Je, ikiwa Mrusi na Mchina wakiungana kijeshi kutaka kum-maliza Mmarekani kivita itachukuwa muda gani?

Je, ikiwa Mrusi na Mchina wakiungana kijeshi kutaka kum-maliza Mmarekani kivita itachukuwa muda gani?

Kuwa mwelewa, vita vya anga ndivyo vinamsaidia Urusi kwa asilimia kubwa hapo Ukraine. NATO wana mitambo ya air defense inayoweza kuzuia ndege na objects nyingine za Mrusi katika anga la Ukraine. Hoja ni kuwa wakifanya hivi ni sawa na kumfunga Mrusi mikono nyuma ili apigwe, hivyo hatalikubali na huenda akatumia silaha zenye athari zaidi, huu ndio mtizamo wa NATO.
🤣🤣🤣 Hawana mitambo imara kama ya mrusi. Kwenye suala la anga mrusi anatisha sana. Mitambo ya NATO si ndio kama ile anayoitumia mwizirael? Ambayo maroketi ya kienyeji yanapenya kiulaini tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hawana mitambo imara kama ya mrusi. Kwenye suala la anga mrusi anatisha sana. Mitambo ya NATO si ndio kama ile anayoitumia mwizirael? Ambayo maroketi ya kienyeji yanapenya kiulaini tu
Iron dome ndie imestiwa na angalau tuliona ni kiasi gani inaweza kufanya kazi, hii ya Mrusi drones za kawaida zinapenya vizuri tu na ndizo zilizoleta madhara mengi kwa Mrusi. Ingawaje pia najua nchi za NATO zina aina nyinginyingi za air defense systems.Haya machuma bila kuyaona kwenye real time yanaweza kukupa matumaini ya uongo.
 
Yaani stori za humu utacheka ufe

Kwamba ukraini kamzuie Mrusi hivyo watu Wana mashaka na uwezo wa urusi kivita

Wakati huo urusi akitaka kupiga anatoa taarifa kesho napiga sehemu flani watu waondoke (sasa hapo ni vita Ama kumfunza mtu adabu)

Kama kweli ukraini anatoa upinzani si NATO aingilie kumaliza mchezo maana urusi hana uwezo

NATO mwenyewe anaogopa, anajua kwamba mambo yatakuwa makubwa zaidi ya pale ila sisi wabongo ndo tunaona urusi hana jipya
 
Ukraine ametoa funzo kubwa sana la vita, Urusi kamzidi tu kwenye aerial battle, ila mtu mzima alikuwa anaaibika hapa.
Kumbuka Ukraine nao wapo baadhi wana asili ya Russia so wana ile spirit ya kupambana kama ilivyo kwa Warusi.
Isitoshe wao wanapigana kufa ama kupona kuzuia warusi wasiwatalawe
 
Hili ni swali ambalo nimekutana nalo mahala fulani na mmoja wa wachangiaji ambaye ni Mr Kyle Krebs ambaye ni B.S. in Electrical Engineering & Mathematics, The University of Utah anajibu kama ifuatavyo:

1. Hawataweza kufika kwenye Mainland kwa sababu Mmarekani ana madude kama haya 11

View attachment 2145385

USS GERALD R. FORD (the most advanced and largest aircraft carriers in the world)
Yaani ni Carrier ya ndege ambayo kwa ukubwa haipo mahali pengine na imetengenezwa kwa utaalamu wa hali ya juu.

View attachment 2145386
USS CARL VINSON (a Nimitz-class carrier the most numerous aircraft carrier class in the world na ni la pili kwa ukubwa na uwezo (capability) duniani baada ya hilo la kwanza hapo juu na madude haya wanayo takriban 68.kwa hivi sasa Mrusi na Mchina kwa pamoja wana Carrier moja tuu!!

3. View attachment 2145402
Arleigh Burke-class Destroyer (among the most heavily-armed and sophisticated destroyers in the world)
Yaani hili dude limesheheni vifaa vya maangamizi vya kutosha na vifaa ambavyo vina ubora wa hali ya juu. idadi yake wanayo 10 Hili linamefungwa na mfumo uitwao AEGIS Defense System mfumo ambao unaliwezesha kujilinda na aina yeyote ya mashambulizi ikiwa ni mabomu aina yeyote na huu mfumo husaidiwa na mfumo kama huu ulioko ardhini.

View attachment 2145410
4. Wasp/America-class Carriers (primarily operated by the US Marine Corps)

Hili pia ni miongoni mwa madude machache kwa idadi waliyo nayo.

