comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
SHANGAAAJe kama ni hivyo inakuwaje Chadema ndio mmeumia zaidi na mnalalamika kila sehemu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SHANGAAAJe kama ni hivyo inakuwaje Chadema ndio mmeumia zaidi na mnalalamika kila sehemu?
Naongezea kaka tindo, mtu yeyote mwenye akili huitwa mwana chademaCdm hupigania haki, hivyo yoyote anayehoji haki anaonekana ni cdm.
Wapenda haki wameumia kama ccm hampendi haki sawa tutakuta a mbeleJe kama ni hivyo inakuwaje Chadema ndio mmeumia zaidi na mnalalamika kila sehemu?
Kwani hukumu kesi ya 90m ya mrosso garage imeisha?.Mnaandika nini hiki? Amerudi rumande kwa kesi ya kujibu.
[emoji116]View attachment 2215686
Wazalendo tutalinunuaHivi bado kuna watu wanaonunua hili gazeti? Maana halifai hata kufungia maandazi.
Hivi bado kuna watu wanaonunua hili gazeti? Maana halifai hata kufungia maandazi.
Hivi bado kuna watu wanaonunua hili gazeti? Maana halifai hata kufungia maandazi.
Ukiona hivyo ujue hiyo kesi umepigishwa kona kona nyingi mpaka kufikia jambazi kushinda rufaa. Jua tu CHADEMA ni watenda haki. Hapo wanawapigania wengi, hasa wananchi waliozurumiwa na huyo jambazi. Wanazurumiwa haki Yao pia. Hakuna mtetezi mwingine kwa wananchi wanyonge zaidi ya CHADEMA.
Wapenda haki wameumia kama ccm hampendi haki sawa tutakuta a mbele
Ila ndio mwisho wake kuthubutu kufanya Tena ujambaziSABAYA vs MBOWE pale HAI ARENA- MBOWE JANA HAJALALA
Wajinga ndio waliwaoWazalendo tutalinunua
Kwani Mbowe ndio alimpa kifungo?Mnaandika nini hiki? Amerudi rumande kwa kesi ya kujibu.
👇View attachment 2215686
Hapa ndio ule msemo unaosema "wajinga ndio waliwao" unapofanya kazi vizuri.Kuna watu mpaka saivi wana mahaba ya vyama huwaambii kitu yani hilo gazeti ata liandike utumbo gani!!! Yeye atautetea kwa hali na mali!!!
ilikuwa enzi za Dr Slaa siku hizi cdm ni wapuuzi mnoCdm hupigania haki, hivyo yoyote anayehoji haki anaonekana ni cdm.
Heee kumbe kule Lupango mnapapenda sana ili mwende kusuguliwa. Kwahiyo Mhe.Mbowe anaweza kuwa katoka na Mimba kabisaaa au ikoje? Maaana kuna kakikundi ka watu pasipo kwenda Segerea kila mwaka hawajiskii vizuri kuuumbe ndio michezo yenu kuliwa na Manyapara. Leo tumejuaaaaNyapara wanaendelea kufaidi.
Karudi wapi we boya? Ushabiki wenu wa kijinga ndio maana nchi hii watu wanafanya mambo ya hovyo lakini kwa vile wanavaa mashati ya kijani basi mnashangilia kijinga.WASIE MPENDA KARUDI- NADHANI JANA MBOWE HAKULALA