Je, huyu Rais wetu wa sasa ni Vasco Da Gama mwingine? Ziara za nje zimekuwa nyingi sana kama enzi za Awamu ya Nne

Kwani kocha wake nani, tuanzie hapo kwanza.....
 
Mbona povu sana..yani umeandika vihoja baadala ya hoja.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona povu sana..yani umeandika vihoja baadala ya hoja.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa uko sahihi!! ,........ kwa akili hizi zangu navo zijua ningeshangaa sana kama wewe hasa ungeelewa falsafa zangu adimu hizi lazima uwe na mtizamo wa ki ivo!! kwa sababu ya uelewa wako! naamini si rahisi hata kidogo!!
 
Kwanza ni sifa njema kufananishwa na Vasco Da gama,mvumbuzi mashuhuri..

Vasco alikuwa hazuruli Mzee.
Yaani tena Mvumbuzi wa Dunia!!! heee!! na huyu tulimsoma madarasa ya chini hukoooo!! tukiwa wadogo sana ndo uone sasa ukweli tuanao piga kelele kila siku wa matokeo ya shule za kata zilizo kuwa zimesheheni walimu wa UPE

yaani hao waalimu walikuwa full drs la saba failures!! ..walo kuwa watoro, wakorofi, wezi wa viazi vya wana kijiji walipo upata ualimu huo wa Upe basi wao zilikuwa ni kuchalaza fimbo tuuu kwa kwenda mbele bila reasons kina Daniel Mgaya kijijini huko!

kwa akili zao kabisaa bila kumung'unya maneno walivo fundishwa huko katani kwao eti wanaamini Vasco Da gama alikuwa hana maana Mzururaji tu!!....hata Fort Jesus hawaijui! ..jamani yaani nvoona hapa!! wenye akili wanapoteza..

haya basi wameshawa elimishwa basii!! haya wajirekebishe ili wakasome tu upya!! pia hawataki!! hawataki wanasema ooh! povu!! sasa sijui tuwasaidieje ...yaani mtu anabishia hata ujinga wajameni!!...
 
Walikuwa useless kama Hawa wa Sasa wanaosema Samia mzurulaji..

Ila kwa kuwa wanamfananisha na Vasco basi ni heshima kwa SSH 👇

 
Yule hakusafiri mkasema saana sasa huyu anasafiri tena mnalalamika mnataka nini sasa?
 
Tumepigwa. Hata haelewi kuwa anatangulizwa huko ili huku wajanja wajifaidie. Kiujumla yuko kama hayupo tu.

Kuna watu ndio wameshika usukani.
 
Anapenda kutembea tu huko majuu hakuna cha zaidi
 
Yaani rais hajafika hata nusu ya nchi zote duniani tayari mshaanza kulia lia.

Mwacheni apige misele. Anaturahisishia sana utambulisho wetu!!
 
Sawa mkuu lakini tatizo letu la msingi kama taifa ni nini???? Kwa nini tusingetumia hizo hela government expenditure zinazochochea uchumi? Kwa sababu ukiniuliza hayo madara yatarudishaje hela sijui. Mi nilitegemea wachumi aliowateua wangemshauri

Tumepigwa. Hata haelewi kuwa anatangulizwa huko ili huku wajanja wajifaidie. Kiujumla yuko kama hayupo tu. Kuna watu ndio wameshika usukani.
Wamejifidia nini? Tupe ushahidi kwamba wamejifidia? Acheni fukra potofu kuzusha mambo bila ushahidi
.
Kwani tulikua hatusafiri ila
1.kuna wanafunzi bado walikua wanakaa kwenye madarasa ya miti,
2.watu walikua bado wanasafiri zaidi ya km5 kufuata huduma ya afya

3. Bado mbanano upo kwenye shule za kata na hakuna shule za kata mpya zilijengwa mpaka sasa

4. Maji mfano kule Musoma vijijini bado yalikua yanatoka kwa shida

5. Kigoma na kagera mf ngara kulikua na tatizo la maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…