Je, huyu ndiye mwamba wa Afrika kwa sasa?

Huyu kajiunga Alhamisi ni ID tofauti ,ukisearch glenn haji wa zamani anakuja huyu conclusion hapo Glenn wa zamani labda kachange user name na mwamba akadaka chap.
Nisamehe mkuu, ni kweli mimi ni Glenn mpya, jamaa anajiita Dannion.
Alinifuata pm kuwa nisiitumie id hii, nimemuomba nibaki nayo lakini sitaitumia vibaya,nasuiria jibu lae, akigoma nitaichia mkuu
 
Nisamehe mkuu, ni kweli mimi ni Glenn mpya, jamaa anajiita Dannion.
Alinifuata pm kuwa nisiitumie id hii, nimemuomba nibaki nayo lakini sitaitumia vibaya,nasuiria jibu lae, akigoma nitaichia mkuu
Mkuu ukimya nao ni jibu, hujui mtu katumia mda gani kuji jengea heshima yake.
👉Ana kuona Kama attention seeker, with all the names still uka ona upite na Hilo🤔🤒
👉I mean no malice to nobody, ila iki kupendeza change name tu.
👉Maana I'd ilikuwa ya men, so wewe kuja na pigo za ke una zingua
 
Anabidi apunguze tumbo Hilo kwa hela atakazozipata baada ya Kupata kiki ya kufatiliwa .


Then vitambi vimeanza kurudi upya kwa baadhi ya watu huku bongo.
Bro samahani,ni kitu gani nimetoka kukiona? Nimeona hizo picha Ig kwa Mwaisa mtumbad nikaona sizielewi na pia hazichekeshi,nikaachana nazo,nimekuja kuziona tena facebook nikawa najiuliza ni nini hiki kinakuwa maarufu? Sasa na Jamii forum tena?
 
Una miaka mingapi?
 
Unazingua wewe, kuweka avatar ya kike ndio inamaanisha ni wa kike?
Hiyo shria iko wapi?
 
Nisamehe mkuu, ni kweli mimi ni Glenn mpya, jamaa anajiita Dannion.
Alinifuata pm kuwa nisiitumie id hii, nimemuomba nibaki nayo lakini sitaitumia vibaya,nasuiria jibu lae, akigoma nitaichia mkuu
Sioni kosa hapo kwa kuwa haujavunja sheria yeyote , yeye kaamua mwenyewe kubadilisha ID yake na hakuna mwenye hati miliki ya jina hapa Jf.
 
Amepigana na simba pia au maana atakuwa chakula cha wiki nzima
 
Bro samahani,ni kitu gani nimetoka kukiona? Nimeona hizo picha Ig kwa Mwaisa mtumbad nikaona sizielewi na pia hazichekeshi,nikaachana nazo,nimekuja kuziona tena facebook nikawa najiuliza ni nini hiki kinakuwa maarufu? Sasa na Jamii forum tena?
Ai generated photos,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…