View attachment 2145415
Seawolf-class Submarine (the most deadly hunter-killer attack submarines in the world)

Hili wanalifananisha na jibwa mwitu la baharini kwa idadi wana bunches of these.

View attachment 2145420
6. Virginia-class Submarine (the most advanced, versatile, silent, and capable hunter-killer submarines in the world, also capable of operating in littoral waters and deploying special operators and underwater vehicles in specially-designed launch tubes)

Hili limetengenezwa maalumu kwenye maeneo karibu na fukwe za bahari na lina uwezo wa kudeploy magari ya baharini haya wajameni wanayo zaidi ya 18 kwa idadi.

View attachment 2145429

7. Ohio-class Ballistic Missile Submarine (can launch SLBM nuclear missiles, Tomahawks, and can deploy special operators and submersibles)

Hili lina uwezo wa ku launch bomu la nyuklia tokea baharini na pia uwezo wa kupiga nchi kavu kwa kutuma mabomu ya masafa marefu yanayojindesha kwa mfumo wa jet powered ( TLAM) na yana speed ya subsonic yanaweza kuhimili hali zote za hewa kwa idadi wana Mamia ya haya.

View attachment 2145442

8. F/A-18 Super Hornet

Hii ni twin engine carrier yenye uwezo wa multi role fighting ambayo imetengenezwa na kampuni ya Mc Donnell Douglas na mara ya kwanza ilitumika mwaka 1986 april huko Libya iliweza kuharibu kwanza mfumo mzima wa ulinzi wa anga la Libya kwenye operation iiitwayo Prairie fire na pia kwenye vita vya ghuba 1991 tarehe 17 jan siku ya kwanza ya vita mapailot Lieutenant Commander Mark I.

Fox na Lieutenant Nick Mongilio walitumwa kutoka USS Saratoga bahari nyekundu na kwenda kukipiga kiwanja cha ndege H-3 kusini magharibi mwa Iraq. na wakati wakielekea pale walionywa kuwa kuna Mig 21 mbili zinazowafuatilia ndani ya sekunde 40 katika brief dogfight hizo Mig 21 ziliweza kupopolewa kama kumsukumiza mlevi kwa kutumia bomu la AIM-7 na AIM-9 Dege hili moja lina uwezo wa kubeba mabomu 2000 yenye kilo 910 kila moja!! Ni stori ndefu Aisee. Na kwa idadi ni A lot.

View attachment 2145470


35C Lightning II (the U.S. Navy’s carrier-launched stealth fighter, and the most technologically advanced fighter jet in the world)
Hili dude ndio kwa sasa linatisha! achana na SUV-35, bei ndio ogopa (US dola 1.7 trilion) limetengenezwa na kampuni moja iitwayo Lockheed Martin F-35 Lightning II

Limetengenezwa kwa kutumia utaalamu ambao unaliwezesha lisionekane,lisitambuliwe wala kusikiwa na mfumo wa technolojia aina yeyote ya Radar (Stealth multi role combat) kuna version A,B hadi C na Marekani inaplan kuwa na madude haya 2,456 hadi kufikia 2044 kwa mara ya kwanza F-35 lilitumika na Israeli Air force mwaka 2018 na dude hili limekadiriwa kuexpire utaalamu wake mwaka 2070 imagine! lina uwezo wakufanya vertical take off kama vile helicopter kupigana juu kwa juu, juu chini na pia kujilinda kuna nchi zimekataliwa kuuziwa madude haya balaa,

10. Na ikiwa Mrusi na Mchina wataweza kulishinda the world’s second-largest air force (the US Navy) na pia second-largest, and most technologically advanced and battle-experienced navy, wakazizamisha aircraft carrier zote 11, na kuziharibu submarine zote 60+ Hao wavamizi watakuwa na kazi ya ku deal na the world’s largest, most experienced, and the most technologically advanced and capable air force (US Air Force) na madude 500 kama haya:

View attachment 2145520


F-35A Lightning II (the stealthiest, most technologically-advanced fighter jet in the world, with the most sophisticated sensor fusion design, AESA radars, and radar-jamming capabilities of any fighter jet in ever built. Can perform close-air support missions, strike missions, and air-superiority missions, the last of which it is only second in capability to, compared to the next plane on this list)

Hakuna dege lenye uwezo wa kufanya radar jamming kama hili lililowahi kutengenezwa na haya wanayo a couple of hundred!!

View attachment 2145527

F-22 Raptor (the most feared and capable pure air-superiority fighter in the world)

Hili wanaliita superior wa anga na linaogopwa kichizi haya pia wana couple of hundreds!!

