2774652View attachment 2774653View attachment 2774654View attachment 2774655View attachment 2774656View attachment 2774657View attachment 2774658View attachment 2774659View attachment 2774660View attachment 2774662View attachment 2774663
Unazingua wewe, kuweka avatar ya kike ndio inamaanisha ni wa kike?Mkuu ukimya nao ni jibu, hujui mtu katumia mda gani kuji jengea heshima yake.
👉Ana kuona Kama attention seeker, with all the names still uka ona upite na Hilo🤔🤒
👉I mean no malice to nobody, ila iki kupendeza change name tu.
👉Maana I'd ilikuwa ya men, so wewe kuja na pigo za ke una zingua
Sioni kosa hapo kwa kuwa haujavunja sheria yeyote , yeye kaamua mwenyewe kubadilisha ID yake na hakuna mwenye hati miliki ya jina hapa Jf.
Amepigana na simba pia au maana atakuwa chakula cha wiki nzimaKatika siku za hivi karibuni, nime kuwa niki kutana na Picha za huyu mwamba.
👉 akiwa ana Pigana na wanyama was ardhini au hata majini.
Jamaa ana pigana kwa Uwezo mkubwa. wanao mjua watu ambie je ni mtu wa wapi???
👉Ona mfano wa mapigano yake🤔🤒
Kwa Sasa Africa, tuna kila sababu ya kujivunia. Kilicho baki ni kupata mapambano tu🤒.
View attachment 2774641View attachment 2774643View attachment 2774645View attachment 2774646View attachment 2774647View attachment 2774648View attachment 2774650View attachment 2774651View attachment 2774652View attachment 2774653View attachment 2774654View attachment 2774655View attachment 2774656View attachment 2774657View attachment 2774658View attachment 2774659View attachment 2774660View attachment 2774662View attachment 2774663
Asante kwa hilo mkuuSioni kosa hapo kwa kuwa haujavunja sheria yeyote , yeye kaamua mwenyewe kubadilisha ID yake na hakuna mwenye hati miliki ya jina hapa Jf.
Daahhh😁😆😁😁
Ai generated photos,Bro samahani,ni kitu gani nimetoka kukiona? Nimeona hizo picha Ig kwa Mwaisa mtumbad nikaona sizielewi na pia hazichekeshi,nikaachana nazo,nimekuja kuziona tena facebook nikawa najiuliza ni nini hiki kinakuwa maarufu? Sasa na Jamii forum tena?
Vipi Ali shinda🤣😂😂Ndipo akakutana na chui akatandikwa
View attachment 2775404
Yeah, mwamba kaitumia fursa🤣😂Aisee
Tukipeleka video show maporini tunaweza kujiajiri kabisa