Je, ilikuwa bora kununua ndege badala ya mabehewa na vichwa ili kufanya safari za treni kwenda Mwanza, Kigoma na Moshi?

kuna watanzania wangapi wenye uwezo wa kusafiri kwa ndege kutoka Dar kwenda Kigoma? unawaita watu vilaza wakati wewe na huyo aliyenunua ndege ni vilaza wa kutupwa?
unadakia kila jambo mengine hata huyaelewi we una jilamba midomo tu
hovyooo
Huyu atakuwa amepanda ndege kwa mara ya kwanza hivi karibuni, achana nae. Si unaona siku amepanda ndege hata akaweka avatar yake picha ya ndege? NI limbukeni wa ndege tu ndio atafanya kitu kama hicho
 
Kwa maelezo yako haya wewe ni kilaza haujawahi kukanyaga airport hata siku moja.


Kwa avatar hii una kila dalili za kuwa umepanda ndege kwa mara ya kwanza hivi karibuni! Utakuwa una ulimbukeni wa kupanda ndege bado, huambiwi kitu
 
Wanasiasa wana mikopo bank, wamekopa pesa nyingi kununua mabus. Ukiweka train za uhakika utawafanya wafe na ugonjwa wa moyo
Hili suala linanipaga wasiwasi sana kuhusu hujuma ktk SGR manake kuna watu wataathirika sana kama SGR ikiwa vzr hivyo sidhani kama watakubali kirahisi
 
udhaifu kwenye usimamizi wa taasisi nyingi za serikali ndo maana ATCL inasusua.
lakini kimsingi ndege na mabehewa vyote ni muhimu.karne ya 21 nchi inakosaje kuwa na flag carrier airline?.

nchi ndogo na changa kama Rwanda wana ndege na zinafanya kazi vizuri kwasababu ya uimara wa mifumo ya serikali ya Rwanda.Tanzania kama nchi imefeli,hata iyo reli ni mabehewa tu ndo mapya ila miundombinu ya reli ni mibovu mara kwa mara tunaona reli zinakatika na mabehewa yanaanguka.
 
Kumbe ilihitajika akili ndogo sana kuturahishia usafiri sisi watu wa kigoma. Enwei bado tuna muda wa kujifikiria, tuuze ata ndege moja ilitue na usafiri wa at least Mara NNE kwa week dar-kigoma

Uzuri wa hii ruti inapitia abiria wa mikoa yote ambayo imepitiwa na reli husika.
 
View attachment 2447439

Tunapoongelewa kunufaisha Watanzania wote, ni kufanya vitu kama hivi, sio kununua Dreamliner. Hawa abiria wananufaikaje na hizo Dreamliner zilizopaki?
Lakini si ndo hao hao walikuwa wanazisifia. Hasa walipoambiwa wachungulie angani kuziona zikipitaaa??👀👀 Au wenyewe wanasemaje??
 
Hivi Mkuu hizo ndege zipo au zimekuwa kama vichwa vya treni na mabehewa??
 
Tusingeweza kuyanu ua wskati ule kwani wenyewe walikiwa bado wanayatumia.
 
Umeandika vema sana, tatizo la nchi yetu ni kukosa vipaumbele kama taifa. Kila kiongozi anakuja na mtazamo wake anafanya anayojua akiondoka anakuja mwingine na mtazamo wake pia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…