Alfan issa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,281
- 893
Wanafurahia kuachiwa watu wao, akiachiwa sabaya wanakuwa na mapovu kama yote kweli siasa mchezo mchafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki haijatendeka tangu awamu ya tano ianze na awamu ya sita inarithi upuuzi wa awamu ya sita.Je kama ni hivyo inakuwaje Chadema ndio mmeumia zaidi na mnalalamika kila sehemu?
Mwembeyanga mimi siijui ila naijua nchi yangu tu na raia wake pamoja na viongozi wake kama wimbo wa Taifa unavyosema mambo ya Mwembeyanga yapo huko huko.Sasa kama awamu ya nne ilikuwa na HAKI chadema mlikuwa mnatafuta nini kule Mwembeyanga???
Peke yake kamtoa Mbowe bungeniKwani menyewe anaweza nini