View attachment 2145538
12.
F-16 Viper

View attachment 2145539

13.
F-15 EX (the newest version of the F-15 platform, which has proven itself to be among the most capable air-superiority and strike fighters in history)

Haya ni maalum kupiga kilicho mbele yake yani na haya bado wanayo machache.

View attachment 2145541

B-2 Spirit Stealth Bomber (which will soon be replaced by the upcoming B-21 Raider)

Haya wana idadi ya a couple of hundred of these.

View attachment 2145546
MQ-9 Reaper Drone (the replacement of the MQ-1 Predator)

Haya wana around 500 hivi.

View attachment 2145547
A-10 Thunderbolt II

Hili moja likitwanga mlio wake radi imesingiziwa kule Katavi na Kigoma

16. Bila kusahau hawa wajeda wa miguu

View attachment 2145554

17. Na melfu ya hawa Wavulana na Wasichana
View attachment 2145558
US Marines

View attachment 2145560
18. Bila kusahau hawa Wakulungwa wachache (US Army Rangers)


19. Pia kuna haya Makitu
View attachment 2145568
US Navy SEALs


20. Kuna Shitload ya haya madude

View attachment 2145574

AH-64 Apache Attack Helicopter

21. Na pia haya yasiyokuwa na idadi yani ni kama uchukue zenji na Pemba kila mtu na lake
View attachment 2145588
M1A2 SEPV3 Main Battle Tank (one of the strongest and technologically-advanced MBT’s in the world)

22. Na hii kama ilikuwa haitoshi wavamizi hao watambana na hali tofautitofauti za mazingira huko Us ambazo wajeda wamekuwa familiar
View attachment 2145594
Sierra-Nevada Mountains

23. View attachment 2145597
Bonneville Salt Flats

24. View attachment 2145600
Sonora/Mojave Deserts

View attachment 2145602
Rocky Mountains

View attachment 2145603
Grasslands in the Midwest
View attachment 2145604
Appalachian Mountains

View attachment 2145605
Georgia Swamps

Na bila kusahau kabisa madozen ya jungles kama haya

View attachment 2145607

30. Na mwisho bila kusahau kama hayo yote hayatoshi kuna raia 250 milioni wanaomiliki silaha than any other country in the world wengi wao ni retired military veterans police officers, trained hunters and sportsmen plus most guns per capita of any country in the world!

Sijataja yale Maballistic misile bombs programs na Ma nucreal arsenals

Kutokana na msimamo wa kijiografia pekee, Itakuwa ni ndoto (nightmare) kwa mvamizi yeyote kukabiliana na hottest regions in the world ikiambatana na coldest.

Towering peaks, barren, empty grasslands, swamps, massive deserts. You must know US ni kubwa kinoma some places are not easily accessible na kuna mengi ya kueleza muda tu hautoshi.
Ninavyofahamu Mimi nchi za Urusi, China, Iran, North Korea, Venezuela na Cuba zimeingia makubaliano ya kulindana endapo ikitokea nchi Kati ya hizo itavamiwa kijeshi katika Ardhi zao, na ndiyo maana USA kila mwaka anagonga mwamba kumvamia Iran na North Korea..! Maana mziki wa Mrusi aliokutana nao kule Syria ilibidi atulize makalio chini na hatamani kabisa kuingia katika mgogoro wa Ukraine zaidi ya kuweka sanctions tu..! Na Putin kapiga ban importation zote za goods nchini Urusi kuzuia biochemical weapons vimeta na virus kuingia nchini kwake

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Yaani stori za humu utacheka ufe

Kwamba ukraini kamzuie Mrusi hivyo watu Wana mashaka na uwezo wa urusi kivita

Wakati huo urusi akitaka kupiga anatoa taarifa kesho napiga sehemu flani watu waondoke (sasa hapo ni vita Ama kumfunza mtu adabu)

Kama kweli ukraini anatoa upinzani si NATO aingilie kumaliza mchezo maana urusi hana uwezo

NATO mwenyewe anaogopa, anajua kwamba mambo yatakuwa makubwa zaidi ya pale ila sisi wabongo ndo tunaona urusi hana jipya
NATO aingilie wapi wakati Ukraine anamtoa kamasi mtu mzima Putin.
 
