voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,935
Je, ilikuwa ni kesi ya kisiasa kati ya chadema dhidi ya Sabaya?
Ilianzia jana huko Club House za Twitter ambapo kiongozi mwandamizi wa Chadema ndugu Godbless Lema alitoa povu la kutosha akiituhumu mahakama na mamlaka husika za Kitanzania kutotenda haki.
Pia wakili wa kujitegemea na kada mtiifu wa chadema, Fatuma Karume yeye alitoa povu lote kupitia DW-SWAHILI.
Ambapo alisema pamoja na ushindi huo, bado kuna nafasi ya kukata rufaa kwenye mahakama ya juu zaidi.
Baadae hali ikawa hivyohivyo kutoka kwa wafuasi mbalimbali wa chadema mpaka sasa.
Kuanzia Twitter,Facebook na hata humu Jamiiforums ni lawama kutoka kwa upande wa Chadema tu.
Tuhuma na kauli zinazoonekana kama vile kukatishwa tamaa kwa Chadema na wafuasi wao,kuhusiana na kushinda rufaa kwa Sabaya.
Je, kumbe ilikuwa ni kesi ya kisiasa kati ya Chadema dhidi ya Sabaya?
Ni kwa nini Chadema na waandamizi wake ndio wawe mbele zaidi kwenye malalamiko dhidi ya Sabaya?
Tuwekeni wazi kuhusiana na hili jambo.
View attachment 2216561
Ilianzia jana huko Club House za Twitter ambapo kiongozi mwandamizi wa Chadema ndugu Godbless Lema alitoa povu la kutosha akiituhumu mahakama na mamlaka husika za Kitanzania kutotenda haki.
Pia wakili wa kujitegemea na kada mtiifu wa chadema, Fatuma Karume yeye alitoa povu lote kupitia DW-SWAHILI.
Ambapo alisema pamoja na ushindi huo, bado kuna nafasi ya kukata rufaa kwenye mahakama ya juu zaidi.
Baadae hali ikawa hivyohivyo kutoka kwa wafuasi mbalimbali wa chadema mpaka sasa.
Kuanzia Twitter,Facebook na hata humu Jamiiforums ni lawama kutoka kwa upande wa Chadema tu.
Tuhuma na kauli zinazoonekana kama vile kukatishwa tamaa kwa Chadema na wafuasi wao,kuhusiana na kushinda rufaa kwa Sabaya.
Je, kumbe ilikuwa ni kesi ya kisiasa kati ya Chadema dhidi ya Sabaya?
Ni kwa nini Chadema na waandamizi wake ndio wawe mbele zaidi kwenye malalamiko dhidi ya Sabaya?
Tuwekeni wazi kuhusiana na hili jambo.
View attachment 2216561