[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]Hakitatokea kitu, kwa kuwa hawezi kufufuka, Ni kutafuta Nyundo kubwa na kupiga kichwani pale kwenye upara ngwaaaa!!!!
Halafu atakuta tuna Rais SSH, ili uwe Ras lazima uwe Raia wa Tanzania, yeye ameshakuwa raia wa kuzimu, labda aingie Tizeee kwa passport
Hivi Wajemeni ule uwanja wa Chato unaendeleaje au umekuwa zulia la kuanikia dagaa[emoji23][emoji23][emoji23]kweli akifufuka lazima ashangae
1 kaacha watu niwoga kuisema serikali sasa serikali kila kona inasemwa nahakuna anae kamatwa
2 kaacha kikundi cha watu wasio eleweka watekaji wauaji sasa hakipo
3 alisema bila mimi miladi nilio anzisha hakuna wa kuimalizia sasa reli hiyo mpaka kigoma mwanza
3 daraja la busisi hilo shule hizo kila kijiji
4 bwawa na nyerere hilo mama kaisha lijaza maji
5 alikuwa anakopa kwa siri sasa mama anakopa wazi sio siri tena
6 aliacha wapinzani wako adui wa serikali saa serikali inakaa nao na wamerusiwa kufanya mikutano ya hadhara aliokuwa kaipiga marufuku
kweli ikitokea akafufuka lazima ashangae tu
mama samia hataki ujinga
nadanganya ndugu zangu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahaaaaaaaaaaaa! Nakuapia wale chawa wangesema hawamjui mama kabisa wnamjua yeye magu tu! chezea chawa weye π€£ π€£Pamoja na hayo lkn ungeshirikisha ubongo wako kidogo. Labda Wale Chawa wa Kitaifa wangebadili mitizamo yao. Au nawe ni miongoni mwao?
Wewe Jamaa Mzilankende Ataomba Kumalizia Kipindi ChakeNimecheka kifala. Hata akifufuka hawezi kuwa raisi tena. atabaki raia mtiifu, cha muhimu atusimulie kama alifanikiwa kuwa kiongozi wa malaika kama alivyojitanabaisha
Huu uzi upelekwe kule kwa kina Mshana Jr na Pasco. Ndo kuna mambo hayo ya wafuNimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Atatamka kwa usahihi neno, Entrepreneurship atarudi UDSM kusomea PhD halali...Atashangaa mengi: 1. Kuskia Lissu anarudi nchini. 2. Angeshangaa Sabaya anavyoteseka na kesi, kwa kuwa sabaya alisema alikuwa anatii mamlaka iliyomteua (magu ataunganishwa ktk kesi maana hatakuwa raisi tena maana raisi wetu mwema ni SSH). 3. Atashangaa!, kumbe angeweza kuwa raisi bila ya genge la WASIOJULIKANA. 4. Asingefurahi kuskia kuwa kuna maridhiano ya vyama vya siasa na katiba inakuja na mikutano imeruhusiwa. 5. Angeuliza "hivi mkuu wa mkoa wa chato ni nani"? Wangemjibu kuwa chato haikuwa na sifa ya kuwa mkoa. Angekunja sura na kutaka kufoka na wangemwambia "usifoke tulia maana wewe siyo raisi. 6. NB: Biblia inasema Baada ya Bwana Yesu kumfufua Lazaro, baada ya siku chache wayahudi walitaka kumwua tena Lazaro.
Halafu itokee mimi ndiyo mtu wa kwanza kukutana naye, nampasua halafu namwagia petroli na kumchoma moto.Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Tutamrudisha alikotokaNimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??