Marekani yuko vizuri kwenye silaha na mafunzo ya kijeshi ila hao wachina nao sio wakuwa beza

Ila bado nakuwa muoga sana kusema nani atashinda, nikaingalia kwa sifa za urusi katika silaha na mbinu za kivita sikutegemea kuona ange face ugumu wa namna hii kwa ukraine ambaye imezidiwa kila kitu
Nafikiri Ukraine analindwa na Mungu mwenyewe.
Sio kwa sifa anazopewaga Russia
 
WAKUU HIVI, HIVI VITU VIMETENGENEZWA NA BINADAMU AU NI VYA SAYARI NYINGINE?
Wakati sisi tunajitahidi kwa majungu ya sisi kwa sisi wenzetu wanashika tama kuwaza vitu vipya
 
ukweli ni kwamba silaha hizi zote zinashidwa kutumika mana ubinadamu sasa unashika hatamu. Maisha yamekuwa ya thamani zaidi dunia ya leo ndomana third world war haitakuja tokea...Putin ni anataka tu kufa na mamia anairudisha Russia nyuma kwa kushidwa kutumia meza vizuri. Haijalishi atafanikiwa vipi ila amedumaza uchumi pakubwa
Putin anahatarisha uhai wake zaidi.
Anataka kuhitimisha zama zake vibaya..na nakuapia hawatamuacha aende kuzimu kwa amani...wameshamuona kuwa akili yake ina uchizi kwa kuhatarisha amani ya dunia
 
Nikwambie kitu katika nchi ambayo imehakikisha ina uwezo wote wa ndege vita ni Us na sio propaganda na pia sikuingia deep kuhusu usalama na capabiiity ya hizi carrier nakwambia jamaa wameinvest hatari google utapata mengi wether you like it or not.
Pro Russia huwawezi kubishana nao mkuu
 
Sasa mkuu namba9 umeandika ndege inauwezo wa kubeba mabomu 2000 elfu mbili [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au ulimaanisha silaha za kilo 2000
Acha kutufunga kamba.


Kuhusu aircraft carrier nimesema zipo vulnerable sana Urusi sio Iraq wala Libya
Mkuu acha ulofa basi??? 2000kg ni gunia 2 tu
 
NATO aingilie wapi wakati Ukraine anamtoa kamasi mtu mzima Putin.
Huoni ndo ulikuwa muda mzuri wa NATO kuingilia na kummaliza urusi

Kwani NATO hawapendi urusi ashindwe hiii vita, mbona wanaishia kutoa silaha tu na sio msaada mkubwa zaidi wa kummaliza urusi.

Lini umesikia vita inapigwa mtu anatoa taarifa raia ondokeni wiki hii ntapiga sehemu flani
 
Mkuu acha ulofa basi??? 2000kg ni gunia 2 tu
Mabomu 2000 yanaukubwa wa peni au? Nitafutie picha yoyote au hata link tu inayoonesha ndege in mabomu hata 50 tu
Screenshot_20220315-085419_Google.jpg
 
Lini hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo kiduku anarusha makombora ambayo wenzie wanayo toka miaka ya tisini[emoji38][emoji38][emoji38]
Kwanini USA iweweseke hadi kuweka kikao na Kiduku ikimsihi asitishe kuzalisha hayo makombora ikiwa yeye tayari anayo, unadhani hayahofii juu ya usalama wake[emoji848][emoji847]
 
USA yup kisasa kwenye vita Halafu ipo mbali na mchina na mrusi .Mrusi aki rusha nuclear ina piga London ina uwezo huo ila unaonekana urusi imekwisha kijeshi .Walitakiwa ukraine waichukue in a day ,na jinsi wanajeshi wa urusi wanavyopigana wanajua watu na kuharibu kila kitu Sasa hapo Putin atapata nini nchi yenye stones and bricks na Putin kiuchumi amekwisha anamwambia Mchina amsadie
In a Day kama alivyofanya US na mashoga zake kule IRAQ ba LIBYA eeeh
 
Ukubwa wa silaha anazopewa na NATO hazimatch na ukubwa na idadi ya silaha zilizoingizwa na Urusi. Urusi kilichomsaidia kiasi kikubwa ni haya mashambulizi ya ndege vita, ila jeshi la ardhini limepata wakati mgumu sana, na hapo Ukraine anapigana na Urusi na Belarus.
NATO wangekubali kuweka no fly zone juu ya Ukraine, Urusi angepigika vibaya. Ila ni vizuri NATO wamekataa hili kwani ni fedheha kubwa kwa Putin kushindwa hivi vita, yuko radhi amalize magala yote ya silaha ili kukwepa fedheha.
Ila baada ya hivi vita, Urusi itabidi ifanye mapinduzi makubwa ya jeshi lake.
sio wamekataa hakuna mtu anaeweza kuweka no fly zone sehem ambayo kuna RUSSIA
US walipambana na IRAQ akiwa pekee walimuangusha kwamuda gani?
 
Back
Top Bottom